Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,864
- 8,328
Mwanaume ni mfalme ndani ya nyumba, usipompa heshima yake, hiyo ndoa iko mashakani. Hamna mfalme asiyetaka kuheshimiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Hakuna mfalme anayetaka kuishi na mwanamke anayemnyima tendo la ndoa "Mwanaume ni mfalme ndani ya nyumba, usipompa heshima yake, hiyo ndoa iko mashakani. Hamna mfalme asiyetaka kuheshimiwa.
Unamnyima ili akamtafune nani? Matatizo mengine ni ya kujitakia"Hakuna mfalme anayetaka kuishi na mwanamke anayemnyima tendo la ndoa "
Naomba waambie wanawake wenzio kuhusu hilo pia.
Matatizo mengi yanasababishwa na nyie wanawake wachoyoUnamnyima ili akamtafune nani? Matatizo mengine ni ya kujitakia
Malkia Kazi yake ni kukaa mlangoni kudai chenji na kuhakikisha abiria wapo comfortable.Mfalme pacha wake ni Malkia
Ukiona unanyimwa tendo la ndoa ujue hujawahi kumkuna yaani humsisimui unamboa.Matatizo mengi yanasababishwa na nyie wanawake wachoyo
Malkia wa wapi analinda mlango?Malkia Kazi yake ni kukaa mlangoni kudai chenji na kuhakikisha abiria wapo comfortable.
Hili la kuacha Kazi yake na kugombea usukani na dereva lazima bus lianguke.
Kimalkia haimaanishi feminism stuffsNa hao wafalme wenu wawatreat kimalikia.. mkose sababu za kuwafanya wakawageuza mahindi na gunia za mkaa
Ndiyo kakaKimalkia haimaanishi feminism stuffs
SAsa asipolinda mlango si wazamiaji kibao watachoma ndani ya busMalkia wa wapi analinda mlango?
Huo ni uongoUkiona unanyimwa tendo la ndoa ujue hujawahi kumkuna yaani humsisimui unamboa.
Nakazia...Na hao wafalme wenu wawatreat kimalikia.. mkose sababu za kuwafanya wakawageuza mahindi na gunia za mkaa
Mfalme yeye hataki kulinda? Au hajali wazamiaji wakipanda bus la malkia?SAsa asipolinda mlango si wazamiaji kibao watachoma ndani ya bus
Bus ni level seatMfalme yeye hataki kulinda? Au hajali wazamiaji wakipanda bus la malkia?
Labda mimi nipo tofauti.Huo ni uongo
Naomba nikutumie 30,000 ukanunue soda. Mungu akubariki sanaMwanaume ni mfalme ndani ya nyumba, usipompa heshima yake, hiyo ndoa iko mashakani. Hamna mfalme asiyetaka kuheshimiwa.
Nitumie video ya showLabda mimi nipo tofauti.
Naweza nisimtake siku ya kwanza nimenuna kesho yake nitamtaka tu, na usingizi unakosekana kabisa. Na show ikipigwa hapo raha yake tofauti kabisa na siku nyingine.
Halafu mnuno unaendelea...