Bingwa wa kusilimisha Wakristo ameingia Qatar Wakristo wengi wahofiwa kusilimu. Eneo la FIFA lapambwa kwa maneno ya Mtume Muhammad S.A.W

Bingwa wa kusilimisha Wakristo ameingia Qatar Wakristo wengi wahofiwa kusilimu. Eneo la FIFA lapambwa kwa maneno ya Mtume Muhammad S.A.W

Kwa mujibu wa Uelewa wako, Torati au sheria au amri au sheria za Mungu zinabadilika?

Maana hapo ndio hoja yangu ilipo.
Kama haibadiliki, eleza iweje Torati ambayo Muhammad anaiamini moja ya amri kuu ni kushika Sabato lakini Quran na Allah hajawahi na hatawahi kuwaasa umma wake washike amri hiyo.

Zaidi tunamuona Muhammad na Allah wakiutukuza zaidi utamaduni wa Wakurdi ambao tangu awali ulikuwepo kabla ya Muhammad kuzaliwa, mfano siku ya ijumaa kwenda kuabudu katika Alkaaba, desturi hiyo ikahamishiwa kwenye uislam.
Kukusaidia jifunze kwa kuangalia video kama hizi huku moyo unasuuzika kwa uzuri wa kusikiliza Qur'an kwa lugha yake ya asili na kujifunza.


 
Iwe Kwa Quran au kitabu chochote, huo ni Uongo.

Tunaweza kuiuliza Quran maswali katika Mada hizo mbili ikabainika kuwa ni Uongo.
Yaani Quran ikakosa majibu yenye mantiki.

((Iwe Kwa Quran au kitabu chochote, huo ni Uongo.))

Nimekoti huo mwandiko wako hapo kuonyesha kwamba,umeshaonyesha tayar msimamo wako uko wapi.

Kwa ufupi hapa hakutakuwa na mjadala wenye afya!

Ngoja niendelee na utaratibu wangu WA kusoma Tu!

Shukrani.
 
MADA YA QATAR IMEGEUKA MHADHARA.
TATIZO ALIYOTOA HI MADA AMEONGEA VITU VYA UONGO KUHUSU QURAN NA UISLAM


Uislam umejengwa katika kufuata Muongozo Mkuu ambao ni Quran, ingawaje niliandika kuwa Quran ilikopi na kuiba maandiko ya kiyahudi Jambo ambalo ni kweli kabisa lakini ninachowasifu Waislam ni uwezo na msimamo wao wa kufuata yale yaliyoandikwa humo kwenye kitabu Chao bila kujali yaliibiwa au hayakuibiwa.
 
PONGEZI; QATAR IMEUPA HESHIMA UISLAM NA UTAMADUNI WA KIARABU

Anaandika, Robert Heriel
Shahidi.

Historia Jana imeandikwa. Tukio la kihistoria katika ukanda wa mashariki ya Kati sio tu limeipa heshima Nchi ya Qatar bali limeupa uislam utukufu na heshima kubwa Duniani. Waislam na jamii zote za kiarabu siku ya Jana wameionyesha dunia kuwa inawezekana dunia ya maadili na ustaraabu/uungwana Kwa kuunganisha tamaduni nzuri zenye manufaa zinazolinda utu wa binadamu.

Uislam hauna mvuto katika mawaidha au mahubiri katika majukwaa ya kutangazia dini au katika propaganda. Lakini Jambo la hakika ambalo uislam unaweza kujivunia na ambalo ndio mvuto wa uislam ni Desturi, sheria na matendo yao.

Qatar wameonyesha mfano Bora Wakuigwa sio tuu na Waislam wengine ulimwenguni bali pia hata na siye tusio Waislam.

Michezo ya mwezi mmoja haiwezi kubadilisha na kuvunja sheria na utamaduni wetu, hivyo ndivyo Qatar walivyofanya.

Ingawaje wapo wenye chuki na Waislam kwa kuwashutumu mambo mabaya kama ugaidi, roho mbaya, ukatili n.k. Lakini hayo mambo hatuyaoni katika ulimwengu halisi wa Kiislam.

Uislam umejengwa katika kufuata Muongozo Mkuu ambao ni Quran, ingawaje niliandika kuwa Quran ilikopi na kuiba maandiko ya kiyahudi Jambo ambalo ni kweli kabisa lakini ninachowasifu Waislam ni uwezo na msimamo wao wa kufuata yale yaliyoandikwa humo kwenye kitabu Chao bila kujali yaliibiwa au hayakuibiwa.

Na wanaweza kutuambia Sisi Wakristo au Mayahudi kuwa ni kweli Sisi Waislam tuliwaibia maandiko yenu kwa sehemu, lakini tunayafuata Kwa 100% hayo maandiko, vipi nyie (Mayahudi na Wakristo) ambao ndio wamiliki halali wa hayo maandiko mnafuata yaliyoandikwa humo yaani kwenye Torati, Zaburi na Injili?

Swali hilo ndilo Waislam wangeweza kujivunia nalo. Ni Sawa na Wazungu au wachina kuiba Teknolojia ya mataifa mengine na kuibadilisha kidogo sio kosa, huo ni ujanja, na Akili. Hivyo ndivyo waislam walivyofanya Kwa upande wa Dini.

Niwapongeze Qatar na Waislam wote Duniani Kwa kuonyesha msimamo thabiti. Na hicho ndicho kinahubiri na kuwasilimisha watu zaidi kuliko kupigapiga kelele kwenye maredio au Television kama Sisi Wakristo.

Matendo ni muhimu zaidi kuliko kelele kelele.
Kataa ushoga hadharani hasa viongozi wa kitaifa.
Kataa mapombe kunywewa hadharani,
Kataa watu kukaa nusu uchi au kutokuvaa Kwa adabu.
Na Sheria Kali zimewekwa.

Wakristo na mataifa mengine tunayomengi ya kujifunza kutoka kwa Waislam. Hata kama tunawaona kama Watoto wa Kambo, au watoto wa hawara lakini wanamazuri yao mengi tu.

Kuhusu tabia mbaya za mtu binafsi ambazo zinachafua Uislam hiyo ni kawaida kuwepo lakini haimaanishi Uislam ni mbaya au dini mbaya.

Hata Shetani alitoka mbinguni kwa Mungu Baba, hivyo haimaanishi mbinguni kuna wadhambi. Isipokuwa zinatokea Error.

Hongereni Sana Watoto wa Mama Mdogo, hongereni Waislam.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Dar es salaam
Bado hujasema Qatar walifanya nini, zaidi ya kusifia
 
Mungu angetaka tumuamini angeshuka live na hayo mavitabu yote atuonyeshe kipi ni sahihi , kwa sababu hajashuka sioni sababu ya kuamni kitabu chochote labda tu nichukue mazur kama yapo kama nilivyochukua mazuri kwenye kitabu cha penzi kitovu cha uzembe
 
Saana,baada ya 9/11 vitabu vya kiislam vilikua vikihitajika mno kiasi kupotea sokoni,na wazungu wanasilimu Sana,haraka haraka ni Arthur wagna afd,akiwa kiongozi wa chama Cha kupinga German Islamization,aliposoma Qur'an akasilimu akajivua na uanachama
🖕🏿
 
Muhamadi huyuhuyu aliyezini na binti wa miaka 9 na akamgonga na yule bibi🤣🤣🤣🤣
 
Mungu angetaka tumuamini angeshuka live na hayo mavitabu yote atuonyeshe kipi ni sahihi , kwa sababu hajashuka sioni sababu ya kuamni kitabu chochote labda tu nichukue mazur kama yapo kama nilivyochukua mazuri kwenye kitabu cha penzi kitovu cha uzembe

😂😂😂
Umevurugwa Mkuu
 
Dini yoyote lazima iwe na Siku ya Ibada katika wiki
Uislamu hauna siku maalumu ya ibada bali siku zote ni siku za ibada.
Kamuulize Mwalimu wako akufundishe vizuri akuambie Kwa nini Waislam wanaabudu katika siku ya ijumaa.
Waislamu wanaabudu siku zote na wala sio siku ya ijumaa tu,kwa sababu kinachofanyika ile saa saba siku ya ijumaa ndicho kinachofanyika katika sala zingine zote tano.

Ijumaa utasali vile vile kama unavyosali alfajiri ya kila siku kwani idadi ya vitendo katika alfajiri ya kila siku ni sawa na idadi ya vitendo katika siku ya ijumaa.

Hivyo unaposema waislamu wanaabudu ijumaa hiyo point haijakaa sawa ndugu iweke wazi zaidi huwenda kuna kitu unakusudia kusema hapo.

Kwa kumalizia tu ni kwamba waislamu wanaabudu siku zote na sio siku ya ijumaa tu.

Kama unazo hoja kwamba waislamu wanaabudu ijumaa tu unaweza kuweka hapa ndugu Robert
 
Uislamu hauna siku maalumu ya ibada bali siku zote ni siku za ibada.

Waislamu wanaabudu siku zote na wala sio siku ya ijumaa tu,kwa sababu kinachofanyika ile saa saba siku ya ijumaa ndicho kinachofanyika katika sala zingine zote tano.

Ijumaa utasali vile vile kama unavyosali alfajiri ya kila siku kwani idadi ya vitendo katika alfajiri ya kila siku ni sawa na idadi ya vitendo katika siku ya ijumaa.

Hivyo unaposema waislamu wanaabudu ijumaa hiyo point haijakaa sawa ndugu iweke wazi zaidi huwenda kuna kitu unakusudia kusema hapo.

Kwa kumalizia tu ni kwamba waislamu wanaabudu siku zote na sio siku ya ijumaa tu.

Kama unazo hoja kwamba waislamu wanaabudu ijumaa tu unaweza kuweka hapa ndugu Robert

Umejibu vizuri Kabisa.
Wakati uislam, Quran na Allah hawana siku ya Ibada.
Wayahudi, Biblia na Yehova wao wanasiku kuu ya Ibada katika kila Juma.

Bado unaona Yehova na Allah ni mungu yuleyule?
 
Allah hakumpa Musa Kule Mlimani Sheria 10 kwenye mbao?
Kama alimpa naomba unitajie Kwa mujibu wa Quran katika mtiririko wake.
Kama hakuna pia nijuze
Quran ni kitabu Cha mwisho Cha Allah/Yehova aliyempa mtume wa mwisho ambae ni mtume Muhammad

Ndani ya Quran Kuna
1)Amri Sheria na hukumu kwa ajili ya umati Muhammad

2)Mawaidha Kwa watu wote

3) Hadithi za mitume kabla ya Muhammad Yani Nuhu, Ibrahim, Luti Musa,Daudi Suleiman, Yesu na wengine wengi

Sheria alizopewa Musa zipo katika kitabu Chake Cha taurati alichopewa na Allah miaka 2500 kabla ya Kuja mtume Muhammad
 
Nimekuambia, nukuu Aya kutoka kwenye Quran ndio ujadili.
Kama kwenye Quran haipo sema hazipo hizo amri alizopewa Musa.

Unasema usizini, usiibe, sijui nguruwe, hayo umeyatoa wapi?
Nipe andiko kutoka kwenye Quran inayoeleza hizo amri kumi alizopewa Musa.


Nimekuweka kiporo, nitakuja kukupa elimu usiyoijua kuhusu Taurati na Qur'an.-- Qur'an is superior over other doctrines.
 
FiFA wamefanya makosa sana kupeleka hii michuano uko ushenzini. Uislamu ni dini ya kupigwa marufuku popote pale, kwanza likitabu lao wanasoma kuanzia mbele kurudi nyuma, pili dada zao wengi marinda hawana..wanajificha nyuma ya Dini kumbe visamvu vinapakuliwa kama kawaida. Hii ni kinafiki sana
 
Quran ni kitabu Cha mwisho Cha Allah/Yehova aliyempa mtume wa mwisho ambae ni mtume Muhammad

Ndani ya Quran Kuna
1)Amri Sheria na hukumu kwa ajili ya umati Muhammad

2)Mawaidha Kwa watu wote

3) Hadithi za mitume kabla ya Muhammad Yani Nuhu, Ibrahim, Luti Musa,Daudi Suleiman, Yesu na wengine wengi

Sheria alizopewa Musa zipo katika kitabu Chake Cha taurati alichopewa na Allah miaka 2500 kabla ya Kuja mtume Muhammad
Muongo wewe.. mitume na manabii wote wametokea uyahudini, kwa maana mwamba Mungu aliweka maagano mbali mbali kwa kipindi tofauti na wayahudi .. hivo hakuna Nabii wakati Mtume aliyetoka nje ya uyahudi kama yupo mtaje. Mtume na Nabii wa mwisho alikuwa ni Yesu Kristin, uyo Muddy sijui katokea katika agano gani. Maana Mungu hakuweka maagano na waarabu
 
Nimekuweka kiporo, nitakuja kukupa elimu usiyoijua kuhusu Taurati na Qur'an.-- Qur'an is superior over other doctrines.

Uje na Hoja zenye majibu uliyoulizwa.

Usisahau kuleta Aya zinazoonyesha Amri 10 alizopewa Musa pale Mlimani kulingana na Quran
 
Back
Top Bottom