Bingwa wa kusilimisha Wakristo ameingia Qatar Wakristo wengi wahofiwa kusilimu. Eneo la FIFA lapambwa kwa maneno ya Mtume Muhammad S.A.W

Bingwa wa kusilimisha Wakristo ameingia Qatar Wakristo wengi wahofiwa kusilimu. Eneo la FIFA lapambwa kwa maneno ya Mtume Muhammad S.A.W

umenikumbusha miaka 2013 maeneo ya mburahati .si unajua disko vumbi full kukesha uswahilini sasa ule mda wa kuelekea kukucha msikiti jirani ukawa unatoa kauli za kuahamsha watu waswali na kutishia ili kuogopa. kilicho fata Dj alikuwa anapunguza mziki wa mama amina pale wakiitikia [emoji23]
Unataka kumaanisha nini haswa?
 
Zakir Naik ni mwinjilisti wa Kiislamu anayeendesha Televisheni ya Peace na anashutumiwa kwa sehemu fulani kuwashawishi washambuliaji wa Dhaka wa Julai 2016 nchini Bangladesh kutekeleza shambulio lao la kigaidi. Jambo ambalo alikanusha vikali kwasababu yeye anapigwa vita kwa kazi yake anayo fanya ya kusilimisha watu. Tuhuma hizo ni za uzushi.
Kwa hiyo wewe uko Tanzania unajiona unauelewa kuhusu hizo tuhuma dhidi yake kuliko Serikali ya Dhaka au New Delhi?
 
Kuna vitu Qatar walipaswa na wanapaswa kuviepuka sana wakati huu wa mashindano ya world Cup, la sivyo vinaweza kuleta machafuko.

Mpira ni mchezo wa kijamii (secular), sio busara sana kuuoanisha na itikadi za kidini. Kama Qatar iliyajua hayo kabla, na wakaona ni sawa kwa mashindano hayo kufanyika nchini mwao (kwa kuwa hayaingilii imani ya nchi yao), basi waheshimu hilo.

Kadri Qatar wanavyotaka kuyafremu hayo mashindano kidini (kiislamu) ndivyo ambavyo wanachochea makundi mengine ya kidini (kikristo, kihindu, kibudha) na kipagani kuonyesha hisia zao.

Usishangae kuona mashabiki kuingia na misalaba uwanjani na kushangilia nayo.
 
Wasisahau kupamba na Hadith hii kwenye zile big screen

Muhammad said
I will expel the Jews and Christians from the Arabian Peninsula and will not leave any but Muslim. Sahih Muslim 1767a
 
Sio kila kula ni chakula mfano ni yule mbuzi katoliki kwenu ni nyie sio chakula japo analiwa na jamii nyingine. Shule nimejifunza hayo miuu
Dah!!!...kwa hiyo ibada na abudu havihusiani kwa kiswahili chako Cha o level!?..Kama ambavyo kula na cha'kula' visivyohusiana, sivyo!?...shuleni sijui Kuna nini siku hizi!!
 
Waislamu ni wakarimu na ni watu wanaothamini utu wa mwanadamu, na wanaongozwa na Mwenyezi Mungu na Mtume wake katika kufanya mambo yao kwa uadilifu, hisani na huruma.

Ni kwa kuishi kwa wema, na kujenga uhusiano mwema na wasio Waislamu ndipo Waislamu wanapoweza kufanya Da’awah na kuwalingania wasio Waislamu katika njia ya Haki ya Uislamu.
Umenijibu au umeandika maelezo tu mana huzungumzii nilicho andika hata kidogo.
 
Habari Kuu
IMG-20221120-WA0094.jpg
 
Back
Top Bottom