Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni insurance gani nzuri ya private?
mwenye kujua anijuze
Yale maduka binafsi yanakapenda sana hako ka kadi kako Kha nina ya afya, Nenda nako!
Matibabu kwa bima ya afya ni adhabu, kwanini bima ya afya hawataki kuitisha mikutano na wadau ili tuwape kero zetu, kwavyovyote vile kuna jambo wananufaika wao binafsi na si kama mfuko
Kweli hili jambo limekua kero kuna hospitari zingine za serikali wakiona vipimo vyako vya gharama wanakwambia mashine imearibika labda uende hospitari fulani
ndugu wana jf.uko wapi umuhimu wa kuwa na bima ya afya?
Nauliza hili nikiwa nimekwazika na huduma tunayopewa na hospitali nyingi hapa nchini.ukiwa na bima ya afya nijuavyo mimi unatakiwa upate vipimo,upewe dawa pale hospitalini.
Lakini hospitali nyingi unaweza ukapimwa na ukaambiwa nenda dukani kanunue dawa sisi hapa hospitali hatuna.
Na hizi ndizo hospitali nilizoambiwa majibu hayo.
Hospitali ya mkoa RUVUMA. Hospitali ya PERAMIHO. Hospitali ya mwananyamala. Hospitali ya IFAKARA KATOLIKI. Hospitali ya wilaya ULANGA.
Kisha naomba munijuze je ninaumuhimu wakuendeelea kukatunza haka kakadi ka bima ya afya wakati hakanisaidii?
Matibabu kwa bima ya afya ni adhabu, kwanini bima ya afya hawataki kuitisha mikutano na wadau ili tuwape kero zetu, kwavyovyote vile kuna jambo wananufaika wao binafsi na si kama mfuko