ELIMU PESA
Member
- Jul 22, 2017
- 62
- 36
- Thread starter
- #41
Tumuombe Mungu tu apatikane.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkamate haraka kabla hajatorokaMshtakiwa namba moja wew [emoji3]
Akikutumia forward namba yake kwangu kisha tumkamate ndio ajue kuwa kumiliki simu hakuwezi kumfanya asijulikane alipo na anafanya shughuli gani.Nitumie namba Yako ntakwambia we ni Nan unafanya mishe gan? Unapenda kushnda maeneo gan
Wewe tena,ushadede[emoji16][emoji16]Kana chuchu nzur [emoji39][emoji39]
Hawezi jaribu kutuma namba yake ni keyboard warrior tu hawaAkikutumia forward namba yake kwangu kisha tumkamate ndio ajue kuwa kumiliki simu hakuwezi kumfanya asijulikane alipo na anafanya shughuli gani.
We are living in global village sasa [emoji23]
Ngoja nicheke kama hawa wafanyakazi wa Vodacom😂😂Hawezi jaribu kutuma namba yake ni keyboard warrior tu hawa
Duh! kwa hakika inashangaza ,naona kijana unafuata nyayo za dronedrakeKana chuchu nzur [emoji39][emoji39]
Wazee wa Cuba mmeshaanza kuleta fikra mpya.Hajapotea huyo[emoji41]
Duh! mnafika mbali sana .Mbweha mama yako
Mkubwa huyo binti, siku atarudi nyumbani mwenyeweWazee wa Cuba mmeshaanza kuleta fikra mpya.
Waliwahi kukuteka?wale walugulu wanateka kwa mahaba.
Waliwahi kukuteka?
Habari ndugu zangu.
Ninaomba msaada, binti huyu ninaambatanisha picha zake amepotea tangu tarehe 27/08/2023.
Binti huyu anaitwa Antia Focas, nyumbani walizoea kumuita Nyakato. Ana umri wa miaka 19. Mkazi wa Mkundi Morogoro, japo ana miezi mitatu tu tangu ahamie mkundi, mwanzoni tulikuwa tukiishi Kihonda-Maghorofani. Mimi ni baba yake mdogo, nimekuwa nikiishi naye kwa muda wa miaka mitatu sasa tangu nimtoe kwa wazazi wake.
Niligundua kuwa amepotea tarehe 27/08/2023 muda wa saa 7:30 (saba na nusu) mchana, hii ni kwa sababu alikuwa akimpeleka mtoto shule alafu anapitia kujifunza cherehani, ikifika saa sita na nusu anakwenda shule kumfata mtoto, wanarudi nyumba muda wa saa 7:30. Siku hiyo ilifika muda huo hajarudi, ilipofika saa nane na nusu tukapiga simu shuleni na kugundua kuwa hata mtoto alikuwa hajachukuliwa pale shuleni, shule inaitwa WESLEY.
Tulipopiga simu kwa mtu aliyekuwa akimfundisha cherehani, alisema kuwa alifika tu asubuhi, akaaga kuwa anakwenda saloon, kuosha nywele na kusuka. Tulipofatilia saloon, tukaambiwa kuwa hakufika. Tulitoa taarifa katika kitua cha polisi cha Kihonda, tukaambiwa turudi baada ya masaa 48 kama hajapatikana, tuliporudi tukapewa RB namba na kuambiwa tuendelee kumtafuta.
Bahati mbaya hadi leo hatujampta, alikuwa na simu lakini tangu apotee haipatikani. Pengine ni rahisi kufikiri kuwa labda katoroshwa na mwanaume, lakini mazingira aliyoondoka yatia shaka, kwani hakubeba kitu chochote. Hakubeba hata nguo moja wala mkoba. Naomba msaada wenu kwa atakayemuona.
Simu 0766729127/0688746145.
Asanteni.
View attachment 2735961View attachment 2735963View attachment 2735964View attachment 2735973
Mtoto wa kike mwisho wake ni kupata mume unataka nisemeje hapo!?Raia kama askari , askari kama raia ... Yaani wewe mtoto wako wa kike aliyevunja ungo akipotea na ukaenda kutoa taarifa polisi, kisha ukapewa jibu kuwa mwanao yupo kwa mwanaume utajisikia vipi?