Chosen Rich
JF-Expert Member
- Jan 7, 2019
- 1,467
- 989
Okay, wewe unafahamu nini kuhusu chanzo cha binadamu ? Katokea tu ? Kaumbwa ?......Hoja hapa ni chanzo cha binadamu ni nini
Jamaa kasema binadamu “kaumbwa”....... hapa ndio kwenye mjadala , THIBITISHE mjadala uishe
Sasa mnaanza kuleta habari za ku study deeply sauti?
Binadamu amepita siku nyingi sana huko kwenye sauti mkuu ndio maana anatengeneza hadi sauti
Okay, wewe unafahamu nini kuhusu chanzo cha binadamu ? Katokea tu ? Kaumbwa ?......
Simply Binaadam ni hiyo Logical-Sound inayounguruma vichwani mwetu !
Na Chimbuko lake ni "Mungu"
Uthibitisho uko kwenye Maandiko matakatifu!
Ushahidi katika Biblia
Mwanzo 1:26 .."Kisha Mungu akasema tumfanye Mtu kwa mfano wetu/kwa sura yetu" , atawale samaki wa baharini ,ndege wa angani ,Wanyama wa kufugwa Dunia yote na viumbe vyote vitambaavyo.
Pia shahidi za kwenye Qur'an Zipo kibao.
So kama Mungu ametumba kwa mfano wake ambao ni Spirit/Nuru/Energy ...basi Chimbuko letu sisi ni huko .
Majibu utayapata Siku Yako yakufa mkuu ! [emoji1787]Mkuu hata mimi naweza kusema nimetumwa na Mungu na nikaandika maandiko na kuyaita matakatifu kama ilivyo Quran na Bibilia
Unatakiwa uthibitisho thabiti na sio nikimuuliza muislam atasema Allah, akija mkristo atasema jehova, muhindu atakuja na wake mkorea wake
Majibu utayapata Siku Yako yakufa mkuu ! [emoji1787]
Pale ndio safari yako ya kurejea from your Origin itakudhihirikia usoni mwako live [emoji38][emoji38]!
Mimi sijiulizi, Jibu nnalo nmeumbwa na aliefanya ulimwengu wote ukawepo, namaanisha Mungu.Know body knows mkuu
Binadamu wote tuliopo hai sasa hivi tunachojua ni kwamba tumezaliwa na wazazi wetu....... yani tumejikuta tumezaliwa, na sisi tutazaa halafu tutakufa...... vizazi vitaendelea hivyo na haijulikani mwisho wake
Vizazi vyako 10 nyuma huvijui, na wewe baada vizazi vyako kumi mbele hakuna atakaye kujua kama uliwa kuishi duniani.
Watajiuliza tumetokea wapi kama wewe ulivyo jiuliza au kama babu wa babu yako wa mababu zako walivyojiuliza baada ya kujikuta wamezaliwa na wazazi wao
Vyanzo vingine vyote ni blah blah zakutengenezwa za theory za wanasayansi na hekaya za mungu
Nakubaliana nawe, hususani hapa kwenye energy/spirit binadamu kabla hajatamka kitu huwa kinaanza kutamkwa kwenye nafsi.Ntajibu kwa hoja kutokana na Uelewa wangu mdogo!
Binadamu Yuko na Phase 3 duniani .
Science inasema.....
""Energy can neither be created nor destroyed but can be transformed from one form to another!""
Phase 1 : Kuzaliwa (Energy activation)
Phase 2 : Kuzaa (Energy transmission)
Phase 3 : Kufa (Energy transformation)
Ambazo phase hizi zinatokea katika Kila kiitwacho kiumbe hai . In short sisi ni Wanyama kama walivyo Wanyama wengine.
Ila Tofauti yetu na viumbe vingine ni "Utashi"
Kwa Mimi Unaposema Neno Binaadam linatokana na state ya ubinaadamu/Utu ni Ile hali ya ku possess Utashi "Will-being" logical beings(Akili ya Uchanganuzi na mipango). Na Unaposema Unyama ni Ile hali ya kinyume Cha Utashi ....
Organ iitwayo Ubongo karibia Wanyama wote wako nayo, ambapo ndani ya Ubongo huo Eneo linaitwa Cerebral cortex Kuna Kitu kinaitwa "Mind" ni kama Software ambayo inafanya Kazi katika hali ya Umeme.
Mind imegawanyika Pande kuu mbili .... Conscious Mind (Centre of Logics/rational/programming zone) na Subconscious Mind(Irrational/Store of Programs).
Sasa tusizunguke sana hapa kwenye Conscious Mind ndipo Binaadam(Will-being) alipo na anaishi katika mfumo wa mawimbi-Sauti ! .....na ndipo kwa Wanyama wengine hii advanced level ya Utashi haipo... wako na Cerebral cortex ambayo inafanya tu reactions tu kutokana na instant surroundings then itaprogram subconscious minds zao behaviours husika bila reasoning kinyume kabisa na Binaadam.
Kabla hujazungumza chochote mdomoni Kwako Conscious Mind ilishazungumza before!
Ndio maana wahenga walisema Mtu akifa tunasema "Amekata Kauli"....maiti haiongei!
Chimbuko la Binadamu liko Ndani ya Mwili wa binaadam ambalo kiimani Spirit na kisayansi ni Energy .
Sayansi pekee haitoweza kujibu Chimbuko la Binaadam ndio maana Kuna Fields za kiimani ambazo Mungu ndio Source ya Kila Kitu umlimwenguni.
"Na tumewaumba kutokana na mfano wetu"
Science is so weak to Answer the Origin of Human life but Spirituality can!
Science haiamini mizimu na spirits 8n general.....lakini watu wanaziishi hizo experience na ziko scattered as Energy Zina possess transformations kama vile Sound na electrical energies.[emoji106]!
Nafikiri hujamuelewa, hata huyo bubu kabla hajaonyesha kwa ishara nini anamaanisha tayari alishatamka kwenye nafsi kabla ya kupeleka kwenye ishara, kama alivyosema ni energy kwa hiyo vinafanyika kwa speed kubwaScience never claim can solve everything
Sayansi haijawahi kusemwa ina majibu ya kila kitu mkuu
Kwenye huu ulimwengu sayansi inajua vitu vichache sana ambavyo vinatusaidia kurahisisha maisha yetu na bado inaendelea kutafuta
Hiyo hoja yako ya sauti ni tenge
Wewe unaye ongea na bubu hamna tofauti yoyote ya kufikiri tofauti yenu ni kwenye kuwasiliana tu
Sauti is just a means of communication
Kwakuwa umesema chanzo cha binadamu....... basi tunaomba ukithibitishe hicho chanzo kuwa kipo na sio blah blah za kuhoji sayansi
Sayansi haina majibu ya kila kitu
Nafikiri hujamuelewa, hata huyo bubu kabla hajaonyesha kwa ishara nini anamaanisha tayari alishatamka kwenye nafsi kabla ya kupeleka kwenye ishara, kama alivyosema ni energy kwa hiyo vinafanyika kwa speed kubwa
Sent from my Infinix X689C using JamiiForums mobile app
Kuhusu chanzo cha binadamu ni kuumbwa, yupo muumbaji na mtengenezaji wa binadamu kama lilivyo gari/machine yupo mtengenezajiHivyo vitu vinauhusiano gani na chanzo cha binadamu?
Ndizi utumboHii ndiyo nadharia inayosemwa inatakiwa kukubaliwa na kila binadamu na ndiyo nadharia inayoitwa na baadhi ya watu kuwa ni kamilifu na timilifu.
Kuwa hakuna ajue wewe binadamu umetokea wapi na kwa nini upo ivo ulivo. Kuwa Binadamu hana kusudio lolote lile la kuwepo kwake duniani.
Na haileweki imekuwaje binadamu kuna mambo anayoyaita mema na mengine anayaita mabaya.
Hitimisho ni kuwa binadamu ni kiumbe kisichoelezeka.
Kuhusu chanzo cha binadamu ni kuumbwa, yupo muumbaji na mtengenezaji wa binadamu kama lilivyo gari/machine yupo mtengenezaji
Sent from my Infinix X689C using JamiiForums mobile app
Bahati ni nini ?unapojikuta katika maisha wa kumshukuru na kuwasujudia ni baba na mama yako nje ya hapo ni nothing...kuna mambo huwa yanafichwafichwa sana haswa kwenye haya maimani ya kigeni kuna zile amri kumi za mungu,kiufupi ukigusia miungu ni ishu fulani za kutungatunga kukamata ufahamu wa watu ili waishi chini ya sheria fulani za kiulimwengu lakini,tegemeo lako la kuwatii ni baba na mama yako maana ndio watakufanya wewe uishi kwa bahati(baraka) watazo kujazia maisha yamezungukwa na funguo moja tu ya BAHATI,kama huna bahati usitegemee ukaisha maisha ya furaha zaidi ni jasho na damu plus maradhi.....
Kwa uelewa wanguBahati ni nini ?
Kama mungu angekuwepo basi angetupa manual guideKuhusu chanzo cha binadamu ni kuumbwa, yupo muumbaji na mtengenezaji wa binadamu kama lilivyo gari/machine yupo mtengenezaji
Sent from my Infinix X689C using JamiiForums mobile app
Unataka Manual Guide zipi Tena !??Kama mungu angekuwepo basi angetupa manual guide
Tunarudi kule kuleUnataka Manual Guide zipi Tena !??
1.Zaburi
2.Torati
3.Injil
4.Qura'n
Ulishawahi kutenga Muda wako ukazisoma user guides zote hizi ukazimaliza mpaka ukasema hamna User manual guide?
Nini maana ya kuumbwa? kwanini tuliumbwa.?Sawa kabisa.
Sasa wewe nimegundua kuwa unawaza kwa mtizamo wa uwezo wako wa kibinadamu
Kwani mbunifu ni Lazima awe na sifa zinazofanana na alivyoviumba? Labda hatujui maana ya kuumbwa
Mimi nataka unijibu wewe binafsi umevisoma ...mpaka kufikia hatua ya Kuvidadavua kimoja baada ya kimoja au Unafuata FALSAFA Mkumbo tu ?Tunarudi kule kule
Hivyo vitabu vimeandikwa na watu na Sio mungu.
Kama hivyo vitabu vimeandikwa na mungu basi visingekuwa na kasoro,mapungufu, kiasi ya kwamba Hata mtoto wa Shule ya msingi anahoji maswali juu ya vitabu hivyo