Beberu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 4,548
- 9,740
Jamaa anataka usipomuona mtu masaa 10 polisi waanze msako 😂😂Taarifa ya mtu kupotea kiutaratibu inathibitika baada ya masaa 48, unatoa taarifa za awali kituo cha polisi halafu unaendelea kumtafuta sehemu mbalimbali, huwenda mtu alianguaka njiani kapoteza fahamu akakimbizwa hospitali, inatakaiwa muhusika/mtafutaji kwanza upite sehemu zote hizo, yaani mahospitali na kwengineko, baada kukosa majibu ndio unarudi tena kituo cha police na jalada la kupotea linafunguliwa baada ya masaa hayo 48. Ila kama unazo taarifa kamili za kutoroshwa au kuibiwa na kuna wahusika unawashuku hapo polisi wanafungua jalada muda huohuo.
Kumbe upo zako lodge unapiga uno fulani la kikonde,
Case ni kuwa mpaka masaa 48 yapite kama kweli upo salama lazima utakuwa umewasiliana na wale watu wako wa muhimu, kupita hayo masaa ndo kunaleta maswali hivyo tukutafute