BAKIIF Islamic
JF-Expert Member
- Jul 11, 2021
- 600
- 1,843
- Thread starter
-
- #81
Unataka kumaanisha nini haswa?umenikumbusha miaka 2013 maeneo ya mburahati .si unajua disko vumbi full kukesha uswahilini sasa ule mda wa kuelekea kukucha msikiti jirani ukawa unatoa kauli za kuahamsha watu waswali na kutishia ili kuogopa. kilicho fata Dj alikuwa anapunguza mziki wa mama amina pale wakiitikia [emoji23]
Mungu ndiye mkuuAllahu Akbar
Kwa hiyo wewe uko Tanzania unajiona unauelewa kuhusu hizo tuhuma dhidi yake kuliko Serikali ya Dhaka au New Delhi?Zakir Naik ni mwinjilisti wa Kiislamu anayeendesha Televisheni ya Peace na anashutumiwa kwa sehemu fulani kuwashawishi washambuliaji wa Dhaka wa Julai 2016 nchini Bangladesh kutekeleza shambulio lao la kigaidi. Jambo ambalo alikanusha vikali kwasababu yeye anapigwa vita kwa kazi yake anayo fanya ya kusilimisha watu. Tuhuma hizo ni za uzushi.
Dah!!!...kwa hiyo ibada na abudu havihusiani kwa kiswahili chako Cha o level!?..Kama ambavyo kula na cha'kula' visivyohusiana, sivyo!?...shuleni sijui Kuna nini siku hizi!!
Allah hana wivu na jiwe la macca?Kwenye uislam ukiabudu kitu badala ya Allah sw wewe ni mshirikina,na husameheki, Mungu ana wivu na uungu wake
Umenijibu au umeandika maelezo tu mana huzungumzii nilicho andika hata kidogo.Waislamu ni wakarimu na ni watu wanaothamini utu wa mwanadamu, na wanaongozwa na Mwenyezi Mungu na Mtume wake katika kufanya mambo yao kwa uadilifu, hisani na huruma.
Ni kwa kuishi kwa wema, na kujenga uhusiano mwema na wasio Waislamu ndipo Waislamu wanapoweza kufanya Da’awah na kuwalingania wasio Waislamu katika njia ya Haki ya Uislamu.
We kiphilo madhabahuni kiliathiri uwezo wa kufikiriAllah hana wivu na jiwe la macca?
Matendo yako ndio yatakufikisha na wala sio dini hawa wa dini ni wapigaji tu na wachumia tumbo.Kama mbingu ni mirathi ya baba yako,fanya mpango na Mimi nifike
Jesus was not biologically born according to your low thinking capacity like us as the human beings but by the Holly Spirit's ability (God's magical).Was a prophet of God and was born to a virgin (Mary).