Binadamu: Kiumbe chenye chanzo kisichojulikana, yupoyupo tu hana mwanzo wala mwisho

Binadamu: Kiumbe chenye chanzo kisichojulikana, yupoyupo tu hana mwanzo wala mwisho

Unajua ukiangalia nature kwa jicho la Nishati utaona kwamba kila kitu kinataka kuwa kwenye equilibrium kuna mada mtu mmoja alishasema kwamba mambo yapo organized na hivi ndio nilivyomjibu......
Organized ? Una uhakika mambo yapo organized ?

Ukiagusha sumaku mwisho wa siku zitajipanga sio sababu ya kutaka kuwa organized bali sababu unlike attracts and like repels....

Maua yapo vile sio wewe umpe mpenzi wako bali nyuki anavyochukua chakula aweze kuyachamvua hence propagation...; ukimwaga maji yatatafuta level yake...., (Nature abhors a Vacuum) kwahio kila kitu kipo kama kilivyo sababu kulivyo kwake ni state ambayo inatumia nishati minimum (efficient)

Haya mambo yangefanyika magically tungekuwa hatuhitaji kula, wala kuua vingine ili sisi tuishi..., Yaani kuchukua miezi kadhaa ili kitu kikue (kuku kulalia yai / badala ya kufanya mengine) n.k. Hayo yote yangefanyika bila kuhitaji process zote hizo; Pia ukiangalia sana kila kitu hai unachokiona ni hydrogen, oxygen, carbon, and nitrogen. Na hata wewe leo ukiweka chupa tupu na kuifunika baada ya muda utaona life form humo ndani (hio sio necessarily kwamba wewe ndio ulitengeneza) na kuna vitu ambayo hapo kale vilikuwa havipo (new species) je Mungu ameamua kurudi kuumba au anaumba kwa hatua.....

Mimba anashika mama sababu ni efficient na ana viungo vya kuweza kulea huyo mtoto mwanaume hata kwa bahati mbaya DNA ikikosea na akawa ana Organs mbili hio itakuwa kama kilema na huenda organ ya pili isifanye kazi lakini ikifanya kazi na akawa more efficient huenda wenye organ moja wataisha either kwa manual selection kwamba watu kuona kwanini niwe na mwenza na nisimalize mtoto mwenyewe hence binadamu wa mume na mke kuisha naturally au huenda wasidumu sababu watu watawaona kama kituko hence wasipate partners au kuwauwa..., au kutokea vita kuuwana baina ya hawa na wale.... (hapo nakupa short version ambayo haiitaji miaka trillion kadhaa au umri mwingine wa dunia kama huu wa leo ili major changes kutokea.....

Hakuna mtu aliyesema hakuna intervation iliyotokea huenda kuna some exact voltage ilitokea katika kipindi fulani cha maturity ambacho huenda hakikatokea tena kwamwe..., ndio maana nikasem tuki-rewind tena huenda mambo yasiwe kama yalivyo sasa (sababu kuna so many variables) ila ikishatokea ndio hivyo kama kilichotokea ni more efficient (kwa utumiaji wa nishati) basi kitaendelea hivyo kuliko kile kilichotokea kabla....., ila mazingira yakibadilika na kukawa kuna happenstances za aina fulani zinazotokea mara kwa mara basi usishangae matokeo ya kitu fulani yakawa hivyo na kuendelea (Kumbuka DNA inajicopy) information inakuwa transferred sasa kama information inasema HUYO NI MKE, HUYO NI MKE, HUYO NI MKE na bahati mbaya kwenye ile K ikaprinti M na kuwa MME badala ya MKE copies za coming informations zote zitakuwa MME sasa kama MME atakuwa more efficient unategemea what will happen....

Hata kama ODDS ni Moja katika Occurences MILIONI 30 na dunia ina miaka kama milioni Hamsini huoni kama uwezekano wa kilichotokea kutoa is a highly possibility (tena kutokutokea itakuwa ni jambo la kushangaza yaani ni kama UNA-BET kwamba jambo linalotokea mara moja kwa miaka 30 halitatokea kwenye miaka 50

Ndio maana nikasema hivi does nothingness really exists na kwa wale wanaoamini kwamba kulitokea mlipuko mdogo (Big Bang) ambayo explosion hio huenda ilicreate elements as we know them..., sasa uwepo wa hizo elements na game of chance ulipelekea kuungana tofauti tofauti au kutengana na na mwisho wa siku huenda life form ilianzia hapo

Cha kujiuliza hio volume ilitokea wapi na universe ina mwisho au universe ilikuwa haipo bali hii explosion inavyoexpand ndio inacreate volume au kuna explosions nyingi nyingi zimetokea sehemu tofauti tofauti (Huo ndio uzuri wa sayansi sio kusema kwamba wanajua kila kitu bali wanatafuta majibu kwa kile wasichokijua na kuendelea na utafiti na wakigundua kwamba walikosea wanasem tulikosea) Tofauti na watu wa Imani wakiona walikuwa wamekosea wanatafuta explanation iendane na maelezo yao ya awali au kusema tu ni Magic....

Wote tukiwa na mtizamo wa kutafuta ukweli tutafika mbali lakini tukiwa na mtizamo wa kusema ni magic au fulani alitwambia hivi huenda mpaka leo tungekuwa hatujengi Sky Scrappers kwa kuongopa kumkasirisha Mungu (ili eti tusiadhibiwa kama watu wa Babeli na Mnara wao)

Okay, nadhani ume base sana kwenye assumptions,... Na naelewa sababu ni ukweli kwamba currently hakuna facts za kisayansi ambazo tunaweza kutegemea kama chanzo sahihi 100% cha viumbe.

Naomba niweke tu sawa kwamba, unaposema hayo mambo yangefanyika magically..... Ipo hivi What we often term as magic is, in fact, not magic but merely knowledge that we don't yet understand!
Hujawahi kujiuliza kwamba huenda kila tunachokiona ni cha ajabu labda kina Mjuzi anaejua every detail about it??

Lakini pia unaposema mambo hayapo organized pia inashangaza.... Kwasababu kuna Laws ambazo zipo na lazima viumbe tuzifuate laws hizo,.. mfano Kula, Kulala, Kupumua, Reproduction, ageing, Gender, na physical laws nyingine zinazopelekea results kama having Day and Night, Different seasons... So ulivyosema mambo hayapo organized umeniacha dillema kidogo.
 
"Ukisha sema kitu kipo, Halafu useme tena hakielezeki hapa unaleta mkanganyiko (Contradiction) maana kama huwezi kuki elezea, Uliwezaje kujua kipo?

Kwa haya maelezo yako mafupi emu tumia dk 2 kujishangaa ulichokiandika....Maana umeshahama na haujui hata tunaongea kuhusu nini...Kuelekezana jambo na wewe ni tabu sana maana inaonyesha una kichwa kigumu na sio mtu muelewa ukielekezwa jambo

Nakuelezea jambo mimi bado umekazana kubishana why ? Ilikua unielewe tu nliposema kwamba mimi naota hata vitu ambavyo sijawahi kuviona ulimwenguni...Inabidi ufahamu " najizungumzia mimi" lakini ulivyo na kichwa kigumu bado unabishana.
Wewe una ongea "ILLUSION" zako hapa halafu kuthibitisha huwezi unabaki kulalamika tu.

Naku uliza hivi, Kitu kama umeweza kujua kipo kwa nini ushindwe kuelezea muonekano wake?

Kama huwezi kuelezea muonekano wake, Huoni una ongea illusion zako zisizo kuwepo?
 
Wewe una ongea "ILLUSION" zako hapa halafu kuthibitisha huwezi unabaki kulalamika tu.

Naku uliza hivi, Kitu kama umeweza kujua kipo kwa nini ushindwe kuelezea muonekano wake?

Kama huwezi kuelezea muonekano wake, Huoni una ongea illusion zako zisizo kuwepo?
"Ellusion zisizokuwepo" [emoji28][emoji28], Mbona umejileta mwenyewe sasa kwenye point yangu.

Alafu silalamiki nakueleza ili ujijue ulivyo.

Kama kila kitu unahitaji uthibitisho ili uamini au uelewe kichwa chako kitakuja kuburst...Maana kuna mambo mengine hayahitaji uthibitishiwe...Na ukweli hauna haja ya kutetewa ukweli huwa upo tuu siku zote haijalishi unafahamika au haufahamiki...

So nyuzi kama hizi ni za kupotezeana muda tu ndio maana hakuna mwisho wa haya majibizano.

Narudia tena UKWELI huwa hautetewi, ukweli huwa upo tuu.
 
Kanuni hii ni ya kwangu binafsi, Si kwamba ni kanuni ya watu wote.

Kanuni hii ni kutokana na kwamba watu wanaodai Mungu ni chanzo cha ulimwengu hawana UTHIBITISHO wa madai yao.
(Ni mawazo yao ya kufikirika tu)

Watu wengi wana amini Mungu Hana chanzo kwamba alitokea tu, Pia wana amini Mungu huyohuyo hana mwisho.

Watu wengi wameweza kuamini Mungu wasiyemjua Hana chanzo Lakini wana lazimisha kwamba Dunia ina chanzo, Na chanzo hicho wanadai ni "Mungu" Kwamba wana amini Haiwezekani Dunia iwe imetokea tu yenyewe Pasipo chanzo.

Sasa ni hivi[emoji116]

Kama "Haiwezekani" Dunia isiwe na muumbaji, kwamba lazima awepo aliye iumba "Imewezekana" vipi Mungu asiwe na Muumbaji?

Kama Mungu hana mwanzo, Inashindikana vipi kwa Dunia kutokuwa na mwanzo?

Huu ulazima wa kwamba Dunia lazima iwe na chanzo, ila Mungu yeye Hana chanzo uliwekwa na nani?

Hapa sasa ndipo,Kanuni hii inapo tumika kwamba,

Kama ni lazima kila kitu kilichopo kiwe na chanzo, Basi hata Mungu lazima awe na chanzo. Maana Mungu huyo bado "HAJATHIBITIKA" rasmi kwamba yeye ndio chanzo halisi cha ulimwengu.
( Bado ni mawazo na mafikirio ya watu tu)

Sasa kama bado Mungu HAJATHIBITIKA kuwa chanzo halisi cha Dunia, Hakuna ulazima wa kwamba Dunia imeumbwa na ina mwanzo.

Ila mtu akianza kuweka ulazima wa kwamba Dunia lazima iwe imeumbwa, Lazima athibitishe kwamba chanzo cha Dunia hakina mwanzo.

Na aeleze na kuthibitisha chanzo hicho cha Dunia, kimewezaje kuwepo bila chanzo kingine.

Unajadili mambo pasina maarifa, umesoma logic? unafahamu infinite regress fallacy ni nini?
 
Kanuni hii ni ya kwangu binafsi, Si kwamba ni kanuni ya watu wote.

Kanuni hii ni kutokana na kwamba watu wanaodai Mungu ni chanzo cha ulimwengu hawana UTHIBITISHO wa madai yao.
(Ni mawazo yao ya kufikirika tu)

Watu wengi wana amini Mungu Hana chanzo kwamba alitokea tu, Pia wana amini Mungu huyohuyo hana mwisho.

Watu wengi wameweza kuamini Mungu wasiyemjua Hana chanzo Lakini wana lazimisha kwamba Dunia ina chanzo, Na chanzo hicho wanadai ni "Mungu" Kwamba wana amini Haiwezekani Dunia iwe imetokea tu yenyewe Pasipo chanzo.

Sasa ni hivi[emoji116]

Kama "Haiwezekani" Dunia isiwe na muumbaji, kwamba lazima awepo aliye iumba "Imewezekana" vipi Mungu asiwe na Muumbaji?

Kama Mungu hana mwanzo, Inashindikana vipi kwa Dunia kutokuwa na mwanzo?

Huu ulazima wa kwamba Dunia lazima iwe na chanzo, ila Mungu yeye Hana chanzo uliwekwa na nani?

Hapa sasa ndipo,Kanuni hii inapo tumika kwamba,

Kama ni lazima kila kitu kilichopo kiwe na chanzo, Basi hata Mungu lazima awe na chanzo. Maana Mungu huyo bado "HAJATHIBITIKA" rasmi kwamba yeye ndio chanzo halisi cha ulimwengu.
( Bado ni mawazo na mafikirio ya watu tu)

Sasa kama bado Mungu HAJATHIBITIKA kuwa chanzo halisi cha Dunia, Hakuna ulazima wa kwamba Dunia imeumbwa na ina mwanzo.

Ila mtu akianza kuweka ulazima wa kwamba Dunia lazima iwe imeumbwa, Lazima athibitishe kwamba chanzo cha Dunia hakina mwanzo.

Na aeleze na kuthibitisha chanzo hicho cha Dunia, kimewezaje kuwepo bila chanzo kingine.

Unafahamu nini kuhusu nadharia ya causality na effect?
 
Sasa ni hivi[emoji116]

Kama "Haiwezekani" Dunia isiwe na muumbaji, kwamba lazima awepo aliye iumba "Imewezekana" vipi Mungu asiwe na Muumbaji?

Kama Mungu hana mwanzo, Inashindikana vipi kwa Dunia kutokuwa na mwanzo?

Huu ulazima wa kwamba Dunia lazima iwe na chanzo, ila Mungu yeye Hana chanzo uliwekwa na nani?

Hapa sasa ndipo,Kanuni hii inapo tumika kwamba,

Kama ni lazima kila kitu kilichopo kiwe na chanzo, Basi hata Mungu lazima awe na chanzo. Maana Mungu huyo bado "HAJATHIBITIKA" rasmi kwamba yeye ndio chanzo halisi cha ulimwengu.
( Bado ni mawazo na mafikirio ya watu tu)

.

Unajenga hoja gani aisee, nilikuwa na fikra za aina hii nilipokuwa shule ya msingi ...
 
Kama "Haiwezekani" Dunia isiwe na muumbaji, kwamba lazima awepo aliye iumba "Imewezekana" vipi Mungu asiwe na Muumbaji?

Kama Mungu hana mwanzo, Inashindikana vipi kwa Dunia kutokuwa na mwanzo?

.

Unamzungumzia MUNGU gani kwanza? [emoji23] hoja unazojenga hazimsadifu MUNGU wa WAKRISTO wa WAYAHUDI wala wa WAISLAMU
 
Sasa ni hivi[emoji116]

Kama "Haiwezekani" Dunia isiwe na muumbaji, kwamba lazima awepo aliye iumba "Imewezekana" vipi Mungu asiwe na Muumbaji?

Kama Mungu hana mwanzo, Inashindikana vipi kwa Dunia kutokuwa na mwanzo?

Huu ulazima wa kwamba Dunia lazima iwe na chanzo, ila Mungu yeye Hana chanzo uliwekwa na nani?

Hapa sasa ndipo,Kanuni hii inapo tumika kwamba,

Kama ni lazima kila kitu kilichopo kiwe na chanzo, Basi hata Mungu lazima awe na chanzo. Maana Mungu huyo bado "HAJATHIBITIKA" rasmi kwamba yeye ndio chanzo halisi cha ulimwengu.
( Bado ni mawazo na mafikirio ya watu tu)

Sasa kama bado Mungu HAJATHIBITIKA kuwa chanzo halisi cha Dunia, Hakuna ulazima wa kwamba Dunia imeumbwa na ina mwanzo.

Ila mtu akianza kuweka ulazima wa kwamba Dunia lazima iwe imeumbwa, Lazima athibitishe kwamba chanzo cha Dunia hakina mwanzo.

Na aeleze na kuthibitisha chanzo hicho cha Dunia, kimewezaje kuwepo bila chanzo kingine.

Wataka kutuambia hujui sifa kuu na tofautishi kati ya vilivyo na vyanzo na visivyokuwa na vyanzo?
 
Shimba ya Buyenze umetoa maelezo mazuri sana Lakini hujajibu swali la Msingi. Nini chanzo cha binadamu?

Watu kama kina Infropreneur Wanasema hata nadharia za wanasayansi kuhusu uasili na chanzo cha uwepo wa binadamu hazina majibu ni nini hasa chanzo cha binadamu.

Kwa ivo leo hii nyani wakianza kula nyama nao pia ubongo wao utakua na kuanza kuwa kama binadamu??

Mimi ni nani?
Mimi ni jina tu.....
Zaidi ya hapo na yanayoendelea ni yeye!!!
 
Okay, nadhani ume base sana kwenye assumptions,... Na naelewa sababu ni ukweli kwamba currently hakuna facts za kisayansi ambazo tunaweza kutegemea kama chanzo sahihi 100% cha viumbe.
Lazima uchukue assumptions fulani kama kuna variables tofauti..., una-assume kama ikiwa hivi outcome itakuwaje kulingana na known facts..., na kama ingekuwa vile basi known facts lazima zingekuwa hivi na sababu hazipo hivi basi haiwezekani ikawa hivi.....
Naomba niweke tu sawa kwamba, unaposema hayo mambo yangefanyika magically..... Ipo hivi What we often term as magic is, in fact, not magic but merely knowledge that we don't yet understand!
There is no such thing as magic..., ndio maana nikasema kwa wale wanaodhani ni muujiza basi mambo yasingekuwa kama yalivyo yaani kuhitaji action fulani ili reaction itokee; a superpower ambayo magically ilitengeneza vitu isingehitaji hivyo vitu vitumie nishati au kuwe na law of the jungle ili huyu aweze kula hiki au kile na kuua kingine for survival, things could have more more abra cadabra...
Hujawahi kujiuliza kwamba huenda kila tunachokiona ni cha ajabu labda kina Mjuzi anaejua every detail about it??
kila ninachokiona cha ajabu au muujiza ninajua kwamba sijajua kinavyofanya kazi na hivyo ninajitahidi kukifahamu sijawahi kuja na jibu rahisi kama ni muujiza kwa kufanya hivyo kila kitu kwangu kingekuwa ni muujiza wala nisingeelewa hata haya ninayoyaelewa....
Lakini pia unaposema mambo hayapo organized pia inashangaza.... Kwasababu kuna Laws ambazo zipo na lazima viumbe tuzifuate laws hizo,..
Kwa muktadha wa hilo jibu nililolitoa ilikuwa ni uzi kwamba vitu vipo organized sababu kuna mtu alivipanga vile..., na mimi jibu langu likawa ana uhakika hivyo vitu vipo organized ? Vitu vitu vilivyo sababu nature / naturally hio ndio a stable state ambayo inatumia minimum energy..., sio sababu mtu amevipanga ukimwaga maji yakwenda kwenye lowest level..., bahari na maziwa yapo kwenye lowest level ukirusha kitu juu kitarudi chini sababu ya gravity..., ukizaliwa utakufa..., ukila lazima uta-excrete n.k.
mfano Kula, Kulala, Kupumua, Reproduction, ageing, Gender, na physical laws nyingine zinazopelekea results kama having Day and Night, Different seasons... So ulivyosema mambo hayapo organized umeniacha dillema kidogo.
Like I said above vipo hivyo sababu ni nature na visingeweza kuwa tofauti na hivyo na sio kwamba mtu / kitu kimepanga viwe hivyo..., ingekuwa ajabu kama kiumbe hai kingeweza kuishi bila kula (kitapata wapi nishati) bila reproduction wala kisingekuwepo..., bila ageing basi kisingekufa wala kungekuwa hakuna sababu ya reproduction sababu specie hio ingejaa gender inabidi iwepo for reproduction reasons..., kwahio the main issue ilikuwa ni kwamba mambo yapo kama yalivyo sio kwamba kuna mtu aliyapanga yawe hivyo bali hio ndio state ambayo ni stable inabidi yawe hivyo..., mfano mzuri ni ziwa..., lipo pale chini na limekaa kwa ule muundo sababu maji yote yanayotoka huku na kule ni pale ndio yanatuhama sababu kuna bonde..... na sio kwamba ilipangwa kwamba hapa yawepo maji na kama litatokea bonde jingine kwa chini zaidi hilo ziwa litahama (naturally)...,

Jua na usiku kama dunia inazunguka at a constant speed kutokana na mvutano na hakuna kitu cha ku-impede hio speed au kuiongeza lazima siku ziwe vilevile na seasons ziwe kama zilivyo sababu ni kama unasafiri baada ya masaa kadhaa utakuwa palepale ulipokuwa jana na juzi sababu safari ni ileile na inakwenda vilevile....

Kwahio point yangu ilikuwa vina-appear vipo hivyo sio sababu mtu alipanga viwe vile bali kuwepo kwake hivyo ni more stable than vingekuwa otherwise
 
Wataka kutuambia hujui sifa kuu na tofautishi kati ya vilivyo na vyanzo na visivyokuwa na vyanzo?
Sio kujua sifa.

Kwanza anza kuelezea na kuthibitisha mwanzo wa hivyo vyanzo.

Kwa nini unadhani kuna mwanzo wa vilivyo na mwanzo?

Pia thibitisha hivyo visivyokuwa na mwanzo, Vimewezaje kutokea tu from nothing?
 
Unamzungumzia MUNGU gani kwanza? [emoji23] hoja unazojenga hazimsadifu MUNGU wa WAKRISTO wa WAYAHUDI wala wa WAISLAMU
Namzungumzia Mungu anaye dhaniwa kuwa ndiye chanzo cha ulimwengu.

Nasema hivi 👇

Mungu huyo hayupo.
 
Unajenga hoja gani aisee, nilikuwa na fikra za aina hii nilipokuwa shule ya msingi ...
Eleza hoja zako basi.

Kama nina hoja za shule ya msingi, Eleza hizo za kwako.

Sio una bwabwaja bwabwaja hapa, Na huja eleza Hoja yeyote.

Una zunguka zunguka tu.
 
"Ellusion zisizokuwepo" [
Huelewi hata maana ya illusion wewe.
emoji28][emoji28], Mbona umejileta mwenyewe sasa kwenye point yangu.

Alafu silalamiki nakueleza ili ujijue ulivyo.

Kama kila kitu unahitaji uthibitisho ili uamini au uelewe kichwa chako kitakuja kuburst...Maana kuna mambo mengine hayahitaji uthibitishiwe...
Jambo lolote lisilo na Uthibitisho ni Uongo na propaganda tu.

Mawazo ya kufikirika tu.
Na ukweli hauna haja ya kutetewa ukweli huwa upo tuu siku zote haijalishi unafahamika au haufahamiki...
Ukweli unaendana na kujua, uwepo wa uthibitisho (proofs), Evidences, facts na logic.

Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika na mawazo ya kufikirika tu.

Ili kitu kiwe ukweli lazima kithibitishike, na kuwe na evidences zake.

Sio una ongea "imani na illusion" zako hapa una ziiza ukweli.

Hayo ni mawazo yako ya kufikirika tu (maluwe luwe) , imaginations tu.
So nyuzi kama hizi ni za kupotezeana muda tu ndio maana hakuna mwisho wa haya majibizano.

Narudia tena UKWELI huwa hautetewi, ukweli huwa upo tuu.

Nakwambia tena, Ukweli lazima uwe na evidences, proofs na facts.

Maana hata Uongo upo vilevile.
 
Lazima uchukue assumptions fulani kama kuna variables tofauti..., una-assume kama ikiwa hivi outcome itakuwaje kulingana na known facts..., na kama ingekuwa vile basi known facts lazima zingekuwa hivi na sababu hazipo hivi basi haiwezekani ikawa hivi.....
Mimi nakumbuka mwanzo wa huu mjadala, kina Infropreneur walisema mambo ya kukisia hayatakiwi. Una hakika na unachokisema na unawezaje kukithibitisha?

Maana unasema ikiwa hivi lazima iwe vile, hoja ya mjadala ni kuwa kabla haijawa hivi kulikuwa na nini?
Kwahio point yangu ilikuwa vina-appear vipo hivyo sio sababu mtu alipanga viwe vile bali kuwepo kwake hivyo ni more stable than vingekuwa otherwise
Kwa nini unaweka hoja yako kwenye urari wa "mtu". Unaposema "sio sababu mtu alipanga viwe vile..." huoni kama unaufanya mjadala uwe chini ya kiwango??

Tunachotaka kujua hiyo "stability" ya huu mfumo mzima inatokana na nini? Mfumo umezuka tu ama kuna muumbaji wake?
 
Mimi nakumbuka mwanzo wa huu mjadala, kina Infropreneur walisema mambo ya kukisia hayatakiwi. Una hakika na unachokisema na unawezaje kukithibitisha?
Unachukua sentensi moja moja na kuibadilisha nimesema assumptions ni lazima katika kujenga premise hata kwenye equation Mfano kama ni number inaweza ikawa ni positive au negative kwahio hata usipojua kama ilikuwa ni negative au positive unasema tu-assume ilikuwa negative lakini sababu jibu ni Positive haiwezekani moja ikawa ni negative sababu negative x negative ni positive iwapo moja tu ni positive basi jibu lisingekuwa negative (kwahio logic inakuleta kwenye ukweli baada ya ku-eliminate all the impossibles au vitu ambavyo they do not add up)
Maana unasema ikiwa hivi lazima iwe vile, hoja ya mjadala ni kuwa kabla haijawa hivi kulikuwa na nini?
Sababu imekuwa hivi tunavyoona sasa basi lazima kipindi kile ilikuwa vile; haiwezi ikawa kama mwingine anavyosema sababu arguments zake they do not hold water...., tuki-pencil kila ambacho hatujui kwamba ni magic hakuna sababu hata ya kuchunguza; ni either hatujui.., Au tunajua yale ambayo ni factual kutokana na kufanya research; forming hypothesis na baadae experiments kuhakikisha kama tunachosema kina ukweli na kama kuna kitu hakipo sawa kuendelea na uchunguzi mpaka kufikia sehemu ambapo things add up....
Kwa nini unaweka hoja yako kwenye urari wa "mtu". Unaposema "sio sababu mtu alipanga viwe vile..." huoni kama unaufanya mjadala uwe chini ya kiwango??
Mtu angepanga iwe vile na ana uwezo wa kupanga iwe vile dunia / mambo yasingekuwa this mechanical na inefficient; yaani ingekuwa 100 percent efficient..., na huenda yale ambayo zamani tulidhani binadamu hawezi kuyafanya au kufanyika sababu ni magical kwamba mfano mama kubeba mimba (ila kumbe hata test tube inaweza kufanya hicho na mtoto kukua nje ya tumbo la mama; Au moyo kwamba ni kitu delicate sana (ila kumbe mashine tu inaweza ikafanya pumping) and the list goes on and on.....
Tunachotaka kujua hiyo "stability" ya huu mfumo mzima inatokana na nini? Mfumo umezuka tu ama kuna muumbaji wake?
Stability ndio hio nimekwambia imefikia hapo through years of adaptation mfano sababu mimea inahitaji jua kukamilisha Photosynthesis majani yake yanakaa perfectly ili kuvuna jua..., sumaku zinajipanga north pole na south sio sababu zikae vile bali sababu unlike attracts; mbegu za mapera ni ngumu ngumu sio ili zipendeze bali mpandaji wake kwa miaka mingi alikuwa ni mnyama anayekula na akijisaidia mapera yanaota; Maua yana nectar au vitu vinavyovutia aina za wadudu ili waweze kusaidia propagation yake.... Na vile vilivyo-succeed katika ecosystem iliyopo ndio vipo leo vingine naturally vilikuwa au vitakuwa extinct
 
Walau tuwe na "focus" ya mjadala.

Binadamu amekuwaje hivyo alivyo??

Wapo ambao wana mkatale tu kuwa binadamu hakuumbwa.

Lakini wapo watu kama kina Infropreneur ambao wao Wanasema binadamu yupo tu Wala hana mwanzo wala mwisho.

Wapo kina Logikos ambao wao wanatumia nadharia nyingi za kisayansi kuonesha kuwa hali Iko hivi kwa kuwa tu Iko hivi na kwa kuwa haiko kivingine basi hakuna sababu ya kutafuta ilikuwaje kabla au ingekuwaje kama isingekuwa hivi ilivyo Sasa!!
 
Back
Top Bottom