Bilionea Wilfred Tarimo Apewa tuzo ya mlipa Kodi mkubwa

Kitu matajiri wengi wa mkoa wa Kilimanjaro wamefanikiwa ni kuendeleza family business.
 
Sema kaskazini siku hz imepwaya sana aiseee kuna era ya kina Mengi, Msuya, Ndesamburo(ndesamapesa)na wengn wengi ambao majina yao hayakua makubwa Sana

Kwenye siasa alikuepo Mrema, Mbowe, Lema, Lowasa na wengn
Kaskazini imepwaya sana kwasababu siku hizi “Hakuna era”?

Unazungumzia “era” kwa muktadha gani hapa?

Au unamaanisha “legacy”?
 
Hao ombaomba ni kabila gani, huwa wamevaa beji kuonesha makabila yao. Wachaga kwa kujipiga promo za kipuuzi, sifa za kijinga tu wakati wengi ni maskini tena sana, ni wapiga debe,
 
Nani kukuambia mimi nakula Kuku mimi nakula njiwa na nyama ya ngamia na nyama ya kondoo za New Zeland au Australia ukila nyama inakufata na Tonge sio nyie mnakula mbuzi walio kufa we simchungaji njoo tukupe kazi ya kuchunga kondoo
Mkuu kumbe huko Newzealand? Itakuwa tu unaishi Christchurch kwa maforeigners wengi. Wellington ni ngumu kumkuta mmatumbi.

Kumbe ulikoswaKoswa kupigwa risasi msikitini na yule right wing?
 
Yaani msanii ambaye anaongelea kuibiwa kufia ya boston celtics tumlinganishe na mfanyabiashara kama huyu[emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kofia imetaka kumtoa roho daaah... Onesmo usirudi hotelini bila kofia hahahaaaa... Namuona King [emoji146] anavyoenda kuchekea chooni akiona hiyo clip..
 
Hivi Boss kuku zakisasa zinachangia kukosa nguvu zakiume??
 


Kupanga ni kuchagua, dont drink and drive na bado kuna parking baa , hizo parking ni za magari ya wanywa juisi?​
😅😅😅askari usalama barabarani ichukueni hii,gari yoyote ikipark baa hakuna kulitoa mpaka dereva apimwe kilevi.
 
Kuna wachaga kibao wapinda uswahilini wanajinywea tu banana na gongo nahisi umejifungia kwenye eneo moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…