Papasa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,619
- 5,780
Hizo unazoleta wewe ndio kelele na hapa sio mahala pakeSasa unampigia nani kelele? Si ukaushe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo unazoleta wewe ndio kelele na hapa sio mahala pakeSasa unampigia nani kelele? Si ukaushe?
Takataka 🗑️🗑️🗑️Nimekwambia tafuta kaz ya kufanya.
Acha kujidharulisha hapa Bwana mdogo.
Nikimbie Kwa Ajili ya nini? In fact Mimi nawachora tuu maana mlikuwa mnamtukana Makamba mnasema ameshindwa haya Sukuma gang wamewaletea mtu wenu holaaa ,saizi mnasema eti aje yule mbunge wa Chato Sasa sijui ndio atakuja na maji ya kujaza mabwawa.Ndugu ChoiceVariable atakimbia huu uzi, bado Chawa Lucas mwashamba
Naunga mkono hoja 👍👏Ili apate hamasa ya kuzidi kupambana tunaomba TANESCO waiweke Ikulu kwenye list ya mgao
Hawana akili ni chama cha hovyo sanaCCM buana
Nilidhani Biteko ni Smart anaweza asijiingize kwenye kauli za kiwango cha Chini kiasi hiki. Kupambana usiku na mchana wakati Rais katuambia kero ya Umeme mpaka miezi sita????"Anapambana usiku na mchana" moja ya kauli ya kipumbavu kutoka kwa wanasiasa wa uswahilini kujitafuta sifa kwa waswahili wajinga wajinga wasio jielewa
Hana akili ni mpuuzi kabisa hawa inafaa wapigwe bakora kabisaNilishamuweka kwenye ignore list Yangu, mpumbavu sana huyu
Tulikuwa wangapiNikimbie Kwa Ajili ya nini? In fact Mimi nawachora tuu maana mlikuwa mnamtukana Makamba mnasema ameshindwa haya Sukuma gang wamewaletea mtu wenu holaaa ,saizi mnasema eti aje yule mbunge wa Chato Sasa sijui ndio atakuja na maji ya kujaza mabwawa.
Ni ushenzi tuu,umeme sio siasa ni sayansi hukuwekeza Kwa mda Fulani jiandae Kuna siku utaumbuka ndio kama saizi.
Jamaa ni mpuuzi sana mpaka na mama yao yaani sisi wananchi wana tuona manyaniNilidhani Biteko ni Smart anaweza asijiingize kwenye kauli za kiwango cha Chini kiasi hiki. Kupambana usiku na mchana wakati Rais katuambia kero ya Umeme mpaka miezi sita????
Watalaamu wenyewe Kauzu kama wewe halafu tutegemee matokeo positive?. This is a simple definition of craziness.Nae anategemea Taarifa kutoka Kwa Wataalamu wa Tanesco ndio anaongea.
Usiwe mjinga.
Wewe na haters wenzako wa MakambaTulikuwa wangapi
Unataka ubembelezwe? Hiyo nafasi hatunaWatalaamu wenyewe Kauzu kama wewe halafu tutegemee matokeo positive?. This is a simple definition of craziness.
🙂🙂 ohh ok, sikufahamu kama chuki zangu juu ya makamba zinaweza muathiri hadi mke wake. PoleWewe na haters wenzako wa Makamba
Yaani sisi wananchi tulipe kodi, halafu wanafiki fulani wanakuja wanatuambia mtu ambae hata kodi halipi ndie anapambana usiku na mchana kutuletea maendeleo. Ni ujinga na unafiki kiwango cha PhD."Anapambana usiku na mchana" moja ya kauli ya kipumbavu kutoka kwa wanasiasa wa uswahilini kujitafuta sifa kwa waswahili wajinga wajinga wasio jielewa
Hapo ndio utajua huwezi kumuamini wala kumtegemea kiongozi wa kisasa, yule bibi yuko anajipigia zake misele alafu chawa anakuja kusema eti "anapambana usiku na mchana"Nilidhani Biteko ni Smart anaweza asijiingize kwenye kauli za kiwango cha Chini kiasi hiki. Kupambana usiku na mchana wakati Rais katuambia kero ya Umeme mpaka miezi sita????