TANZIA Bilionea Mathias Manga afariki dunia

Arusha na Kilimanjaro kunani wazee...!! Maana mnamfata mwendazake Kwa speed ya 5G mpaka sio poa
Kitimoto na pombe...leads to body inflammation, na watu wa huko nafikiri unawajua kwenye nguruwe na pombe. So wengi wana underlying conditions, corona inacheza nao.
 
Wanasema chanjo poa inaleta thrombosis
 
Alipishana nini na Mwendazake?
 
Ila hawa matajiri wa Arusha na Kilimanjaro wanafahamiana wao tu!

Toka lini huyu jamaa amekuwa mmiliki halali wa Gold Crest na Snow Crest?

Hizi hoteli za Gold Crest na Snow Crest ni hoteli za SERIKALI zinazomilikiwa na PSSSF.

Huyo jamaa alikuwa amepanga tu humo! Yaani alikuwa ni kama MPANGAJI lakini BABA MWENYE NYUMBA yupo.
 
FRESHO ambae pia alikuwa kawekeza shinyanga?
Iliyokua East Africa hotel zamani.

Matajiri wanasepa si mchezo,LaSwai mwenye kibo palace yeye tulikua nae msibani kwa fogo mwenzao mwingine aitwae FRESHO huko kijijini.
Ila nyie watu wa ARUSHA na KILIMANJARO mna matatizo! Mimi ndio FRESHO na kila siku nafanya mazoezi pale JOSHONI! Yule aliyefariki alikuwa ni mfanyakazi wangu.
 
Arusha kila mfanyabiashara mkubwa wa madini anaitwa bilionea hatakama hana USD 1billion yaani Tsh trilioni 2.3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…