Binti (Mwanafunzi wa Chuo) auliwa na maiti kufichwa

Binti (Mwanafunzi wa Chuo) auliwa na maiti kufichwa

So sad...May her soul rest in eternal peace. Amen

Wauwaji wameongezeka sana siku hizi??!!!
 
Hivi technologia kupitia simu si wanaweza track ni simu gani ilikuwa karibu na ya marehemu.....then wakafuatilia mpaka wanaswe.
Kama hakuna........ Kuna haja kwa makampuni ya simu ku...enable service hii ili iwe inatumika 'tu' for security purposes
 
Kuna story iko kwenye gazeti la uhuru inayohusu kifo cha huyu dada na mwenzie jackline Masanja mtangazaji wa clouds fm kama sikosei alishawahi kutangaza kipindi cha njia panda cha clouds fm... Wanadai huyu jackline alikuwa anajishughulisha na madawa ya kulevya na Ashura alienda kuonana naye baada ya kuwa marafiki Facebook japo jackline naye alikutwa amekufa siku moja mbele baada ya kifo cha ashura na mwili wake umehifadhiwa Temeke Hospital.
 
Kuna story iko kwenye gazeti la uhuru inayohusu kifo cha huyu dada na mwenzie jackline Masanja mtangazaji wa clouds fm kama sikosei alishawahi kutangaza kipindi cha njia panda cha clouds fm... Wanadai huyu jackline alikuwa anajishughulisha na madawa ya kulevya na Ashura alienda kuonana naye baada ya kuwa marafiki Facebook japo jackline naye alikutwa amekufa siku moja mbele baada ya kifo cha ashura na mwili wake umehifadhiwa Temeke Hospital.

Ya kweli Haya,? Kwahyo salha ndiye Jack? Maana habari zinaeleza kuwa aliuwawa yeye na rafiki ake anaitwa salha
 
Kwa hiyo ni watu wa sembe ndo wamemwaua. Inawezekana asee, watu wa sembe wana roho mbaya sana, si unaona mexico wanvyoteka na kuuwa, alafu wana tamaa na vidosho sana watu wa sembe, kisa jeuri ya ela za sembe...
 
Aligombana na nani hivi karibuni?
Mtu wa mwisho kumpigia simu nani?
Alionekana wapi? alikuwa na nani mara ya mwisho?

Wauwaji wenyewe ndo wamekuwa wa mwisho kutumia hiyo simu kiongozi. Lakini watapatikana maana mwisho wa ubaya ni aibu.
 
Ila jamani sijui ni nini kimetukuta sisi binadamu jamani.......mtu unaogopa hata kuchinja kuku sembuse binadamu jamani........daaah
mtu unanyonga binadamu mwenzio kirahisirahisi kama unavunja kuni daaah
 
Huyu Jack alikuwa muathirika na alijiunga na CLOUDS FM kwenye kipindi cha njiapanda ila alikuwa mjanja mjanja mno. imeongelewa kirefu kwenye kipindi cha njiapanda cha 30.11.2014
 
Pengine watu wa unga, waliogopa jack asije akatoa siri zao, ndio maana wakafikia conclusion ya kuutoa uhai wake!
 
Back
Top Bottom