Binti usitoe utamu (K) mpaka mwanaume amewekeza kikubwa kwako... Girl Code 2

sasa wanawake maskini ulitaka wakaolewe na nani?
wewe au?
Watafute cha kufanya, ndoa sio kazi wala biashara..

Unakuta binti kamaliza chuo fresh Ila hataki kazi wala biashara, 24/7 anajipost mtandaoni kimitego na kwenda sehemu classic kuwinda wazungu. Hii ni aibu

Wafundisheni wadogo zenu kuwa financially independent maana bila hivyo wataburuzwa na kunyanyaswa
 
Umemaliza mkuu!Kule kwetu kulikuwa na chama Cha ushirika kiliitwa KYERUCU(Kyela_Rungwe cooperative).Basi mwanamke mgawa mnyandua aliitwa hivyo ,kijiweni!
 
Kabisa mkuu mimi pia nina binti yangu , kama baba sitatamani awe namna hii ndio maana napambana sana angalau aje asimamie miradi ya baba yake, binti yangu mpka sasa hawezi kuja kuwa na mtazamo kama huu hata nikifa leo.
 
Kabisa mkuu mimi pia nina binti yangu , kama baba sitatamani awe namna hii ndio maana napambana sana angalau aje asimamie miradi ya baba yake, binti yangu mpka sasa hawezi kuja kuwa na mtazamo kama huu hata nikifa leo.
Ni kumuombea Mungu tu aweze kuivuka mob psychology. Kuna mabinti wanadanga na kuwinda lakini kwao hakuna shida ya pesa Ila tu ni kufuata mkumbo wa kampani.

Ila kama umemtengeneza vizuri kujitegemea na kujitambua. Sio rahisi kuingia kwenye mitego kirahisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…