Binti anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa RC wa Simiyu: Kesi iende Mahakamani, RC alikuwa mpenzi wangu, walimpa mama Tsh. Milioni 3 ili wazime kesi

Alipopimwa,daktari alikuta mtoto kulawitiwa ni kawaida yake,si suala la Jana Wala juzi,utaihakikishia vipi mahakama pasi na shaka kwamba binti alilawitiwa na mtuhumiwa!?
nitakusaidia najua hauelewi. alipopimwa, alikuta amelawitiwa, (sio kwamba kulawitiwa ni kawaida yake hiyo unasema wewe), nguo za binti zenye kinyesi wanasema zipo, kama angekuwa kawaida yake angetita? meaning that was her first time, according to them. kwenye kesi za kawaida za kubaka kwa mfano, nenda hata tanzlii tu download usome kadhaa, kinachozingatiwa ni ushahidi wa mhanga, na kama utakuungwa mkono na chochote itafaa zaidi. hata kama alikuwa amezoea kulawitiwa, cha muhimu kama RC naye alilawiti humo ambamo wenzake wamemzoea, bado tu ni kosa kwasababu Tanzania kulawiti iwe mara ya kwanza, mara ya pili au mara ya mia moja, ni kosa, miaka 30. hata kubaka, malaya wa sinza aliyekubuhu anaweza kubakwa, huwezi kusema alizoeshwa ni amekubuhu kwahiyo kwasababu hakuumia basi hajabakwa, No. penetration however slight.
 
kulawitiwa je sio kosa?
kulawitiwa ni kosa kama binti angekuwa ameruhusu. ukiruhusu wote wawili mlawiti na mlawitiwa mnashitakiwa na mnafungwa wote, shida binti kasema yeye hakuridhia kulawitiwa hivyo msala umebaki kwa RC peke yake.
 
Kama alizowea kulawitiwa hapawezi kuwa na ushahidi wa rc kulawiti sababu hapatokua na michaniko,kinyesi hata anayelaaitiwa kila siku atatoa ikiwa kipo,kinyesi hakiwezi kuwa ushahidi,huyo binti alishawahi kuwa na kesi na bodaboda bwanaake,alikokimbilia na kukaa kimada kwa siku kadhaa Kisha akaja na mama yake kufungua kesi ya kutekwa na kubakwa na kufanya boda ahukumiwe 30 yrs kabla watu kuingilia kati kisheria
 
Hata kama binti kamtega RC, hata kama kawahi kufanya na kumshitaki bodaboda, hata kama alilipwa na RC, hata kama binti alii enjoy, bado ni kosa vitabuni kufanya kinyume na maumbile.

Mwanamme ukifumwa kwenye kampeni ya DC wa Ubungo kwenye dangulo la changudoa Uwanja wa Fisi Manzese, utapona kwa sababu changudoa ndio michezo yake ????? Utasema changudoa amekutega?
 
Hakuna ushahidi wa kulawiti,acha kuandika essay za kibwege
 
Hakuna ushahidi wa kulawiti,acha kuandika essay za kibwege
Hujui maana ya ushahidi wewe illiterate goon.

Madai ya mtu kwamba kalawitiwa ni testimonial evidence, ushahidi tayari.

Na alipimwa hospitali akakutwa kaingiliwa, huo nao ni ushahidi. Unadhani

Ndio maana kafukuzwa kazi wewe kiazi. Na ndio maana ofisi ya Rais haikusema tuleteeni porno footage inayoonyesha annal penetration na nyuso za RC na mwanafunzi !!!!
 
Kafukuzwa kwa kuwa kiongozi wa serikali kwa ngazi yake hapaswi hata kushutumiwa kwa suala Kama Hilo,hata Kama hakufanya,suala la ushahidi na haki ni suala la mahakamani,numb headed 'literate'..mtu aseme kapigwa na Fulani basi kusema iwe ushahidi,ndiyo mnavyofundishana huko kwenye taasisi za elimu!?..ni heri muache kusoma mje tulime mihogo
 

Kituo Cha Sheria walionunua hii kesi na kusema twende mahakamani unadhani wao wajinga kiasi gani yani ????

Yani huyu demu alipowaambia nilienda hospitali, na pale mbele ya umma, pembeni yao akasema nilipimwa, unadhani hawa wanasheria kabla ya kuja nae pale hawakumwambia medical report unayo? Hebu tuione ???

Unadhani jopo la ma lawyer ambao wamemu interview binti, hawajui chochote kuhusu evidence za ku prove sexual offenses, wewe ndio unajua ?
 

..nini kinamshinda RC kujitokeza na kukanusha tuhuma za huyo mmsichana?

..mkewe RC naye yuko wapi bwana'ake anachafuliwa namna hii? kwanini hamtetei mumewe?

..binafsi mke wangu hawezi kuruhusu mumewe nisingiziwe mambo ya ajabuajabu lazima atajitokeza kunipigania.
 
aliyekwambia michubuko ni ushahidi wa kulawiti au kubaka nani? penetration however slight. kinachohitajika ni kama kuna shimo na binti anasema alilawitiwa, imeisha hiyo. kasome kesi ya selemani makumba.

kwenye kubaka, cha muhimu huwa wanaangalia kama hakuna bikra, kama bikra haipo hata kama michubuko hakuna wanaamini hapo panaingilika na ikiingia sio lazima ichubue au iache mbegu.
 
kulawitiwa ni kosa kama binti angekuwa ameruhusu. ukiruhusu wote wawili mlawiti na mlawitiwa mnashitakiwa na mnafungwa wote, shida binti kasema yeye hakuridhia kulawitiwa hivyo msala umebaki kwa RC peke yake.

kwahiyo akisema yeye tu kuwa hakuridhia ndio ushahidi ushatosheleza?
 
Hivi unajua pia hata sheria inasema ukimlazimisha mke wako kufanya mapenzi akakataa ukafanya kwa lazma anaweza kukushtaki umembaka ni vyema kama hujui sheria ukae kimya
Akifanya hivyo huyo siyo mkeo, huyo ni kichaa mliefungiana ndani.
 
Tupeni updates Wazee!🥱🥱🥱🧐🧐
 
naona unakimbisha maneno, mimi sijapinga kuwa hakumingilia, ninachopinga ni kuwa hakubakwa kama anvyodai.
hapo hakuna kesi ya kubaka, kesi iliyopo ni kulawiti. kubaka ni pale penis inapoingia kwenye vagina however slight. ila ukitumia penis kuingiza kwenye anus inaitwa "unnatural offence" kwa kiswahili ni ulawiti. sasa kisheria, ulawiti uwe wa hiari au sio hiari, ni kosa. binti kasema haukuwa wa hiari. angelisema ulikuwa wa hiari basi wote wawili binti na RC wangeshitakiwa kwasababu hata kuruhusu kuingiliwa nyuma ni kosa. watu wengi mnalawiti na kulawitiwa ndio maana mnaona kulawiti kwa consent sio kosa, watu wameng'ang'ania ati kama binti aliruhusu mwenyewe kuingiliwa itakuwa sio kosa au kama binti ni malaya basi alijitakia sio kosa, sheria haisemi hivyo.
 

naona unakimbia hoja, tunachotaka ni ushahidi kuwa haikuwa hiari. mana tunaona anafanya drama tu.
 
naona unakimbia hoja, tunachotaka ni ushahidi kuwa haikuwa hiari. mana tunaona anafanya drama tu.
kama ulishawahi kufika mahakamani, utakuwa umeshaelewa kwamba ushahidi kwamba haikuwa hiari unatoka kwa binti. where else do you think utapata ushahidi kuwa haikuwa hiari zaidi ya kutoka kwa binti? ushahidi wa mdomo mahakama huwa inaupokea pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…