wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
πππ wakina Sulla waliimaliza kabisa SHIRECU.Sasa hivi SHIRECU wamebakiza malori yale yaliyo chokachoka, wakati wanaume tunakufungia vipuri 1561. Hiyo ni BLUE COAST pekee yake bado hujagusa SIMBA LOGISTICS ππ
ππ Chuga matajiri wa huko wanaowajua Ni wakina Fresho,Gaki,Jambo,Phantom(zamani) na wengine wachache,wengine waliobaki wao wanawaona Ni waganga njaa tu.Na COVID-19 ikiisha nakuja hapo ARUSHA nije niwafunge mdomo MABILIONEA UCHWARA ππ
Hao wote ni wafanyakazi tu! Na PHANTOM alikuwa anashika mali za wafanyakazi wa SHIRECU na hata huo mgodi wa EL HILAL DIAMOND MINE ni mgodi wa aliyekuwa mfanyakazi wa SHIRECU na nadhani kwa miaka ya hivi karibuni wataanza kuundesha wenyewe.ππ Chuga matajiri wa huko wanaowajua Ni wakina Fresho,Gaki,Jambo,Phantom(zamani) na wengine wachache,wengine waliobaki wao wanawaona Ni waganga njaa tu.
Victorie umechanjwa?Ni very very rare.
πππ sawa fogo,usisahau wanyonge kutuzungushia bia hapo pikinic.Ngoja COVID-19 iishe! Pale ARUSHA CITY CENTRE nina MATAKO BAR mbili pamoja na ARUSHA DELUXE! Hizi zote nakuja kunyanyua ghorofa kumi kila ploti.
pia alisema babu tale hatoshinda ubunge na akasema tale amemtoa kafara mkewe....tale akashinda ubunge alipoulizwa akasema hajashinda kihalali bali kapendelewa tu na magufuli si unakumbuka uchafuzi mkuu wa mwaka 2020 chini ya jiweWw Victoire toka utuambie Magu anaelekea kupata nafuu ghafla tukaambiwa amebinuka sikuamini tena......
Fogo gani mwingine amefariki?Mafogo wa Chuga mbona wanaanguka sana...
ππ Nasikia hata Ndegesela Ni mfanyakazi wa SHIRECU.Hao wote ni wafanyakazi tu! Na PHANTOM alikuwa anashika mali za wafanyakazi wa SHIRECU na hata huo mgodi wa EL HILAL DIAMOND MINE ni mgodi wa aliyekuwa mfanyakazi wa SHIRECU na nadhani kwa miaka ya hivi karibuni tutaanza kuundesha wenyewe.
Mwenye NDEGESELA alikuwa ni mfanyakazi wa TRA - SHINYANGA, kipindi hicho alibeba milioni mia tano [ 500,000,000 ] na hii ilikuwa ni mwaka 1999.ππ Nasikia hata Ndegesela Ni mfanyakazi wa SHIRECU.
Sasa kama mtu alishauza mawe zaidi ya B 15Ni billionea kweli.
Nasikiaga wanasema Ndegesela Ni darasa 7, sasa huko TRA sijui alifanya kazi kwa qualifications zipi?Mwenye NDEGESELA alikuwa ni mfanyakazi wa TRA - SHINYANGA, kipindi hicho alibeba milioni mia tano [ 500,000,000 ] na hii ilikuwa ni mwaka 1999.
Hakuna zari la mentali! NDEGESELA na yeye ni mfanyakazi tu pale na anafanyika kama bosheni lakini mwenye mali yupo.Nasikiaga wanasema Ndegesela Ni darasa 7, sasa huko TRA sijui alifanya kazi kwa qualifications zipi?
Iliyokua East Africa hotel zamani.
Matajiri wanasepa si mchezo,LaSwai mwenye kibo palace yeye tulikua nae msibani kwa fogo mwenzao mwingine aitwae FRESHO huko kijijini.
Amehuzunisha watu wengi sana mkuu,jamaa ameacha legacy mkuu.Daaah ya Fresho imeniuma mno alikuwa mtu poa saana
Hajakufa na covid alikua na shida ya ini,bdae wakaona lukemia,ndio alikua SA anapata mionziKuanzia juzi walikuwa wanasema amefariki lakin naona leo maneno yamezidi....dah tuvae barakoa kwakweli
Matias hajafa na covid,anaumwa mda karibia miezi 4...tunaomjua tunajua hiloTusiache kumwomba Mungu kwani yeye ndie awapae hata hao watengeneza chanjo uhai
Pole sana bro,mungu awafanyie wepesi,wewe Dismas,edes,agatha na familia yote ya manga...ni msiba mzito mtu wa watu mungu kamuita,mema n mazuri yake yanajulikanaMwaka jana mama alifariki, mwaka huu June Baba kafuata Na leo hii Kaka Matias kaenda. Mungu ni mwema.
Huyo alitoa mawe miaka miwili nonstop...kipindi hiko bei gram ilikua 1.6m kwa colour A+Aliuzaga madini ya tz wakati fulani
Bei aliyopata hata lazier,alikuwa ana subiri sana
Ova
Unaliwa kalio bladifakun wahedKwa sababu ya laana ya kushangilia kifo cha Magufuli