Binti (miaka 19) amepotea, naomba msaada kwa atakayemuona

Jamaa anataka usipomuona mtu masaa 10 polisi waanze msako 😂😂
Kumbe upo zako lodge unapiga uno fulani la kikonde,
Case ni kuwa mpaka masaa 48 yapite kama kweli upo salama lazima utakuwa umewasiliana na wale watu wako wa muhimu, kupita hayo masaa ndo kunaleta maswali hivyo tukutafute
 
Kama hii ni sheria nitaifutilia mbali Sawa na ile ya kupata PF3 kwanza kabla ya kutibiwa, mtu akipotea tu TOA report police, na police wanatakiwa kuanza kumtafuta straight, kijukuu cha president JK kikipotea unataka kuniambia police watasubiri 48hrs kuanza kumtafuta?au hizi ni sheria zinazowa wahusu poor of the poorest wa lingusenguse?,wake up mkuu, achana na upumbavu huu
 
Watoto umri huu ni hatari s ana na ndo wanasumbua mtaani kwa sasa. Huyu yupo chimbo watunzwa na wajuba anawatoa majasho tu
 
Daah pole sanaa kawatesaa kumbe Mitiii imemfanya atorokee.. Ndo maana polisi kesi kama hizi huwa hawachukulii serious yani unaweza ripoti wakijua ni Binti age hizo bhasi wanakuwa kama hawajakusikia vilee wanaendelea na mambo yao labda urudi mara 3 au 4 hivi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bora awe wa kiumee kidogo watashtuka. Vibiti hadi vya la darasa la saba vinatoroka kufata bakora siku hizii hatari sana. Juzi arusha kuna mama alikuwa anamuomba mwanae arudi nyumbanii.. mwingine moshi sijui hukoo[emoji16][emoji16][emoji16]
 


Hata Marekani hungoja reasonable mda kabla ya kuanza kutafutwa, ni kawaida, mnapenda sana kubeza mambo ya nchi, siyo yote ni Mabaya.
 
Binti mdogo anajiita kaolewa!!, ,,mwache akafujike akishtuka tayari na watoto wawili ,singo maza mtarajiwa.


Hapo tayari kanaonekana kameshafubaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…