Binadamu hana jipya hapa duniani zaidi ya kuwa ni mfugo unaosubiri kuliwa tu

Mzee huna jipya hapa duniani wewe ni mazao tu yanayosubiri kuliwa aidha na Mungu au Shetani.

Wewe toka povu tu na kujifanya mjuaji ila huo ndio ukweli.

Hakuna theory hapa wala nukuu ya kitabu chochote maalifa binafsi yanatosha.
Poa ngoja tuamue kutembea na hiyo nadharia yako bila kupinga;

Tuongeze nadharia ya mfano kwamba labda mchicha ukiula wewe binadamu, mchicha unakuwa sehemu ya binadamu na unafaidi ile experience ya kuwa binadamu. Utaishi nyumba nzuri utaendesha magari etc
Mchicha hautapenda kuliwa na mbuzi kwa sababu ona experience ya kuwa mbuzi sio tamu kivile, analala sehemu chafu, anapigwa jua,hathaminiwi etc. Kwa hiyo bora mchicha uliwe na binadamu na sio mbuzi. Uuexperience ubinadamu na sio umbuzi.

Kwani we unajuaje kwa nini ukila mchicha unaona zaidi? Ni kwa sababu mchicha ukiingia mwilini mwingi unajaa kwenye macho kwanza baadae ndo uende na kwingine. Kama tu ambavyo mshamba mwingine yeyote[toka shamba] <'pun intended'😂🤣🤣🤣🤣> akifika mjini au sebuleni ni macho ndo yanakuwa active zaidi! Kwa hiyo ndugu hata kama mchicha kiukweli ukawa hauna uwezo huo[kiuelewa/akili]. Tambua kwamba kwa binadamu ndivyo ilivyo, tumeumbwa na uelewa na utambuzi kujitambua na kutambua. Ukiliwa na Mungu utauexperience umungu[uhai], ukiliwa na shetani utauexperience ushetani[kifo]

Tuendelee na moto wetu 'Hakuna theory hapa wala nukuu ya kitabu chochote maarifa binafsi yanatosha.'💪. Nimeupenda.
 
Hapa umeandika upumbavu tupu, kitendo cha wewe kuandika, binadamu mfugo, unaofugwa na "KILE KINACHOITWA" Tayari huamini uwepo wake, Kama Hakuna Mungu, anawezaje kuwepo.
 
Hiki kitu nilikuwaga nakiwaza Sana nlipokuwa form 2 kwasababu nilikuwa mtu WA kusali Sana
...

Kinachowachanganya watu Ni Ile notion ya kwamba Mungu/shetani wasio Na mwili nao wanakula.??

Ebhu fikiria Sisi binadamu tusingekuwepo, huyo Mungu ana thamani gan??
Yaani ndiyo ...Ni Sawa ameumba manyota yote Na madunia lakini kama Sisi hatupo kumtambua Na kumsifu Yani Ni Kazi Bure Tu maana hayo madunia hayajitambui Na kumsifu...

Yaani Ni Sawa uwe sharobaro kwenye kisiwa ambacho unaishi pekeyako...
Hata uvae Nguo Za Bei kiasi Gani au hata uvae mashati ya dhahabu Na Boxa ya almasi, kama hamna watu wa kukuona Na kusifia Ni Sawa Tu Na ukivaa magunia,hamna tofauti..

Swali la muhimu ni Je? Kati ya sharobaro Na watu wa kumsifia yupi Ni wa muhimu??
Jibu Ni watu wa kumsifia...maana watu wa kusifu wanaweza kuwepo bila sharobaro mtaani lakini sharobaro hawezi kuwepo bila watu wa kumsifia...

Hivo hivo jiulize..Kati ya chakula Na mlaji Nani Ni muhimu?
Jibu Ni chakula, maana vyakula vinaweza kuota,kusitawi, Na kuzaliana bila kuwepo walaji lakini walaji hawawezi kuwepo bila chakula..

Kwahyo Kwa hiyo mifano Mungu Ni sharobaro au mlaji Na Sisi Binadamu Ni chakula au wanakijiji wa kumsifia sharobaro.
Kwahyo in conclusion, Sisi binadamu Ni wa muhimu Kuliko Mungu
 
Huyu kaka kaongea point Sana ..Hivi ulishajiuliza swali, kwanini Hawa kina Mungu Na shetani wanatumia Muda na resources nyingi Sana ili kutuvutia upande Wao?
Mungu anatumia makanisa,wachungaji,kwaya, Misikiti,vitabu, mashehe mpaka makundi kama Al Shabaab ili kujipatia wafuasi binadamu.
Shetani yeye anatumia Pesa,ngono,ulevi,mziki Ni. ili kujipatia wafuasi.(Mungu anatumia mbinu chafu Zaidi)

Yaani Hawa kina Mungu Na shetani wanatumia Muda Na gharama Sana kutupata.

Hii Hali lazima ilete swali🤔🤔..wao wanapata faida Gani???

Hivi ukiona mfanyabiashara anayenunua dhahabu shilingi laki 1 halafu anauza efu 50 utamuitaje??
Sijui Kwa wewe ila Mimi ntamuita kichaa.

Sasa kama binadamu tunaakili ya kutofanya biashara isiyo Na faida

Je, Hawa kina Mungu Na shetani Ni wajinga kiasi Gani mpaka watumie resources zote Hizo bila faida???

Kwahyo Msiseme Mungu anaweza kuishi bila binadamu..

Maana kama Ni hivyo Na anafanya vyote hivyo bila faida basi yeye Ni kichaa ....

Kwahyo inabidi mchague Kati ya kusema Mungu hufanyA vyote hivyo Kwa faida Na anatula Sisi binadam ili yeye aendelee kuwepo...Au Mungu Ni kichaa
 
Ukijua Mungu ni nan na shetani ni nan na umuhimu wao Kwenye maisha wala hutapata tabu
 
lakini kweli, nikiona wazee walivyochoka kwa uzee, kuna muda natamani nife nikiwa na nguvu zangu
tumetofautiana kidogo tuu...mimi natamani sana nionje raha ya uzee nizeeke nione vijana wanavyohangaikia maisha niwashauri...lakini niwe mzee mwenye pesa
 
sasa tufanyaje ili ivyo vitu visiendelee kutumaliza...?
 
sasa tufanyaje ili ivyo vitu visiendelee kutumaliza...?
Fanya venye roho yako inapenda...ukisikia njaa Kula, ukitaka kulewa Lewa, ukimiss Kanisa nenda kasali Kwa Moyo wote, ukimiss ngono fanya, Fanya chochote unachopenda usiwe mtumwa wa Hawa kina Mungu Na shetani.
fanya venye roho yako inajiskia As long as huvunji Sheria Za Jamii unayoishi
 
tumetofautiana kidogo tuu...mimi natamani sana nionje raha ya uzee nizeeke nione vijana wanavyohangaikia maisha niwashauri...lakini niwe mzee mwenye pesa
Yap,..... ukiwa na pesa sawa...usipokuwa nazo...hao vijana ndio watakaokushaiuri na kukidharau...ni mbaya sana.
 

Achilles[emoji91]
 
Mmimi huamini binadamu ni mazao. Sisi ni malighafi lwa kazi fulani za Mungu. Alitupanda anajuwa kazi yetu.

Inawezekana waliotuumba wako kwenye visayari wanakuja kututembelea na vile vispaceship
 
Fantastic Broo
 
You running into the state which has been written with red pen [red]Danger
 
umekunywa gongo gani asububi ya leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…