Bingwa wa kusilimisha Wakristo ameingia Qatar Wakristo wengi wahofiwa kusilimu. Eneo la FIFA lapambwa kwa maneno ya Mtume Muhammad S.A.W

LICHA YA YOTE HAYO JUZI WALIKASIRIKA TIMU YA ECUADOR KUMUABUDU YESU MBELE YAO BAADA YA KUIFUNGA QATAR. WALILAANI KICHIZ. WAPENDE WASIPENDE YESU ATAABUDIWA TU MBELE YAO.

Cc battawi
 
Zamani mlikuwa mnasema Quran ni maneno ya uongo Sasa hivi mnakubali kuwa ni maneno ya ukweli ila mnasema Muhammad amekopi

Mmebakiza point Moja tu kuelewa kuwa Quran ni ufunuo kutoka kwa Mungu muumba mbingu na aridhi (Allah)

By the way Allah anawashangaa Wayahudi na wakristo Kila mmoja wenu anamwambia mwenzake amepotea wakati wote mnasoma kitabu kimoja

Quran 2:113.
Na Mayahudi husema: Wakristo hawana lao jambo. Na Wakristo husema: Mayahudi hawana lao jambo. Na ilhali wote wanasoma Kitabu hicho hicho (Biblia). Na
 
Hapa pongezi ni kwa Qatar sio dini tu! Zipo nchi za kiislamu lakini zina uhuru ila Qatar wamesimamia imani yao bila kuyumba mbele ya pressure ya dunia!

Wametufundisha kuwa ulaya na Marekani sio viranja wa utamaduni wa dunia. Kila Taifa lina utaratibu wake na uheshimiwe.
 
Kuna watu humu wamefurahia sana Qatar kufungwa 😁😁, sababu kuu ni waisilam/waarabu na haswaa kilichowachukiza zaidi ni kupiga marufuku ushoga, pombe, nguruwe n.k
 
huna lolote lamaana usijipe vyeo.
 
Kitu imara hakijawahi kuchezewa hata siku moja.
Huo Uhuru wa kufanya unacho kitaka ndio kumeuangamiza ukristo barani Ulaya.

Kadiri mnavyo ruhusu ichezewe hovyo hovyo ndivyo hadhi yake inazidi kushuka.

Kitu chochote kikikosa udhibiti huwa kinaleta uharibifu.
 

Kweli kabisa.
Sio ajabu Mpaka sasa mataifa ya Magharibi bado wanachokochoko na kuwaonea wivu na kujaribu kuwachafua Qatar.

Tunalakujifunza.
Qatar wamekataa kujidharau na kudharau tamaduni zao
 

Shida yenu Waislam ni kudhani dini yenu haina mapungufu. Hilo ndio tatizo Lenu KUBWA.

Sisi wapenda ukweli bila ushabiki tunafahamu kila dini inamadhaifu yake mengi tuu.

Kukataa huko ndiko kunaifanya dini iwe na dosari.
 
Kuna watu humu wamefurahia sana Qatar kufungwa [emoji16][emoji16], sababu kuu ni waisilam/waarabu na haswaa kilichowachukiza zaidi ni kupiga marufuku ushoga, pombe, nguruwe n.k
Wao kwann wazuie watu wengine wasiabudu miungu yao? Jinsi wao wanavoona miungu ya wengine ni takataka ndivo ivo wanaona mungu wao ni takataka....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni unafiki. Jee huyo Allah alikuwa wapi wakati Qatar wanacharazwa mabao 2-0 na Equador nchi ambayo asilimia 92% ni Wakristu (80% Roman Catholics, 11% walokole).
Mashoga acheni makasiriko. Hizo laana zenu mtaenda fanyia huko kwenu. Qatar mkaangalie mpira tu.
 
Hao ni mabinti wa Islamic republic of Iran,wamevua hijab, hawataki upuuzi na maijabu
Sio tatizo kwa sababu wapo pia mabinti wa kiiran wamevaa hijabu hawataki kabisa upuuzi wa kuacha vichwa wazi.
 
Anakuja kuendeleza kitu ambacho hakikuwepo kwenye jamii yake?
ndugu muhammad aliwalingania watu dini(mila)ile ile ya manabii waliopita kama vile ibrahimu.

Allah anamuambia mtume..


[ AL I'MRAN - 95 ]
.قُلْ إِنَّنِي هَدَانِي رَبِّي إِلَىٰ صِرَاطٍ مُّسْتَقِيمٍ دِينًا قِيَمًا مِّلَّةَ إِبْرَاهِيمَ حَنِيفًا ۚ وَمَا كَانَ مِنَ الْمُشْرِكِينَ

[ AL - AN-A'AM - 161 ]
Sema: Kwa hakika mimi Mola wangu Mlezi ameniongoa kwenye Njia Iliyo Nyooka, Dini iliyo sawa kabisa, ambayo ndiyo mila ya Ibrahim aliye kuwa mwongofu, wala hakuwa miongoni mwa waswashirikina"

hapo muhammad anaambiwa aseme kwamba hiyo dini ama njia aliyokuja nayo ndio njia ile ile iliyokuwa ya ibrahimu.

Sasa ndugu robert huwezi kuniambia kwamba muhammad alikuja na dini mpya wakati qurani imathibitisha dini aliyohubiri muhammad ni ile ile ya nabii ibrahimu.

Labda wewe ulete uthibitisho kutoka kwenye hii qurani kwamba muhammad alihubiri dini mpya tofauti na ile dini ya manabii waliopita ?
Unaposema Uislam ulikuwepo, niambie kabla ya Muhammad kuwepo au alivyokuwa mdogo waarabu walikuwa wanaujua huo uislam?
Waarabu kutokuujua uislamu hiyo sio hoja kwamba haukuwepo kabla yao,sisi leo kutokujua historia ya tanu sio hoja kwamba tanu haikuwepo.

Sisi leo kutokujua historia ya vita vya maji maji na washiriki wake hiyo sio hoja kwamba vita ya maji maji haikuwepo.

Kutokujua jambo haimaanishi halikuwepo ama halipo,kutokujua ni jambo moja na kuwepo ni jambo jingine ndugu robert.
Walikuwa wanatambua manabii wapi?
Kutokuwatambua manabii hiyo sio hoja kwamba hawakuwepo manabii kabla yao,manabii walikuwepo akina ibrahimu,musaa,issa,yussuf na wengineo hata kama wengi wao hawakutambua historia hiyo muhammad ndio kaja kuendeleza pale paliposahaulika.
Uislam na Quran mungu wake ni Allah na siku ya Ibada ni ijumaa. Torati, zaburi, na injili ya Wakristo na mayahudi Mungu wao ni Yehova na siku Yao ya kuabudu ni Siku ya Saba, SABATO/jumamosi.
 
Shida ni hilo neno kuiba, japo hatujui unamaanisha nini in deep mind ila ukweli ni kwamba Mungu wa Taurat na Injili, Quran nk ni huyohuyo mmoja isipokuwa kutokana ni upotofu wa binadam hizo injili zilikuwa corrupt katika baadhi ya vipengele hivyo ikashushwa Quran ili kuweka bayana. Anyway kama inashindikana kukubaliana hatulazimishani wewe sema injili iliibwa sisi tuseme tuseme haikuibwa bali ni maandiko pia ya Allah (there shall be no compulsion in religion 2:256) halafu baada ya hapo turudi kwenye thread yako ambayo inaujumbe safi ndani yake.
 
Hapana hii nakupinga kwa nguvu kabisa,yaani torat kitabu cha wayahudi na kilichoandikwa miaka kibao kabla ya Yesu na kiliandikwa kwa kiebrania,halafu wew wa juzi na dini yako ya kiarabu unakuja kulazimisha watu waamini kuwa torati ni kitabu cha kiislamu hivi waislamu mnamatatizo gani vichwani mwenu!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…