rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Umeme upo?.....[emoji12][emoji2957]
Je? Upepo???[emoji2957][emoji2957][emoji13]
Ukituma meseji kwenye simu yako,mbona hatuoni ikitoka na kuingia kwenye simu uliyotuma?[emoji10][emoji854]
Vp? Radio mtu yupo studio lakini dunia nzima twamsikia???[emoji13][emoji857][emoji2957][emoji2957]
HIYO NI TAFSIRI YA ULICHOHOJI.
Radio? Radio hazifanyi kazi bila minara na satelaiti, mbona hii inathibitishika kirahisi tu