Binti aliyebebeshwa dawa za kulevya na mchumba wake wakati wa safari ya kwenda kutambulishwa ukweni

Una bahati angekuwa na mzigo ungedakwa wewe na ingekuwa bongo ni kifungo Cha maisha hicho
 
Yani na tulikuwa watu wengi wakanifata Mimi eti niwasaidie wamezidiwa woooi nilivokumbuka hicho kipindi cha national geographic nikasema shindwa shetani hunipati ng'o nikakataa
Binadamu, na sasa ukamatwe nchi kama china
 
Yes mkuu, aliingia 12 feb katoka 12 feb yani tarehe ile ile.
Anajuta chuo hakumaliza, katoka gerezani akiwa na elimu ya ujasiriamali na anatengeneza sabuni za maji sasa.
Anasema anataka baadae arudi chuo ila kwa sasa akili yake anahisi haijawa tayari
Nikikumbuka Hamisa alivyomegwa na yule bonge nyanya na huko mitandaoni sie wakibongo tukaonekana si kitu.. Nadhani kuna masomo inabidi tuwafunze wadogo zetu
 
Camera za airport zilikuwa zimekwisha wanasa pamoja. Kilichomsaidia dada ni kuwa jamaa alizubaa airport baada ya simu kutokupokelewa. Machale yangemcheza na kuondoka moja kwa moja, huyo dada kifungo hicho cha maisha kingemhusu yeye.
Sema jamaa naye alikuwa mwaminifu, hakumkana alipoulizwa uhusiano wake na mdada. (Ila inawezekanaje jamaa akubali kumfahamu mdada kwa situation kama ile!?!?! Najiuliza).

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
 
Nikikumbuka Hamisa alivyomegwa na yule bonge nyanya na huko mitandaoni sie wakibongo tukaonekana si kitu.. Nadhani kuna masomo inabidi tuwafunze wadogo zetu
Mabinti wanaangalia pesa tu. Wana wa miss use kama public funds
 
Sometimes akili inakuwa kama imefungwa,unakuja kushtuka too late.
Yes, ila Mimi nimeshafatilia hivo vipindi so nikawa mwoga sana, nikamwambia si alipie kawaida ka imezidi aisee.
 
Yanatokea. Angalia "Banged up abroad" na "Airport security" kwenye National Geographic. Sehemu ambayo siamini ni pale kwa jamaa kupiga simu, haipokelewi, halafu anatuma taxi driver kwenda kuchungulia. Wauza unga huwa wana machale sana. Simu kama haipokelewi, wanapotea mara moja hata kwa miguu.
Sijui kwanini sijaiamini hii storeee
 
Hahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]



Yaan haelewi msimbazi iko wapi na kakulia dar? Haahaahaa

Mkuu elezea kidogo alifanyaje kwani?
 
Wasichana wengi wanapenda watu wa nje wakidanganywa kidogo wanaamini huyo atakuwa kapata fundisho na chuo hakumaliza na kwasasa anajutia tamaa zake za pesa
 
Kama haukumwelewa mwandishi, sijui kama kuna mtu anaweza kukuelewesha!!
Kama alikuwa anaenda Moshi why asitumie private transport au hata Basi akaamua kutake risk ya kutumia Ndege wakati anaenda hapa hapa TZ huku akiwa amembebesha mwenzake madawa?hapa naomba ufafanuzi
 
Exactly mkuu...kipengele hicho cha kumtuma dereva tax akachungulie ndo nimeona nimepata wenge...

Airport security nakifatilia sana, pale ndo utajua watu wanajua kujilipua hasa wachina na wamexico
 
Kwani Huyo Dada alihukumiwa au alikua rumande tu?
 
Nadhani jamaa anachouliza ni hiki walipanda ndege kwenda moshi au walitumia usafiri WA gari, kama walipanda ndege walifanikiwa vipi kupita airport JKN
Hujaelewa walienda mosh then KIA kwa ajaili ya safari ya kwenda huko west africa. Airport KIA alikamatwa akiwa anaenda kukwea pipa to Sierra Leone
 
Mwanza airport wapo na ndoo za plastic za fillet za sato. Huwa nakataa. Unaweza kuishia kunyongwa for nothing. Wema wa airport wa kuchukuwa mzigo wa mtu ni wema wa kijinga.
Hakika kuna binti wa Australia alipewa toy tu na rafiki yake wakiwa airport Mexico akalibeba kupita nalo kumbe ndani lina ngada. Alikaa miaka 16 ndani pasi na kutegemea
 
Camera za airport zilikuwa zimekwisha wanasa pamoja. Kilichomsaidia dada ni kuwa jamaa alizubaa airport baada ya simu kutokupokelewa. Machale yangemcheza na kuondoka moja kwa moja, huyo dada kifungo hicho cha maisha kingemhusu yeye.
drug delar hatakiwi kuukimbia msala kama jambazi maana ana dili na mzigo ule wa Uga ana takiwa asolve kwa means yeyote mzigo uende ndio maana alikwama
 
Nadhani jamaa anachouliza ni hiki walipanda ndege kwenda moshi au walitumia usafiri WA gari, kama walipanda ndege walifanikiwa vipi kupita airport JKN
Usafiri wa gari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…