Binadamu anauwezo wakujiua mwenywe bila kutumia zana yoyote ionekayo!

Binadamu anauwezo wakujiua mwenywe bila kutumia zana yoyote ionekayo!

Wakuu Ntuzu Schiendler Mashaxizo Pasco Eiyer 2013 na wengine mbona hamumkaribishi Yericko hapa Jamii intelligence?nyie mmeng'ang'ana na "wa port" wangu Kiranga tuu,au mnaelewa zaidi kile kiingereza chake?hebu njooni mumfanyie Yericko dissection ya kichwa kidogo tuu..ha ha haa!

Mkuu huyu Yericko ni mwanasiasa tu, anaweka mastori ambayo hawezi kuyatolea ufafanuzi! Anajaribu kuzugazuga kama yupo siasani vile!
 
Last edited by a moderator:
Fikra ya mwanadamu ni sumaku na hivyo ni kweli mwanadamu anao uwezo wa kukiita kifo na kikamjia; ila kinacho weza kucheleweza masaa kadhaa ndani ya uwezo wake ni namna gani kifo hicho kitatokea. Sumaku yake inapokivuta kifo nguvu za asili zinayachanganya mazingira yote yanayowezekana na kukusanya kimbunga za maguvu yatakayokifanya kifo kitokee kwa jinsi yake. Tembelea Home

Thank you Salim Kabora kwa mchango imara.

Yericko, Yericko, Yericko! Kwanini unashindwa kufafanua?
Kwanini utupe masource yaliyojaa mambo mengi?
...
Ivi umesahau "He Who Asserts Must Proof"?
...
Mimi nataka nijue, naitumia vipi akili yangu ili nife bila ya ajali, sumu, kujinyima kula na mengineo kama hayo?
...
Nimeelewa uliposema akili inaweza, swali langu ni 'Inaweza vipi?'
...
Naomba jibu tafadhali!
 
Mkuu huyu Yericko ni mwanasiasa tu, anaweka mastori ambayo hawezi kuyatolea ufafanuzi! Anajaribu kuzugazuga kama yupo siasani vile!

mimi nilitaka tuu mumkaribishe manake kachoshwa na siasa za "maji taka" kule siasani akaamua aje kupumzisha kichwa huku jamii intelligence,tatizo kaanza na mada ngumu sana ambayo wakijaa wenye jukwaa lao hapa hapakaliki kama unavyoona mwenyewe.Hili suala la "kifo" Yericko utaweza kuliendeleza hapa kweli bwana "ghalasha"?
 
ukikaa njaa siku nyingi, bila kujinyonga ama kula sumu ama kujipiga risasi, au kuanguka kwenye gorofa, unaweza kuondoka..If that is the Case.Yericko tupo yako.

Hahahahahahaaaa!
 
Sijafahamu Mkuu Yerico anataka kutuambia nini kwahiyo ngoja nione mada inavyoenda then tutaendelea na michango ya hoja![/QUOTE]


Mkuu Ntuzu...nimejaribu kufuatilia huu mnakasha takriban bayana kadhaa...lazim nikubali yakua nimevunjika mbavu mno kwa kucheka! Daaah! Teeeh! Teeeh! Teeeh!

Hata hivyo,ningefurahika zaidi kama ningaliona mchango wako japo kiduchu,au!?

Shukran Mkuu na tuko pamoja!

Ahsanta.
 
MPUMBA.VU amesema moyoni mwake hakuna Mungu~Holy Bible

naam!hebu mtajie na kifungu asije kusema ni maneno yako tu!Yericko,sorry bwana,jamaa kabeba fungu kama lilivyo,usije kulalamikia lugha kali iliyotumika ukasema hana adabu!jamaa wanaendelea kuja tu,mie nakushauri uombe poo kabla haujalazimika kuwa "guest" kwenye uzi wako mwenyewe!
 
Mwanangu juve2012 mi nipo sn Mkuu!

Sijafahamu Mkuu Yerico anataka kutuambia nini kwahiyo ngoja nione mada inavyoenda then tutaendelea na michango ya hoja!

mkuu,Yericko keshatekwa na "hakuna Mungu".Au hujaona hapo juu anasema Mungu ni dhana tu?msiposimama mkapambana na hili wimbi watu wa Mungu mapadre kwa masheikh,kimaskhara hivi hivi imani hii ya "hakuna Mungu" itasambaa!halafu sijui "hakuna Mungu" ni imani au?
 
Last edited by a moderator:
Yericko Nyerere, chama si binaadam, ikiwa mmeweza kuiua chadema kwa kuwaondoa binaadam makini kwenye chama usifikiri kuwa na binaadam ni vivyo hivyo.

Poleni sana naona mzimu wakujiua umewakaa.


Nimekwambia juu huko, jiue basi ili utuhakikishie kuwa kweli unaweza. Wacha blah blah blah.

ha, we vipi? kalale na mumeo huko! mada iko vingine we unarukia mambo mengine, umeachiwa sahivi nn!
 
Binadamu ni kiumbe wa pekee ulimwenguni anayeyatawala mambo yote yasiyoonekana na yanayooneka, mimi huamini binadamu ni kiumbe na muumbaji, kwangu Mungu ni dhana tu.

Binadamu anaouwezo wa kukata uhai wake bila kutumia zana,kuugua,sumu ama chochote kile chenye kudhuru mwili hata kufa.

Kwakutumia akili yake tu anauwezo wakukiita/kukikaribisha kifo na kikamfika ndani ya masaa yasiyozidi 24, Zingatia kwakutumia "akili" yake tu, sio elimu yake. Fikra ya mwanadamu ni sumaku na hivyo ni kweli mwanadamu anao uwezo wa kukiita kifo na kikamjia; ila kinacho weza kucheleweza masaa kadhaa ndani ya uwezo wake ni namna gani kifo hicho kitatokea. Sumaku yake inapokivuta kifo nguvu za asili zinayachanganya mazingira yote yanayowezekana na kukusanya kimbunga za maguvu yatakayokifanya kifo kitokee kwa jinsi yake. Tembelea Home

Haya sio ya leo bali tangu karne ya 5 mpaka karne hii ya 21 yanatukia katika maisha ya mwanadamu.

Jamii za kiafrika na Asia ndizo huitumia sana dhana hii.

Yericko unaamini /unaelewa kitabu kiitwacho Biblia?
 
Sijafahamu Mkuu Yerico anataka kutuambia nini kwahiyo ngoja nione mada inavyoenda then tutaendelea na michango ya hoja!


Mkuu Ntuzu...nimejaribu kufuatilia huu mnakasha takriban bayana kadhaa...lazim nikubali yakua nimevunjika mbavu mno kwa kucheka! Daaah! Teeeh! Teeeh! Teeeh!

Hata hivyo,ningefurahika zaidi kama ningaliona mchango wako japo kiduchu,au!?

Shukran Mkuu na tuko pamoja!

Ahsanta.[/QUOTE]


Rafiki yng gombesugu habari za masiku?

Kwa kweli bado mpk Muda huu sina hoja na sijui nianzie wapi ktk bandiko!

Nimebaki nasoma tu!
 
Last edited by a moderator:
mkuu,Yericko keshatekwa na "hakuna Mungu".Au hujaona hapo juu anasema Mungu ni dhana tu?msiposimama mkapambana na hili wimbi watu wa Mungu mapadre kwa masheikh,kimaskhara hivi hivi imani hii ya "hakuna Mungu" itasambaa!halafu sijui "hakuna Mungu" ni imani au?

Nimeona hicho kipengele lkn ndio nikauliza anataka kutuambia nini? Maana Sijafahamu kabisa dhumuni la hoja yake!
 
Nje ya msaada wa Mungu, mada hii nisawa na kujilisha upepo au kuanguka kwenye bottomless pit .
 
Mkuu Ntuzu...nimejaribu kufuatilia huu mnakasha takriban bayana kadhaa...lazim nikubali yakua nimevunjika mbavu mno kwa kucheka! Daaah! Teeeh! Teeeh! Teeeh!

Hata hivyo,ningefurahika zaidi kama ningaliona mchango wako japo kiduchu,au!?

Shukran Mkuu na tuko pamoja!

Ahsanta.


Rafiki yng gombesugu habari za masiku?

Kwa kweli bado mpk Muda huu sina hoja na sijui nianzie wapi ktk bandiko!

Nimebaki nasoma tu![/QUOTE]

ndugu yangu nipo,shughuli za hapa kibaruani zimenikinza tu kiduchu!

Huu mnakasha ni kweli...yaani uko very interesting! Nakhis kila mmoja wetu tunajaribu kumsoma huyu Yeriko na mantik au fumbo la hii mada yake!?

lakini kwa jinsi pattern ya majibu yake kwa baadhi ya Wanajamvi...binafsi nakhis labda hafahamu kiundani makusudio ya argument yake!? Au labda hii approach alotumia ndo inamfanza isiwe wepesi kwake ku-articulate more effectively!? Daah!

nafikiri labda tuendelee kuvuta sabra!? Teeeh! Teeeh!

Shukran na nakutakia jioni njema.

Ahsanta.
 
Back
Top Bottom