Binti (miaka 19) amepotea, naomba msaada kwa atakayemuona

Binti (miaka 19) amepotea, naomba msaada kwa atakayemuona

Kamteko ka walugulu kamenichekesha haswa baada ya weye kupotezea swali kwa kicheko [emoji23][emoji23][emoji23]

Hamna hawajawahi kuniteka, sema kuna kisa nimekumbuka nilitaka nikiseme cha mtu wangu wa karibu. Sasa nimeogopa huenda yupo humu afu ikawa sio vzr ndiomana nikaishia kucheka [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Namba yake Hao polisi wanaweza kwenda kuomba mtandao husika wakaomba kuona alikuwa akiwasiliana na nani kwa mara ya mwisho kabla hajaizima simu mi naamini yupo kwa mshikaji huo umri usitishwe na mhusika kuacha nguo na mkoba wake
 
Hamna hawajawahi kuniteka, sema kuna kisa nimekumbuka nilitaka nikiseme cha mtu wangu wa karibu. Sasa nimeogopa huenda yupo humu afu ikawa sio vzr ndiomana nikaishia kucheka [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani ukisema atakushtaki? Acha uoga Tuletee kisa hicho tujifunze.
 
Unajua humu watu hawana experience yoyote kazi ni kuropoka tu kutrack tena unaweza watumia hao hao ukiwa nyumban Wana kutrakia mtu yoyote ambae unashda nae uwe na hela tu.
Hawawezi kum track yeyote kuna watu hata uwatrack vip huwapati
 
Hawawezi kum track yeyote kuna watu hata uwatrack vip huwapati
Nan? Kakwambia ndugu yangu hakuna mtandao ambayo hawana details za mteja wao kumbuka hao ndo operator wako wa network
 
Nan? Kakwambia ndugu yangu hakuna mtandao ambayo hawana details za mteja wao kumbuka hao ndo operator wako wa network
Kuna mambo ukiyajua ndi ndio utajua kuwa kuna watu huwezi kuwa track labda aamue mwenyewe, kigogo aliitiwa hadi waisrael na bado hawakumpata 🤣🤣🤣
 
Kuna mambo ukiyajua ndi ndio utajua kuwa kuna watu huwezi kuwa track labda aamue mwenyewe, kigogo aliitiwa hadi waisrael na bado hawakumpata [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kigogo hayuko tanzania na kumbuka anawatu katika serikali
 
Kigogo hayuko tanzania na kumbuka anawatu katika serikali
Una hakika gani kwamba kigogo hayuko tanzania?au unataka watu wawasiliane kwa mitandao ya vodacom ,ttcl na airtel na tigo ambayo wanajua route?
 
Back
Top Bottom