Binti ninayemtongoza anataka nimuazime Tsh. 100,000/-

Ukituma tu umepigwaaaaaa na uterezi hupatiiii
 
Aisee usije thubutu kumpa hio hela uyo dem hakutaki anataka tu mpunga wako na unaweza shangaa hata mzigo asikupe na asikulipe
 
Mkopeshe tu mkuu

laki si pesa milioni hela ya chai
 
Kama unayo mpe tu mkuu,huyo amekubali lakini anataka kupima urefu wa pumzi yako. Ila hiyo haitorudi hata so usije sema hatukukwambia, na Kama huna mpotezee tu
 
We mpe tu. Sijuhi huyo mimi sikuwah kurudishiwaga. Sasa hivi demu akija na gia ya mkopo, kama ninayo Nampa tu. Akirudisha sawa asiporudisha sawa
 
Point hii
 
Tafuta hela laki sio pesa ya kuja kuandika paragraph jf[emoji28]ukiombwa million si ndo utaenda mahakamani
 
Ushachukua namba halafu unatongoza tena hii formula ya wapi,
Na kwa nn ulimwambia kwamba unafanya kazi ya kulipwa mwisho wa mwezi badala ya kumwambia ww ni mjasiria mali matatizo mengine mnayataka wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…