Bila ya kumpa mumeo nafasi yake ya Ufalme, ndoa yako haitakuwa na furaha

Bila ya kumpa mumeo nafasi yake ya Ufalme, ndoa yako haitakuwa na furaha

Naweza nisimtake siku ya kwanza nimenuna kesho yake nitamtaka tu, na usingizi unakosekana kabisa. Na show ikipigwa hapo raha yake tofauti kabisa na siku nyingine.
Nakuona mama wa mapenzi bila limbwata, hongera kwa hiyo mbinu yako 😍
 
Mwanaume ni mfalme ndani ya nyumba, usipompa heshima yake, hiyo ndoa iko mashakani. Hamna mfalme asiyetaka kuheshimiwa.
Nipe namba yako ya simu nikurushie ka kitu mkuu...au tupitishe kimchango tukujengee kamnara kako ka kumbukumbu hapo Chamwino.

Ulichosema ni siri kubwa sana hasa kama umepata mume anayeijua nafasi yake kama mkuu na kuhani wa familia.

Hayo mambo ya feminism yanawaharibia sana hawa mabinti wasomi mpaka wanapoteza sifa za kuwa mke.

Ubarikiwe sana!
 
Sanamu lako unataka linakishiwe na madini gani na lijengwe wapi?
 
Anakuaje slut na hakuwa hivyo? Mnataka wenye hofu ya mungu ambao hayo mambo ya Kislut ni dhambi kwao.
Pia unaweza ukamfundisha.
Hata mwenye hofu ya Mungu anafundishwa tu u-slut. Mimi manzi akileta pigo za Kilokole kitandani huwa simwelewi kabisa nataka wa shoo shoo mautundu kama yote. Unapiga unainjoi
 
Back
Top Bottom