Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MISWADA huwa inajadiliwa na inapitishwa na Baraza la mawaziri kwanza ndiyo inaenda bungeni.Kutumika sinimpaka Rais azisaini nasikia
😂hivi Rais ameshasain kuwa sheria kwani?Hili huwezi kuona Bavicha wanasifia walivyokiwa na roho mbaya wamekasirika hivi vifungu kufanyiwa marekebisho.
kwaiyo hili hiwe tayari kutumika ni ikishapitishwa na bunge,au ikitoka bungeni inarudishwa kwa rais haisaini ndio iwe sheria rasmi?MISWADA huwa inajadiliwa na inapitishwa na Baraza la mawaziri kwanza ndiyo inaenda bungeni.
Bado haija solve tatizo effectively ikiwa uwepo mahabusu za Polisi nao hautaangaliwa. Usishangae watu wakakaa kwenye mahabusu za Polisi miaka na miaka wakisubiri kufikishwa Mahakamani.Wanaompinga Mama ni vichaa na watu wabaya tu,
Wasiopenda kuona WATANZANIA wakiwa wamoja wakati wote,
Wasiopenda watu waishi kwa raha mstalehe kwenye nchi yao,
Tunayo nafasi ya kujenga Taifa bora sana tukiwa na Mama Samia,
Wasukuna mtapata tabu sana baada ya mungu wenu kufaShe is an empty suit.
Shika adabu yako wewe,Una maana sisi Sukuma Gang ni vichaa?Wanaompinga Mama ni vichaa na watu wabaya tu,
Wasiopenda kuona WATANZANIA wakiwa wamoja wakati wote,
Wasiopenda watu waishi kwa raha mstalehe kwenye nchi yao,
Tunayo nafasi ya kujenga Taifa bora sana tukiwa na Mama Samia,