Kwa mila zetu kwa miaka ya zamani binti miaka 24 kama hajaolewa baso bado ni mtoto wa mama na huenda akawa bado bikra na anakaa nyumbani na kupangiwa kila kitu cha kufanya na wazazi wakeSio hivyo Sir. Zamani binti wa miaka 24 tayari angeweza kuwa hata na kijukuu maana angekabidhiwa mume mara alipovunja ungo. Makabila mengine hata kabla ya hapo. Haya mambo ya mwanamke wa miaka 24 kuonekana bado mtoto anayetakiwa kuongozwa na mzazi wake ni ya siku hizi na ni ya kwetu tu. Mwanamke wa miaka 24 ni mtu mzima na ana haki ya kujifanyia maamuzi yake ( hata makosa) bila kuingiliwa na mwengine.
Amandla...
Huyu sasa ndio Mama. Sio hawa wa mwendokasinakumbuka siku namwambia mama yangu nataka kua na chumba changu nje ya nyumbani nilijibiwa hivi hapa nyumbani hauko huru?? huli?? hulali?? unakwenda unakotaka uliwahi kuzuiwa?? uhuru gani mwanangu unaoutaka zaidi ya huo?? hapa kwangu utatoka ukiwa either umeolewa au umekufa ukiwa katika hali ya maiti
na ndio siku nilipogairi huo upuuzi.
πππhata sio uongo, na ndio tunagangaika hapa kuwataftia maisha mazuri siku akikasirika apande upstairs huku akiniambia i want to be alone sio hayo maneno yakuhama
Sio lazima sana kwenye hiloMtoto wa kike ni tofauti na wakiume. Wakike inabidi abaki home mpaka the day anaolewa
Ushawaona mabinti waliopanga life wanaloishi?Sio lazima sana kwenye hilo
Na hili linafanya wanawake wawe wife material maana muda wote atasemwa na mama akikosea, wakujipangia wanakuwa wamechakachuliwa sanaAshaanza kuchezea mashine na kanogewa...
Mtoto wa kike ni vyema akaolewa kutokea nyumbani kama hakuna kitu kinachomlazimu kuhama kwa wazazi...
VitishoAnza kuandaa Pampers na ARV's zisiwe mbali nae kwa Matumizi ya Maandalizi ya Maamuzi aliyoyachukua.
mmalezi ya mzazi kwa mtoto sio shida
and am very proud of her Mungu ampe maisha marefu, aamynHuyu sasa ndio Mama. Sio hawa wa mwendokasi
Mbona wengine ni wastaarabu japo hawakosi wa hovyoUshawaona mabinti waliopanga life wanaloishi?
Hapana unakubali unampoteza mapema sana ....muache awe hapo homeHabari wadu, Kama nilivyoaandika katika title nikuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
Put them in percentage ya wastaarab na wanaokuwa ovyo.Mbona wengine ni wastaarabu japo hawakosi wa hovyo
Naahidi kumnunulia kitenge, nitamkabidhi mwenyewe! Wewe sikuamini hahahaahahand am very proud of her Mungu ampe maisha marefu, aamyn
πππππππ kwamba hakitafika??? sijawahi kula amana ya watuNaahidi kumnunulia kitenge, nitamkabidhi mwenyewe! Wewe sikuamini hahahaahah
Nataka nikamkabidhi! Namuombea maisha marefu na yenye amani zaidi. Juzi tarehe 13 Mama yangu alitimiza miaka SITA kaburini. Kama uko na mzazi mpende sanaπππππππ kwamba hakitafika??? sijawahi kula amana ya watu
yupo kwake hukoooo, aaamyn mkuu huyu ni mzazi wangu aliebakia baada ya kumzika baba yangu karibu miaka kumi na tano iliyopita, pole sana mkuu kuondokea n kugumu hasa awe ni mtu wako muhimNataka nikamkabidhi! Namuombea maisha marefu na yenye amani zaidi. Juzi tarehe 13 Mama yangu alitimiza miaka SITA kaburini. Kama uko na mzazi mpende sana
watoto wa kike wana mbinu sana, anaweza akakuletea bwana humohumo ndani na nyie mmelala n kua naye makini
ππππ una uhakika tutakua hai mpaka muda huoHehe, let me keep your contact, ka binti kangu kakifika form four maana kataenda boarding angalau tupeane mbinu
Uamuzi was busara sana...!Mpaka niolewe ndo ntaondoka nyumbani au nipate kazi mkoani