baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
My point umetupiga kamba kusema wanajua Mateka wote walipo, ni kauli mbili ambazo haziwezi exist kwa pamoja. Kwamba wanajua mateka wote walipo halafu wanaua mateka wao, unless wanawaua makusudi.Makosa vitani huwa yapo. Friendly fire huwa zinatokea.
So what’s your point?
Hakuna nilichodanganya.My point umetupiga kamba kusema wanajua Mateka wote walipo, ni kauli mbili ambazo haziwezi exist kwa pamoja. Kwamba wanajua mateka wote walipo halafu wanaua mateka wao, unless wanawaua makusudi.
Kusema kuna mateka Israel ilikua inajua na kusema Israel inajua mateka wote walipo ni vitu viwili tofauti unageuza tu maneno sasa hiviHakuna nilichodanganya.
Ni wewe tu huna comprehension.
Nimsema makosa hutokea. Friendly fire zipo.
Ndiyo, Israel kuna wakati ilifanya makosa na ikaua raia wake. Lakini si wote.
Kuna mateka ambao Israel ilikuwa inajua walipo. Na sikusemq inajua mateka wote walipo.
Ila kujua walipo na kuwakomboa wakiwa hai, si kitu rahisi.
Unaweza kwenda kuwakomboa wakaishia kuuliwa na Hamas na Hamas wakajiua wenyewe.
You have to move carefully and intelligently.
Kipi hapo ambacho huelewi!
We know where most of the Hamas hostages are, say Israeli officials - The Jewish Chronicle
Hamas has provided signs of life for some hostages, the officials addedwww.thejc.com
Umeeleza vyema sana,tatizo watu humu hawajengi hoja badala yake wanaleta utoto na kujibishana kwa mihemko tu!Nadhani tungetizama malengo ya kila mmoja halafu tutapata picha which is which.
Kampeni ya Israel ilikuwa na malengo makuu manne : kuitokomeza Hamas, kuwaachilia mateka, kuhakikisha Gaza haileti tishio tena kwa Israeli, na kuwarudisha wakaazi waliokimbia makazi yao Kaskazini mwa Israeli.
Israel imeshindwa kufikia malengo yake makuu, kama vile Marekani ilivyoshindwa huko Afghanistan na Vietnam.
Watu wanapaswa kuelewa: Kwa serikali kushinda dhidi ya wanamgambo kama Hamas au Hezbollah, nguvu haitoshi; unapaswa kushinda mioyo ya watu. Inabidi utoe mbadala bora kuliko hali ilivyo--katika kesi hii, Hamas. Inahitaji suluhisho la kisiasa, suluhisho la kiitikadi, sio la kijeshi. Lakini Israeli hawakushinda mioyo ya watu, kinyume chake kabisa. Israel na Marekani zilishindwa kuwaondoa kabisa kutoka Gaza--lengo lao kuu.
Hata Blinken juzi alisema Hamas imeongeza wapiganaji wengi zaidi hivi sasa kuliko walivyokuwa kabla ya vita.
Na vipi kuhusu mateka? Kuwaachilia mateka iliipaswa kuwa kipaumbele cha kwanza lakini Sio tu kwamba makumi yao bado wako mikononi mwa Hamas, lakini baadhi yao waliuawa wakati wa mashambulizi ya anga ya Israeli.
Badala ya kutokomeza Hamas, Israel imejifanya kuonekana kama taifa la kihuni, na Hamas wametoka katika hali hii wakionekana kama "watetezi" wa upinzani wa Palestina.
Sisemi Hamas hawana lawama, La hasha. Lakini jibu la maelfu ya mabomu hayakuitokomeza Hamas; iliimarisha masimulizi yao. Kila bomu lililoua raia, kila mtoto aliyetolewa kutoka kwenye vifusi, kila familia iliyokata tamaa iliyoachwa bila chakula au maji-yote hayo yalivhochea mashine ya propaganda ya Hamas.
Kijiografia, sifa ya Israeli imeharibika, limebakia sasa kama taifa pariah.Nchi nyingi (kama Uhispania, Ireland, Norway..nk) zimelitambua rasmi taifa la Palestina na hata kujiunga na kesi ya afrika kusini dhidi ya israel
Sifa ya Israel Kimataifa imechafuka. Viongozi wake wanatafutwa rasmi kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu. Wanajeshi wa IDF wamesimamishwa kote ulimwenguni. Kuna kesi ya mauaji ya kimbari dhidi ya Israel na taswira yake imeharibiwa vibaya.
Kwa upande wa Palestina, ni wazi.. Gaza imeharibiwa. Zaidi ya 100k waliuawa na bado hakuna taifa la Palestina. Bado wanaishi bila utaifa chini ya vizuizi vya Israeli.
Hamas Walipata kabisa walichotaka. Walitaka kusalia madarakani, kurudisha sababu ya Palestina kuwa nchi huru, kuizuia mpango wa normalization wa Israel na Saudia na kusaidia wafungwa wa kipalestina kutoka jela.
Vita hivi vinaendea kwisha, lakini cha kusikitisha ni kwamba tatizo la Waisraeli na Wapalestina bado halijaisha. Mzozo utaendelea kwa miaka ijayo.
Wapi nimesema “Israel inajua mateka wote walipo”? Pray tell.Kusema kuna mateka Israel ilikua inajua na kusema Israel inajua mateka wote walipo ni vitu viwili tofauti unageuza tu maneno sasa hivi
Huyo uneyemjibu ni proHAMAS; ameshindwa kuchambua kwa kina kile kinachoendelea vita ya Gaza. Wapalestina raia hawaipendi kabisa HAMAS ila wanaishi nao kinafik tu kutokana na ile hali kwamba Usipojiweka upande wao utauawa au utapotezwa. HAMAS; kwa hatua iliyokuwa imewafika walikuwa hawana tena mbadala iliwabidi wakubaliane na ceasefire deal vinginevyo watamalizwa wote. Inashangaza sana kumsikia mtu anasema HAMAS wameshinda vita.Like, are you serious? You can sit there and with a straight face claim that Hamas won?
Reeeaally? Causing unspeakable and unmitigated suffering is a win?
Okay 🤣.
Kama vile you feel shy hata kujibu.Wala hakusema hivyo ulivyoandika wewe. Acha uzushi.
Post #11Wapi nimesema “Israel inajua mateka wote walipo”? Pray tell.
Andika za kwako ambazo sio pumba tuzisome.Pumba za kufungulia mwaka
Nimeandika neno “wote” katika hiyo post?Post #11
What are you even talking about?Kama vile you feel shy hata kujibu.
Hii mbinu Tu watu wale likizo ila bogi litaendeleaWiki iliyopita, tarehe 7, Januari 2025, akiwa Mar a Lago, Rais Trump alichimba biti.
Alisema kwamba ifikapo tarehe 20 mwezi hao mateka wa Hamas hawajaachiwa, basi huko Mashariki ya Kati patachimbika.
Mapema leo/ jana, imetangazwa kuwa Israel na Hamas wamefikia makubaliano ya kusitisha mapigano [licha ya kwamba mapigano halisi yalikuwa yashaisha maana Hamas walikuwa hawapigani kwa sababu wametandikwa vibaya mno].
Katika makubaliano hayo, Hamas na Israel watabadilishana mateka kwa awamu.
Huyu hapa Rais Trump akichimba biti. Sidhani haya makubaliano ni sadfa tu iliyotokea.
Ni matokeo ya biti la Trump kwa Hamas 🤣.
View: https://youtu.be/6RpFe9j8UpU?si=9uNmGyTKD_X9mJW-
Nilikuwa naku respect sana, kumbe Nyani uko mweupe sana.Kwa hiyo Hamas kashinda vita?
Pea-sized brains on steroids.
Mkuu si tuliambiwa Mossad inajua kila kitu ilifeli vipi kujua walipo mateka hadi leo?Katika makubaliano hayo, Hamas na Israel watabadilishana mateka kwa awamu.
You understand what I'm talking about.What are you even talking about?
Don’t care.Nilikuwa naku respect sana, kumbe Nyani uko mweupe sana.
Poor you!!!!!
Hawezi kukujibu hili.Mkuu si tuliambiwa Mossad inajua kila kitu ilifeli vipi kujua walipo mateka hadi leo?
Umeulizwa swali lenye hoja we unaweka picha za Gaza kushambuliwa...Hii ndo Gaza ya leo. Huu ndo upande ulioshinda vita eti🤣.
View attachment 3203097
Akili za Hamas na washabiki wao zinalingana.
Hamas hawakuwa na akili ya kutambua kuwa hawawezi tifu na Israel.
Leo wamefikia makubaliano ya kusitisha vita, mashabiki wao wana claim ushindi 🤣.
Talk about being delusional.
Umeandika la maana sana Hamas/wapalestina walikuwa wakiwatumia mateka kama ngao na hilo ndo tatizo ambalo Israel lilimsumbua sana na hilo lipo sana kwenye jamii ya hao watu.Hakuna nilichodanganya.
Ni wewe tu huna comprehension.
Nimsema makosa hutokea. Friendly fire zipo.
Ndiyo, Israel kuna wakati ilifanya makosa na ikaua raia wake. Lakini si wote.
Kuna mateka ambao Israel ilikuwa inajua walipo. Na sikusemq inajua mateka wote walipo.
Ila kujua walipo na kuwakomboa wakiwa hai, si kitu rahisi.
Unaweza kwenda kuwakomboa wakaishia kuuliwa na Hamas na Hamas wakajiua wenyewe.
You have to move carefully and intelligently.
Kipi hapo ambacho huelewi!
We know where most of the Hamas hostages are, say Israeli officials - The Jewish Chronicle
Hamas has provided signs of life for some hostages, the officials addedwww.thejc.com