a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 611
- 993
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ok you are rightNyie watumishi mnatumia matatizo ya watu kupiga hela
Nimeangalia mambo unayozungumziq kiukweli ni uongo 100% hata biblia haijaandika Hivyo
Wengi hamjasoma Elimu ya theolojia na pia hamjasoma saikolojia
Sasa mkiona MTU hana hela , hana kazi mambo yake hayaendi mnaishia kumwambia ameibiwa Nyota jambo ambalo sio sahihi na halina ukweli wowote.
Uchawi UPO Ila mnautumia Kama njia ya kupiga hela
Mgekuwa mnania ya kusaidia watu mgewafundisha mbinu za wao kujilinda ili wasirogwe .
Sasa nawew ungetufafanulia ili tuende kwa hoja huwezi kupinga bila kufafanua kwa hoja yakoMimi mganga umeongea uongo mtupu!!!! Nadhani hujui hata matumizi ya uganga na makaburi, mwili uliozikwa na matumizi yake katika uganga, vifaa vya mwili wa marehemu na uganga.
Mi mvivu kuandika lakini usiandike mambo ya kufirika kutaka iwe ukweli.
Exartly👏🏽👏🏽Mimi mganga umeongea uongo mtupu!!!! Nadhani hujui hata matumizi ya uganga na makaburi, mwili uliozikwa na matumizi yake katika uganga, vifaa vya mwili wa marehemu na uganga.
Mi mvivu kuandika lakini usiandike mambo ya kufirika kutaka iwe ukweli.
Nikipata muda nitaandika na kueleza uhalisia namna mambo yalvyo.Sasa nawew ungetufafanulia ili tuende kwa hoja huwezi kupinga bila kufafanua kwa hoja yako
MakaburiExartly👏🏽👏🏽
Kule kuna tumika kuazibu mtu nk,kuna tumika kumtolea mtu vifungo,nuksi nk,pia kule kunaweza kukupa umaarufu na utajili kupitia mzimu wa mtu husika,pia kule hapaingiliki ovyo hasa nasaa za usiku kuna taribu zake mana kule n makazi ya watu walio pumzika, kuna wengine wana gadhabu na kuzulumiwa uhai wao apa dunian nk,pia kuna wanga na walikua nguli enz za uchawi wao na majin yao yapo pale kwenye makabul yao yanasubil kiama nk,pia usipo fata taratibu zao ukiondoka watakufata ad nyumban kwako na bada ya siku kadhaa unaanza kuona mauza uza nyumban kwako nk
Binafsi makaburi nayaogopa mnoo, ikitokea nimeenda Basi nitaenda kusali na kufanya usafi zaidi ya hapo siwezi.Exartly👏🏽👏🏽
Kule kuna tumika kuazibu mtu nk,kuna tumika kumtolea mtu vifungo,nuksi nk,pia kule kunaweza kukupa umaarufu na utajili kupitia mzimu wa mtu husika,pia kule hapaingiliki ovyo hasa nasaa za usiku kuna taribu zake mana kule n makazi ya watu walio pumzika, kuna wengine wana gadhabu na kuzulumiwa uhai wao apa dunian nk,pia kuna wanga na walikua nguli enz za uchawi wao na majin yao yapo pale kwenye makabul yao yanasubil kiama nk,pia usipo fata taratibu zao ukiondoka watakufata ad nyumban kwako na bada ya siku kadhaa unaanza kuona mauza uza nyumban kwako nk
Wanyama wanazikwa wapi? Mbona hawana changamoto za kuzaana? Tukiachana na wanyama, umefuatilia idadi ya binadamu inaongezeka kuliko kupungua? Kama roho ni zile zile hili ongezeko linatoka wapi?Alicho
Mtoa mada yuko sahihi sana!hayo mambo ya adhabu za kuzimu hayapo mkuu,ukifa roho inabaki inazurula tu ikisubiri kuuvaa mwili mpya ambao hautoki nje ya ukoo wenu!KUZIKANA NJE YA MAKABURI YA UKOO ni kuzisababishia roho zenu kuhangaika sana kuipata hiyo miili mipya!na ndiyo maana watu siku hizi wanachangamoto sana za kutokupata watoto😓
😂😂😂 Unakuta ndio alikua kiongozi wa chama cha wanga afrika nzima😂😂😂🏃🏽♂️🏃🏽♂️Makaburi
Binafsi makaburi nayaogopa mnoo, ikitokea nimeenda Basi nitaenda kusali na kufanya usafi zaidi ya hapo siwezi.
Unakuta mtu anadanganywa akaoge kwenye kaburi,, weka hela, chukua mchanga bila kujua aliye lala pale alikua nani wakati wa uhai wake.
Hahahahahaaaa😂😂😂 Unakuta ndio alikua kiongozi wa chama cha wanga afrika nzima😂😂😂🏃🏽♂️🏃🏽♂️
Apo sasa kama wewe sio mtu wa magical ndo utajua kwamba wahenga hawakukosea kusema alie lala usimwamshe😂😂😂😂🏃🏽♂️🏃🏽♂️Hahahahahaaaa
Ila ww n mganga ulisema unayaogopaje tenah😂😂😂Binafsi makaburi nayaogopa mnoo
Kabisanasikia wachawi wanapendaga sana makaburi ya watu waliokufa kwa ukatili yaan bila peace wanadai nafsi inakuwa inatangatanga kulipiza kisasi,hapo unasemaje?
AIla ww n mganga ulisema unayaogopaje tenah😂😂😂
Hamna bhana unajua ile kauli mbiu yetu,uganga una siri,uganga una kaz,uganga unauwa🤷🏽♂️🤷🏽♂️Hata kama,, naogopa roho zilizopo makaburini.
Mfano, slay queen mmoja alienda kwa mganga akaambiwa aende akaoge kwenye kaburi na aweke hela balaa likaqnzia hapo baada ya kuoga marehemu akaanza kumjia ndotoni anamuuliza kwa nini alienda kusumbua na alikua kapumzika??? Akaambiwa aende akatoe dawa zake na hela na amludishe alale!!!! Ile hali ilizidi na ikawa mbaya kiasi nusu awe mwehu maana alianza kumtokea live. Kwa hiyo tuheshimu makaburi dunia ya wafu siyo yetu.
A