Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Kha!kha![emoji134][emoji134][emoji134],Wewe jamaa familia ya huyo jamaa itakulilia Sana.Nakushauri telekeza familia[emoji852][emoji852]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kha!kha![emoji134][emoji134][emoji134],Wewe jamaa familia ya huyo jamaa itakulilia Sana.Nakushauri telekeza familia[emoji852][emoji852]
Ulitaka uolewe au vipi?
Hizo ndo akili za wanawake amempenda jamaa alie enda kumnunulia mafuta, na atampotezea mwanaume aliyemnunulia gariBuheri mazee
Ebhana majuzi kati hapa nilikua napita zangu kandokando ya barabara kwambali nikaona gari imesimama nilivyoikaribia na kuanza kuipita ghafla ilitoka pisi kali Sana ikaniita"samahani kaka" nikasema bila samahani, Gari yangu imeisha mafuta na cjatembea na akiba hivi shell Iko wapi maeneo haya nikasema kama unadumu nipe nikakuchukulie ingawa Iko mbali kidogo akasema Sina, nikamwambia nipe hela nitajua huko huko Cha kufanya
Ushauri murua kabisaa huu...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji38]Nakushauri telekeza familia[emoji852][emoji852]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ushauri unatolewa kulingana na ujinga/unyeti wa tatizo.
Kuna vitu vinasikitisha sana!!
😍😍😍Hakika
Nishauri mkuuKwa hiyo umekuja kutupa taarifa au unataka ushauri?
Kasoro vitafunwa [emoji16][emoji16][emoji16] kweli mkuuChai hii
30Una umri gani?
Najuta Sana right nisingeowa mapema sidhani kama ningekuja na huu uziEti najuta kuoa mapema..aisee
Tatizo ugumu wa maisha mkuuAcha ulimbukeni na kupenda mtelezo.
Hajui kama nimeoa nahisi akijua huenda nikamkosaMkuu we dini gani?
Vuta mke wa 2 bhana
Umia upate kovu maumivu yatakwisha mkuuHapo hakuna mwanaume nimpe pole mkeo kwa kuolewa na mtu asiejitambua. Kweli nimeamin wanaume tunazidi kupungua
NakubariChakata wote wawili, wapo wengi hao