Watafute cha kufanya, ndoa sio kazi wala biashara..sasa wanawake maskini ulitaka wakaolewe na nani?
wewe au?
Umemaliza mkuu!Kule kwetu kulikuwa na chama Cha ushirika kiliitwa KYERUCU(Kyela_Rungwe cooperative).Basi mwanamke mgawa mnyandua aliitwa hivyo ,kijiweni!Kutumia mwili wa mwanamke, hasa sehemu za siri, kama kitega uchumi cha kupata fedha na mali kutoka kwa wanaume badala ya kujali heshima, utu, na hadhi kunaathiri vibaya afya ya akili, mwili, na jamii kwa ujumla. Hali hii inamfanya mwanamke kuishi maisha yasiyo na utulivu wa kisaikolojia, kwani anakuwa katika hali ya wasiwasi na msongo wa mawazo kutokana na utegemezi wake kwa mahusiano ya kimwili. Kukosa uhusiano wa kihisia na wa dhati kunasababisha upweke na hisia za kutengwa. Mwanamke pia anaweza kujidharau na kuona hana thamani ya kiutu zaidi ya mwili wake, jambo linaloshusha kiwango chake cha kujiamini na kumfanya kuwa na hatari ya kuathiriwa na sonona na huzuni ya muda mrefu.
Kwa upande wa afya ya mwili, mwanamke anayejihusisha na tabia hii yuko kwenye hatari kubwa ya kupata magonjwa ya zinaa kama UKIMWI, kaswende, kisonono, na maambukizi mengine. Hali hii huzidishwa zaidi na mahusiano yasiyo na mipango salama, yanayopelekea mimba zisizotarajiwa ambazo zinaweza kuhatarisha afya ya mama na mtoto. Aidha, matumizi ya mwili kupita kiasi husababisha uchovu wa mwili na matatizo ya mifumo ya uzazi, huku akihatarisha kupata saratani ya shingo ya kizazi kutokana na maambukizi sugu. Vilevile, mwanamke huyu anaweza kukumbana na unyanyasaji wa kimwili kutoka kwa wanaume ambao hawamheshimu, wakiona mwili wake kama bidhaa ya biashara badala ya utu wa mtu.
Kijamii, tabia ya kutumia mwili kama chanzo cha kipato huathiri hadhi na heshima ya mwanamke katika jamii. Jamii kwa kawaida humhukumu na kumpunguzia nafasi ya kuaminiwa au kushirikishwa katika masuala muhimu ya kijamii. Aidha, tabia hii huathiri uwezo wa mwanamke kuanzisha ndoa na familia imara inayojengwa kwenye upendo na maadili mema. Mwanamke aliyezoea kutegemea mahusiano ya kimwili mara nyingi hukosa msingi wa kujenga familia yenye mshikamano. Hali hii pia inasababisha kuvunjika kwa maadili ya kijamii, kwani vijana na kizazi kijacho wanaweza kuiga tabia hiyo na kuendeleza mzunguko wa maisha usiofaa.
Kabisa mkuu mimi pia nina binti yangu , kama baba sitatamani awe namna hii ndio maana napambana sana angalau aje asimamie miradi ya baba yake, binti yangu mpka sasa hawezi kuja kuwa na mtazamo kama huu hata nikifa leo.Watafute cha kufanya, ndoa sio kazi wala biashara..
Unakuta binti kamaliza chuo fresh Ila hataki kazi wala biashara, 24/7 anajipost mtandaoni kimitego na kwenda sehemu classic kuwinda wazungu. Hii ni aibu
Wafundisheni wadogo zenu kuwa financially independent maana bila hivyo wataburuzwa na kunyanyaswa
Upo sahihi sana mkuu, ke akishafosi kwa kunionesha kabisa huyo namfanya wa kula tu ila sio wa malengo.Dada anazingua tu binafsi kumpa mtu ninae mpenda kitu sio lazima aniombe au atilie mkazo as if anafanya biashara ya mahusiano .
Hapa umepiga Kwenye mshono brother πKutombwa ni kutombwa tu haijalishi mwanaume amewekeza sana au kidogo
Nilidhani utawafundisha wenzako waache umalaya watulie waolewe kumbe unawafundisha umalaya
πππ Malkia wangu Money Pennywhatsapp basi
Ni kumuombea Mungu tu aweze kuivuka mob psychology. Kuna mabinti wanadanga na kuwinda lakini kwao hakuna shida ya pesa Ila tu ni kufuata mkumbo wa kampani.Kabisa mkuu mimi pia nina binti yangu , kama baba sitatamani awe namna hii ndio maana napambana sana angalau aje asimamie miradi ya baba yake, binti yangu mpka sasa hawezi kuja kuwa na mtazamo kama huu hata nikifa leo.
Sure mimi ni mtoto wa mbwa nalijua hilo mkuuNi kumuombea Mungu tu aweze kuivuka mob psychology. Kuna mabinti wanadanga na kuwinda lakini kwao hakuna shida ya pesa Ila tu ni kufuata mkumbo wa kampani.
Ila kama umemtengeneza vizuri kujitegemea na kujitambua. Sio rahisi kuingia kwenye mitego kirahisi
Mwanaume awekeze tsh ngapi kwa mwanamke ndo apewe papuchi? Money Pennytumekuja kukuweka hewani
kuwa bure utajitomba wmenyewe
Damn. Hayasio pekeyako wote nawajia na akaunt za youtube
vp kwan kuna shida? au unataka kujisema uko special?
ur ljust like everybody bruh
mabinti wanapita kimyakimya maana utamu wameshatoa
πππππππππmabinti wanapita kimyakimya maana utamu wameshatoa kitaaambo!..π€£
watoto wa mbwa huwa hamshindwi jambo maana kila umafia na uongo mnaujua π .. All the best mkuu ππΎSure mimi ni mtoto wa mbwa nalijua hilo mkuu
Ishomile mkuuπwatoto wa mbwa huwa hamshindwi jambo maana kila umafia na uongo mnaujua π .. All the best mkuu ππΎ
Zimejipanga za buku kumi barabarani hizo ni sawa na bure tuu.we sema umechukia kuwa hautakuwa na k za kula bure
njoo darasa langu la feminine nikufunde
Umeniacha boss, ishomile au nshomile πIshomile mkuuπ
Humo humo mkuuUmeniacha boss, ishomile au nshomile π
Safiiii πHumo humo mkuu