Unampa na nanihii?Habari wadau,
Kama nilivyoaandika katika title ni kuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! Hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
Kuna kitu anafuata mtaanimtoto wa kike anatoka nyumbani akiolewa basiii na si vinginevyo.
Mtoto wa kike hapangi geto.
Cc: Lamomy Poor Brain
24 bado mdogo kwa kupangaAnayo 24
Bora hata umuambie huyu baba, khaaaahKuna kitu anafuata mtaani
Anataka kula Tango 24Γ7daysHabari wadau,
Kama nilivyoaandika katika title ni kuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! Hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
Good thinkingmtoto wa kike anatoka nyumbani akiolewa basiii na si vinginevyo.
Mtoto wa kike hapangi geto.
Cc: Lamomy Poor Brain
uzunguni huyu ni Phd holderππ24 bado mdogo kwa kupanga
Ila kibongo bongo ni degree holder + joblessuzunguni huyu ni Phd holderππ
Kwani dada angu Lamomy alitoka kupanga au mpaka alivyoolewa ππππππmtoto wa kike anatoka nyumbani akiolewa basiii na si vinginevyo.
Mtoto wa kike hapangi geto.
Cc: Lamomy Poor Brain
Aaaah thubutu..Lamomy kaoelewa na mkuu wa wilaya toka enzi na enzi
Mwanao ana jishughulisha na nini? Ana kipato halali?Vitu vya mzazi kuhudumia binti anavipata! Sasa tatizo nikuacha nyumba et anataka akapange inanitia hasira sana
Kuna kitu hakipo hapo nyumbani na wewe hata ufanye nin huwezi kumpa..Zingatia neno huwezi kumpaHabari wadau,
Kama nilivyoaandika katika title ni kuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! Hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
πAise 24 alafu unamzui kwenda kupanga jamani! Acheni hizo mwachie binti akagegedwe vizuri huko nje
Huyo huyoo, we huogopi πππAaaah thubutu..
Huyu huyu lamomy naemuona hapa jf
Alafu cocastic kaolewa na mkuu wa wilaya au..?? πππHuyo huyoo, we huogopi πππ
Coca bado anadanga πAlafu cocastic kaolewa na mkuu wa wilaya au..?? πππ