Bila Upelelezi kukamilika hakuna kukamata, ukiachiwa na Mahakama hakuna kukamatwa tena


" umepatikana huna hatia na mahakama"

Usikurupuke; hawaachiwagi Kwa sababu hawana hatia, rather mashahidi hawaonekani!

Hakiku aki declare huna hatia that is judgement, Hakuna mtu wa kukukamata labda rufaa.
 
Issue kubwa ni kuyapa dhamana hayo makosa yaliyoorodheshwa ndo itakua mukide...
 
Mtu akifanya unaloona zuri apongezwe na akikosea akosolewe, tatizo letu wabongo hatupo hivyo yani sisi tuna option mbili tu tukuchukie mazima(tukufanye shetani) au kukupenda mazima(tukufanye malaika).
Mtu anakopa mabillion ya Pesa kwa ajili ya kilimo,kwenye bajeti unasikia pesa iliyokwenda wizara ya kilimo ni 3%then anakwenda kukopa tena
 
Bila kuwa hivyo hizo sheria singetokea. Kwa sababu ya kuchukiwa anajaribu kufanya yanayolalamikiwa ili apendwe sasa. Aende mbele zaidi.
1. Amtoe mbowe bila masharti.
2. Pige chini miguru,weka Lukuvi
3. Piga February weka Kaleman
Na mengine
Hivi kosa la feb ni lipi
 
Binafsi siwezi kumpenda mtu aliyetuweka utumwani miaka 60. Samia na chama chake wameifanya Tanzania iwe nchi ya mqfukara, watumwa na makondoo.

Miaka 60 baadaye anatudanganya kuwa anarudisha uhuru wetu. Lakini kujitungia katiba yetu itakayotupa mamlaka kamili ya kuamua hatima yetu anasema hataki. Basi tu hataki. Anataka aweke visheria vinavyoweza kuvunjwa bila madhara.
 
Mama yuko vizuri sana,ila ana haribu yote mazuri aliyo anzisha kwa mfumko wa bei kwa bidhaa zote.Akirekebisha mfumko ni bonge la rais.
 
Wanaompinga Mama ni vichaa na watu wabaya tu,

Wasiopenda kuona WATANZANIA wakiwa wamoja wakati wote,

Wasiopenda watu waishi kwa raha mstalehe kwenye nchi yao,

Tunayo nafasi ya kujenga Taifa bora sana tukiwa na Mama Samia,
Very stupid of you.
 
This is also rubbish to some extent. If a police or for that matter the system wants to "screw" you, they will simply open your case file in the Hgh court! then you are done.................Rubbish!
Ni kweli kabisa wanatumia umbumbumbumbu wa watu, sijaona kipya hapo coz even internationally mtu anaburuzwa mahakamani baada ya uchunguzi kukamilika. Huku Africa tatizo kubwa ni viongozi kupenda kuwadjughulikia wote ambao wanatofautiana nao kimisimamo na kiitikadi kwa kuwabambikia kesi.
 
Umemaliza kazi! asante
 
Hakika Rais Samia ameletwa Tanzania kuliponya Taifa,

Kitendo cha kukutana na Tundu Lissu Brussels Ubelgiji ni kiwango cha juu kabisa cha Uzalendo kwa Taifa,

Tumuunge mkono Rais wetu kwa haya kwani anastahili sana,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…