mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Duh mzee vp tena homeboyI don’t give a fcuk about what you think. You can go fcuk yourself.
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh mzee vp tena homeboyI don’t give a fcuk about what you think. You can go fcuk yourself.
I don’t give a fcuk about what you think. You can go
Wew mtumwa wa wazungu huna akili hata kazi yako ni ya kutumia nguvu dishwashing na kubeba box mofokI don’t give a fcuk about what you think. You can go fcuk yourself.
Umenitukana kwa Kizungu hapo mwishoni 🤣🤣.Wew mtumwa wa wazungu huna akili hata kazi yako ni ya kutumia nguvu dishwashing na kubeba box mofok
Wewe ni mkabila mkubwa uliyejificha kwenye kivuli cha ukosoaji jinga kabisa weweUmenitukana kwa Kizungu hapo mwishoni 🤣🤣.
I’m impressed 😀🖕
Tunaposema kila Mtanzania amuunge mkono Rais wetu kipenzi Mama Samia Suluhu Hassan tunamaanisha mambo kama haya, Niwe mkweli tu tangu Uhuru Mama huyu ni watofauti sana hebu ona alichofanya kwenye magazeti na hii,
===
Bunge limepitisha Mabadiliko muhimu ya Sheria kupitia muswada wa mabadiliko ya Sheria mbalimbali Na. 7 wa mwaka 2021 ambapo kifungu cha 131 cha Sheria ya Mwenendo wa Kesi za Jinai kimefanyiwa mabadiliko.
Kifungu hiki kipya cha 131A kinamkataza Mwendesha Mashtaka wa Serikali (DPP), Polisi, au yeyote mwenye mamlaka ya kushitaki, kutokupeleka kesi mahakamani pasipo upelelezi kukamilika. Hii ilipelekea mtu kukaa na kesi kwa miaka mingi huku kila siku akiambiwa na waendesha mashitaka kuwa upelelezi haujakamilika.
Pia kwenye mabadiliko haya, ikiwa utashitakiwa na mahakama kukuachia huru, basi polisi hana mamlaka ya kukukamata tena na kukufungulia kesi upya. Kitendo hiki kilikuwa kinawafanya watu watoke mbio sana mahakamani mara baada tu ya kuachiwa huru.
Kwa msingi huu Mwendesha mashtaka wa serikali, Polisi, na wengine wote wenye mamlaka ya kushitaki, ikiwa hajakamilisha upelelezi hana haki ya kufungua kesi mahakamani hadi pale atakapokamilisha upepelezi na pia hawezi kukukamata ikiwa umepatikana huna hatia na mahakama.
Unaweza ukaniuliza ikiwa wamekatazwa kupeleka kesi mahakamani kabla upelelezi haujakamilika, ina maana sasa watuhumiwa watasota sana selo mpaka polisi wakamilishe upepelezi wa makosa yao?
Jibu ni hapana, mabadiliko hayo hayo kifungu cha 131A (2) kinasema kuwa ikiwa upelelezi haujakamilika na hivyo kutomwezesha mtu kupelekwa mahakamani basi anatakiwa aachiwe kwa kupewa dhamana wakati polisi ama mamlaka nyingine ikiendelea kukamilisha upelelezi wa makosa yake. Hautakiwi kuwekwa selo au kukaa polisi ikiwa upepelezi wa kosa lako haujakamilika.
Hata hivyo, katazo hili la kutopeleka kesi mahakamani bila upelelezi kukamilika linahusu makosa yote isipokuwa makosa ya kubaka (rape), wizi wa kutumia silaha (armed robnery), kumiliki silaha kinyume cha sheria, kumiliki nyara za serikali kinyume cha sheria, makosa ya kujeruhi sana (grievious harm), kosa la kuhatarisha usalama wa taifa, usafirishaji dawa za kulevya, na jinai nyingine ambazo hadhi yake husikilizwa tu na mahakama kuu. Kama kesi yako imefunguliwa mahakama kuu basi kosa hilo haliguswi na mabadiliko haya, utaratibu wa kawaida wa mashauri ya jinai utafuatwa.
Kifungu cha 131A(3) cha mabadiliko haya kinatoa msisitizo kwenye kifungu cha 170(6) cha Sheria ya Mwenendo wa Kesi za Jinai kwamba kama makosa ambayo adhabu zake kama mtu angekuwa anahukumiwa na mahakama angehukumiwa kulipa faini ya Tshs 200,000/= basi mtu huyo anatakiwa akiri kosa kwa maandishi, kisha alipe faini hiyo kwenye akaunti za serikali, na aachiwe huru.
mkabila na mdini huyo Nyani NgabuWewe ni mkabila mkubwa uliyejificha kwenye kivuli cha ukosoaji jinga kabisa wewe
Mtu anakopa mabillion ya Pesa kwa ajili ya kilimo,kwenye bajeti unasikia pesa iliyokwenda wizara ya kilimo ni 3%then anakwenda kukopa tenaMtu akifanya unaloona zuri apongezwe na akikosea akosolewe, tatizo letu wabongo hatupo hivyo yani sisi tuna option mbili tu tukuchukie mazima(tukufanye shetani) au kukupenda mazima(tukufanye malaika).
Hivi kosa la feb ni lipiBila kuwa hivyo hizo sheria singetokea. Kwa sababu ya kuchukiwa anajaribu kufanya yanayolalamikiwa ili apendwe sasa. Aende mbele zaidi.
1. Amtoe mbowe bila masharti.
2. Pige chini miguru,weka Lukuvi
3. Piga February weka Kaleman
Na mengine
Very stupid of you.Wanaompinga Mama ni vichaa na watu wabaya tu,
Wasiopenda kuona WATANZANIA wakiwa wamoja wakati wote,
Wasiopenda watu waishi kwa raha mstalehe kwenye nchi yao,
Tunayo nafasi ya kujenga Taifa bora sana tukiwa na Mama Samia,
daaah nchi ngumu mno hii,Very stupid of you.
Wapuuzwe,Profile yako kama ndiyo wewe
Basi si mchezomchezo
Ova
Ni kweli kabisa wanatumia umbumbumbumbu wa watu, sijaona kipya hapo coz even internationally mtu anaburuzwa mahakamani baada ya uchunguzi kukamilika. Huku Africa tatizo kubwa ni viongozi kupenda kuwadjughulikia wote ambao wanatofautiana nao kimisimamo na kiitikadi kwa kuwabambikia kesi.This is also rubbish to some extent. If a police or for that matter the system wants to "screw" you, they will simply open your case file in the Hgh court! then you are done.................Rubbish!
Umemaliza kazi! asanteNi kweli kabisa wanatumia umbumbumbumbu wa watu, sijaona kipya hapo coz even internationally mtu anaburuzwa mahakamani baada ya uchunguzi kukamilika. Huku Africa tatizo kubwa ni viongozi kupenda kuwadjughulikia wote ambao wanatofautiana nao kimisimamo na kiitikadi kwa kuwabambikia kesi.
Very stupid of you.