Binti (miaka 19) amepotea, naomba msaada kwa atakayemuona

Nenda cybercrime waende kuangalia mawasiliano yake ya mwisho kwenye kampuni ya simu yamkin utapata kitu, andaa hela walau kilo 3
 
MTU mzima hivyo anapoteaje?,mie nilipoamaliza form 4 nikiwa na 18 yrs nikiondoka home pasipo MTU yoyote kujua baada ya wiki ndio nikamjulisha mama.
 
Mbona kama anaonekana alikuwa anashida kichwani huyu alafu kapo wayuwayu😁😁
 
Raia kama askari , askari kama raia ... Yaani wewe mtoto wako wa kike aliyevunja ungo akipotea na ukaenda kutoa taarifa polisi, kisha ukapewa jibu kuwa mwanao yupo kwa mwanaume utajisikia vipi?
Mtoto wa kike mwisho wake ni kupata mume unataka nisemeje hapo!?
 
Kwa muonekano wa Binti, ukitazama macho yake mkao katika picha, Jambo la kwanza naloona ni kuwa yupo, yupo kwa mwanaume ama kama si kwa mwanaume bas kaenda fanya kazi mahala pengine... YUPO, picha inajieleza, huenda hakuwa na amani sana kuish kwako Mkuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…