Binti wa Jacob Zuma achumbiwa na Mfalme Mswati III

Binti wa Jacob Zuma achumbiwa na Mfalme Mswati III

Ifahamike pia ki psychology Kuna wasichana hupenda watu wazima ili waendelee kudeka na kujisikia queen na huyu dogo ni mjanja na hii imehesabiwa kwa umakini maana kanajua kabisa kataendelea kuwa young for ever kwa huyo mfalme maana umri umeenda na sio rahisi akaongeza mke
 
Nomcebo Zuma, 21, atakuwa mke wa 16 wa Mfalme Mswati Il. Binti huyo alikuwa miongoni mwa mamia ya wasichana waliocheza ngoma kwa ajili ya Mfalme wa Eswatini katika sherehe za kitamaduni siku Jumatatu, kuthibitisha uchumba wake na mfalme huyo. Mfalme Mswati Ill ana umri wa miaka 56
Huyu Mswati si swahiba wa jamaa wa Msoga kweli
 
Nomcebo Zuma, 21, atakuwa mke wa 16 wa Mfalme Mswati Il. Binti huyo alikuwa miongoni mwa mamia ya wasichana waliocheza ngoma kwa ajili ya Mfalme wa Eswatini katika sherehe za kitamaduni siku Jumatatu, kuthibitisha uchumba wake na mfalme huyo. Mfalme Mswati Ill ana umri wa miaka 56​

===============For English Audience============
Eswatini’s King Mswati III's plans to wed Nomcebo Zuma, the daughter of former South African President Jacob Zuma, as his 16th wife. Political analysts dismiss the union's geopolitical impact but see its potential in strengthening ties between the two leaders.

A royal delegation from Eswatini, also known as Swaziland, visited Jacob Zuma’s homestead at Nkandla in July in accordance with tradition, marking the start of Mswati’s marriage proposal to Zuma.​

SOURCE: VOICE OF AMERICA
Huyu angekuwa muislam hapa wakristo wange leta story zao za kishoga utadhani walikuwepo 😄
 
Nomcebo Zuma, 21, atakuwa mke wa 16 wa Mfalme Mswati Il. Binti huyo alikuwa miongoni mwa mamia ya wasichana waliocheza ngoma kwa ajili ya Mfalme wa Eswatini katika sherehe za kitamaduni siku Jumatatu, kuthibitisha uchumba wake na mfalme huyo. Mfalme Mswati Ill ana umri wa miaka 56​

===============For English Audience============
Eswatini’s King Mswati III's plans to wed Nomcebo Zuma, the daughter of former South African President Jacob Zuma, as his 16th wife. Political analysts dismiss the union's geopolitical impact but see its potential in strengthening ties between the two leaders.

A royal delegation from Eswatini, also known as Swaziland, visited Jacob Zuma’s homestead at Nkandla in July in accordance with tradition, marking the start of Mswati’s marriage proposal to Zuma.​

SOURCE: VOICE OF AMERICA
Kama vile tunasema mtu akatembelee serengiti au ngorongoro aisee nawashauri kabla hujafa nenda kashuhudie hii shere ya mfalme kuchagua nke. I am blessed to have witnessed it.
 
Mswati the legend, mwamba anazifungulia mwenyewe. Sio mchezo
Ukudika better to be born lucky than gifted ndio hii sasa. Yaani kwanza alivyo ascend to the thrown tayari ni bahati maana unatakiwa kuwa mtoto wa kiume oeekee kwenye uzao wa mama yako. So imagine mfamle ana wake wangapi and u just have to be the chosen one.
Mwamba alikuwa na haki ya kusitisha masomo yake ulaya aje kukalia kiti maana bahti haiji mara mbili
 
Ukudika better to be born lucky than gifted ndio hii sasa. Yaani kwanza alivyo ascend to the thrown tayari ni bahati maana unatakiwa kuwa mtoto wa kiume oeekee kwenye uzao wa mama yako. So imagine mfamle ana wake wangapi and u just have to be the chosen one.
Mwamba alikuwa na haki ya kusitisha masomo yake ulaya aje kukalia kiti maana bahti haiji mara mbili
Kwakweli mwamba ni the great
 
Yaani anakubali kuwa mke wa 16 na huku hana njaa,duuuh

Zuma kajidhalilisha sana kubariku hili kama mzazi
 
Back
Top Bottom