Bingwa wa kusilimisha Wakristo ameingia Qatar Wakristo wengi wahofiwa kusilimu. Eneo la FIFA lapambwa kwa maneno ya Mtume Muhammad S.A.W

Kusilimu kwa Seedorf kuwa Mwislamu kulipongezwa sana katika ulimwengu wa Kiarabu na Kiislamu. Na Issam Toutate Gwiji wa zamani wa soka wa Uholanzi na klabu ya AC Milan Clarence Seedorf ametangaza kuwa amesilimu. Je hao ndio wakristo wa mchongo?
Mtu akisilimu mnashangilia sana lakini mwislam akiingia ukristo mnaweza hata kumuua, kwanini lakini?
 
Hakika, watu watakuwa radhi kusikiliza hoja za Dr Zakir Naik kuliko kuangalia mpira. Na huko ndiko kufaulu kwa dini. Huyo ni Bingwa mwenye hoja matata. Usithubutu kuangalia Television yake nyumbani kwako. Nyote mtasilimu.
Wangemwalika na mwandishi wa kitabu cha Satanic Verses ili story iwe na mizania nzuri.
 
Hapa DSM tunaye Mwandosya kule kawe, maelfu ya waislamu wanabatizwa, nenda kaone mwenyewe
 
Kwa hili tumetapeliwa kwa Mungu hakuna kufanya zinaa ndugu zangu ni uongo
 
Unaposema mamia ya wakristo wahofia kusilimu, hapo sijaelewa kwani kusilimu ni ajali hadi watu wahofiwe kwamba wamesilimu? Kwanza hayo mashindano ni haramu kiislam, sasa iweje hafla haramu ndo itemize na waislamu kusilimisha wakristo?
 

Attachments

  • Screenshot_20221018-091820_Firefox.jpg
    166.3 KB · Views: 4
Mkishindwa, mpira ni kharam. Mkishinda, mpira ni burudani
 
Kumbuka Drogba naye anaelekea huko huko, bado anawapumbaza lakini nuru ameshaiyona tayari. Kukana kwake ni kuwapumbaza na kuhofia asitengwe.
Hakuna mtu anatengwa kwa kuwa Muislam toka kuwa Mkristo.huo upuuzi hatufanyagi sisi,imani yetu sio ya lazima.ni mtu naonyeshwa pendo la Mungu kupitia Yesu Kristo na anaamini na kujazwa Roho Mtakatifu.Hkauna bakora huku wala kutengana kwasababu MUNGU WETU NI PENDO
 
Weeeeh....hawa hawa wa Kitaya hapa Mtwara?Hawa tunaowinda kama panya huku Northen Mozambique??
Siwezi wakashifu maana imani yangu inasisitiza heshima na upendo kwa kila mtu,ila kwa kupingana kwa maneno na vitendo vyenu sijawahi na sitakuja waelewa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…