Blender
JF-Expert Member
- Mar 5, 2022
- 4,870
- 8,035
Mimi nataka unijibu wewe binafsi umevisoma ...mpaka kufikia hatua ya Kuvidadavua kimoja baada ya kimoja au Unafuata FALSAFA Mkumbo tu ?
Wengi wetu katika Binadamu ni wavivu wa Kusoma na Kufanya Research
Nilianza kusoma Bible, nikaja Qur'an,
History of Buddha, Hindu