Bila Upelelezi kukamilika hakuna kukamata, ukiachiwa na Mahakama hakuna kukamatwa tena

Hakuna kitu hapo, sisi tunataka katiba mpya haya mengine ni kutaka tu kutuondoa kwenye reli na katu hatutoki.

Sheria nyingi hizi za kidhalimu zilitungwa na serikali ya ccm lengo kubwa likiwa ni kuwakomoa wapinzani, hakuna kitu kingine.

Kuna kipindi mbunge moja wa ccm wa jimbo la Kishapo alipatikana na silaha haramu kinyume cha sheria lakini hakufanywa chochote sasa tuchukulie kama angekuwa ni wa Chadema....malizieni wenyewe.

Samia anatafuta tu namna ya kuungwa mkono na nchi wafadhili kwa sababu nchi iko taabani kiuchumi ndio maana anafanya haya pamoja na kuyafungulia magazeti waliyoyafungia wenyewe. Wadanganye wajinga huko huko ccm.
 

Kwa sasa tatizo sio sheria, bali utekelezaji.
 
This is also rubbish to some extent. If a police or for that matter the system wants to "screw" you, they will simply open your case file in the Hgh court! then you are done.................Rubbish!
How possible the High court can accept the cases which are not in her jurisdiction?
 
Daaah
 
Hii ikipita itakuwa poa sana.
Police walikuwa wakitumia udhaifu wa sheria kujikusanyia pesa za haramu
 
Hii itapunguza kesi zisizokua na ulazima wa kupelekwa mahakamni ili hali miongozo yake ya faini ipo wazi...
 
Tatizo lipo kwahawa polisi kuelewa mama Hana shida PGO ndomaisha yao lakini hawaijui
 
Wanaompinga Mama ni vichaa na watu wabaya tu,

Wasiopenda kuona WATANZANIA wakiwa wamoja wakati wote,

Wasiopenda watu waishi kwa raha mstalehe kwenye nchi yao,

Tunayo nafasi ya kujenga Taifa bora sana tukiwa na Mama Samia,
Nakuunga mkono kwa 100% . Nakupa heko mama yetu mpendwa

Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
 
Mmh, kumbe nyie mna chuki binafsi na huyo mama! Nimeamini Sasa wanaosema wanaomchukia,chuki zao ni sababu ya dini tu na ukabila! Lol
Profile yako kama ndiyo wewe
Basi si mchezomchezo

Ova
 
Imekaa vizuri
Kamilisha upelelezi mpeleke mtu mahakamani

Ova
 
Mtu akifanya unaloona zuri apongezwe na akikosea akosolewe, tatizo letu wabongo hatupo hivyo yani sisi tuna option mbili tu tukuchukie mazima(tukufanye shetani) au kukupenda mazima(tukufanye malaika).
Sio kweli
 
Makosa yote yawe na dhamana, vingenevyo ni cosmetics changes tu.
 
This is also rubbish to some extent. If a police or for that matter the system wants to "screw" you, they will simply open your case file in the Hgh court! then you are done.................Rubbish!
Only fools will appreciate these changes.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…