Black Magic: Siri ya Kwanini Watu hupelekwa Makaburini na Waganga

Black Magic: Siri ya Kwanini Watu hupelekwa Makaburini na Waganga

ok you are right
 

Attachments

  • images - 2024-10-17T130012.086.jpeg
    images - 2024-10-17T130012.086.jpeg
    52.7 KB · Views: 9
Nyie watumishi mnatumia matatizo ya watu kupiga hela

Nimeangalia mambo unayozungumziq kiukweli ni uongo 100% hata biblia haijaandika Hivyo

Wengi hamjasoma Elimu ya theolojia na pia hamjasoma saikolojia

Sasa mkiona MTU hana hela , hana kazi mambo yake hayaendi mnaishia kumwambia ameibiwa Nyota jambo ambalo sio sahihi na halina ukweli wowote.


Uchawi UPO Ila mnautumia Kama njia ya kupiga hela

Mgekuwa mnania ya kusaidia watu mgewafundisha mbinu za wao kujilinda ili wasirogwe .
ok you are right
 
Mimi mganga umeongea uongo mtupu!!!! Nadhani hujui hata matumizi ya uganga na makaburi, mwili uliozikwa na matumizi yake katika uganga, vifaa vya mwili wa marehemu na uganga.
Mi mvivu kuandika lakini usiandike mambo ya kufirika kutaka iwe ukweli.
Sasa nawew ungetufafanulia ili tuende kwa hoja huwezi kupinga bila kufafanua kwa hoja yako
 
miiko ya kazi,maadili ya kazi ya uganga wa kienyeji na uchawi(ukiwa ungali unatumika katika ufalme wa giza).
1.NI KUTUNZA SIRI/ni mwiko kutoa siri.
2.UONGO ufalme wa giza na washirika wake (wachawi,waganga ,freemansory,manabii wa uongo,wasanii ,wanasiasa,watu maarufu wanotumia nguvu za giza katika kazi zao,baba yao au mungu wao au mfalme wao shetani ni baba wa uongo,hivyo hudanganya watu kwa kugeuza uongo uwe ukweli na ukweli uwe uongo.
3.ADHABU adhabu kali ukitoa siri zao hata kifo adhabu ya kifo na kuliwa nyama yako,msaliti anayetoa siri zao.
SASA si rahisi mganga wa kienyeji au freemansory member atoe siri zao zaidi ya kukudanganya.
Anayeweza kuthubutu kutoa siri za ufalme wa giza ni yule ambaye ameokolewa katika ufalme wa nguvu za giza na kuhamishiwa na kuingizwa katika ufalme wa mwana wa pendo lake YESU.(ALIYEOKOKA)
Mwenye ulinzi wa Yesu na malaika ambapo hawezi kudhurika na nguvu za giza tena.
mfano Mchungaji AMIEL KATEKELA mfuatikie shihuda zake you tube channel inaitwa
PROMOVER YOU TUBE TV CHANNEL(AMIEL KATEKELA.)
2.SHEIKH OMARY MNYESHENI aliyekuwa mwalimu wa FALAKI chuo cha maarifa elimu ya FALAK muangalie promover youtube channel
3.sheikh hussein mubarak promover youtube channel
na wengine wengi na mengi utajifunza kupitia PROMOVER YOU TUBE TV CHANNEL SHUHUDA
 
Kwa hiyo nyie mlikufa mkafufuka ndio mnaleta ushahidi wa huko kuzimu au mnatuaminisha kwa ushahidi upi mlionao?
 
Kuzimu imegawanyika sehemu zaidi ya tatu.
1.kuna kuzimu ya wafu ambayo ni ya wale tayari waliokufa katika dhambi na ambao wamekwisha hukumiwa mateso.Ambayo hii ndio maarufu na wengi wanajua kuzimu yote ni moja hii tu .
2.kuna kuzimu kama mapokezi ,kama tuseme layer ya tatu juu kutoka chini.Enzi ya tatu Au tuseme OFISI ya tatu iya utawala wa shetani na majini,mapepo n.k ipo sehemu tofauti nankuzimu zingine zilizobaki
Ambapo hapa hata baadhi ya watu walio hai duniani huenda kuomba nguvu ya mvuto wapendwe washinde katika biashara zao,shughuli zao za michezo,sanaa,siasa viongozi wa dini,baadhi ya wachawi na waganga huishia hapa hasa wale wadogo wadogo nao pia hawazijui kuzimu zingine zilizosalia hujua kuzimu ni hiyo moja tu na humuona shetani kama rafiki yao au mfalme wao au mungu kwa kuwq anawasaidia kuwapa nguvu naafanikio
zipo nyingine zilizobaki KUZIMU HII YA SASA HIVI NI TOFAUTI KIDOGI NA ILE KUZIMU ILE YA JEHANAMU AMBAYO ITAKUWA BAADA YA HUKUMU YA MWISHO NDIO (ndipo sasa na shetani mwwnyewe atakuwa wa mwisho kuingiza mguu wake kwenye ziwa la moto baada ya kuhakikisha wwnye dahmbi wote wamekwishaingia motoni ndipo na yeye atakuwa wa mwisho kuingiza mguu wake motoni.Kunantifauti ndogo kati ya kuzimu na jehanamu .
ila ukisoma hata vitabu vya dino vinaelezea kuhusu kuzimu na jehanamu ya moto
refer mfano wa tajiri na lazaro,Tajiri baada ya kufa alitupwa kuzimu na lazaro alikuwa peponi
Lakini ukisikiliza ELIMU YA FALAKI ELIMU YA MAARIFA YA UCHAWI
na shuhuda mbalimbali PROMOVER TV YOU TUBE CHANNEL kutoka dini zote kuu mbili ,utakifunza kitu,endapo ukiamua ukitaka KUJIFUNZA UTAJIFUNZA,na pia usipotaka kujifunza elimu mpya na hutajifunza.Mana kama tayari unaamini unajua kila kitu umeshiba elimu ,hautakuwa tayari kujifunza ila utakuwa UNASIKILIZA ILI UBISHANE na mana hauko tayari kupokea elimu mpya

ELIMU NI BAHARI
 
shetani mwenyewe kuna muda anaongea na Mungu,kuna muda anakuja huku duniani kuna muda anakuwa kuzimu.Kuna binadamu walioko hai hapa leo duniani wanafanya kazi kwa kushirikiana na shetani ,na majini na huwa kuna wakati huwa wana visit wanaenda kuzimu ku kutembelea kuzimu na kurudi duniani na wanaona na shetani na majini ile kizimu ya kwanza kwa maswala mbalimbali ikiwemo ya kishirikina na kipewa mafanikio mvuto au nguvu.Kuna mmoja alikuwa mtabiri wa nyota maarufu kipindi cha nyuma alihawahi kukiri hadharani anashirikiana na majini,na kuna kuna kipindi Yesu alishuka kuzimu moja ya kazi alifanya kule n
kuzimu ni alimpokonya shetani funguo za mamlaka.Ila kuna siku ya hukumu inakuja shetani huyu mwenye dhambi nyingi atatupwa kwenye jehanamu ya moto hatakuwa anazunguka zunguka huku na huko,hatima yake ameshahukumiwa na moto wake umesha andaliwa ila bado kuna siku ya HUKUMU.
baada ya unyakuo wa watakatifu walioko duniani kupelekwa mbinguni
kuna miaka 3.5 dhiki kuu shetani atakuja kutawala dunia tena,mateso makalli
Kuna miaka 1000 ya karamu ya watakatifu.
Baada ya miaka 1000 kuna siku ya hukumu sasa.HUKUMU YA KITUPWA MOTONI wenye dhambi wote na shetani mwenyewe.
 
Mimi mganga umeongea uongo mtupu!!!! Nadhani hujui hata matumizi ya uganga na makaburi, mwili uliozikwa na matumizi yake katika uganga, vifaa vya mwili wa marehemu na uganga.
Mi mvivu kuandika lakini usiandike mambo ya kufirika kutaka iwe ukweli.
Exartly👏🏽👏🏽
Kule kuna tumika kuazibu mtu nk,kuna tumika kumtolea mtu vifungo,nuksi nk,pia kule kunaweza kukupa umaarufu na utajili kupitia mzimu wa mtu husika,pia kule hapaingiliki ovyo hasa nasaa za usiku kuna taribu zake mana kule n makazi ya watu walio pumzika, kuna wengine wana gadhabu na kuzulumiwa uhai wao apa dunian nk,pia kuna wanga na walikua nguli enz za uchawi wao na majin yao yapo pale kwenye makabul yao yanasubil kiama nk,pia usipo fata taratibu zao ukiondoka watakufata ad nyumban kwako na bada ya siku kadhaa unaanza kuona mauza uza nyumban kwako nk
 
Mkuu, ukitumia akili ndogo tu, Hata hapo unapopaita kwenu babu zako walihamia, na walipofika walikuwa wageni.
 
Exartly👏🏽👏🏽
Kule kuna tumika kuazibu mtu nk,kuna tumika kumtolea mtu vifungo,nuksi nk,pia kule kunaweza kukupa umaarufu na utajili kupitia mzimu wa mtu husika,pia kule hapaingiliki ovyo hasa nasaa za usiku kuna taribu zake mana kule n makazi ya watu walio pumzika, kuna wengine wana gadhabu na kuzulumiwa uhai wao apa dunian nk,pia kuna wanga na walikua nguli enz za uchawi wao na majin yao yapo pale kwenye makabul yao yanasubil kiama nk,pia usipo fata taratibu zao ukiondoka watakufata ad nyumban kwako na bada ya siku kadhaa unaanza kuona mauza uza nyumban kwako nk
Makaburi
Exartly👏🏽👏🏽
Kule kuna tumika kuazibu mtu nk,kuna tumika kumtolea mtu vifungo,nuksi nk,pia kule kunaweza kukupa umaarufu na utajili kupitia mzimu wa mtu husika,pia kule hapaingiliki ovyo hasa nasaa za usiku kuna taribu zake mana kule n makazi ya watu walio pumzika, kuna wengine wana gadhabu na kuzulumiwa uhai wao apa dunian nk,pia kuna wanga na walikua nguli enz za uchawi wao na majin yao yapo pale kwenye makabul yao yanasubil kiama nk,pia usipo fata taratibu zao ukiondoka watakufata ad nyumban kwako na bada ya siku kadhaa unaanza kuona mauza uza nyumban kwako nk
Binafsi makaburi nayaogopa mnoo, ikitokea nimeenda Basi nitaenda kusali na kufanya usafi zaidi ya hapo siwezi.
Unakuta mtu anadanganywa akaoge kwenye kaburi,, weka hela, chukua mchanga bila kujua aliye lala pale alikua nani wakati wa uhai wake.
 
Alicho

Mtoa mada yuko sahihi sana!hayo mambo ya adhabu za kuzimu hayapo mkuu,ukifa roho inabaki inazurula tu ikisubiri kuuvaa mwili mpya ambao hautoki nje ya ukoo wenu!KUZIKANA NJE YA MAKABURI YA UKOO ni kuzisababishia roho zenu kuhangaika sana kuipata hiyo miili mipya!na ndiyo maana watu siku hizi wanachangamoto sana za kutokupata watoto😓
Wanyama wanazikwa wapi? Mbona hawana changamoto za kuzaana? Tukiachana na wanyama, umefuatilia idadi ya binadamu inaongezeka kuliko kupungua? Kama roho ni zile zile hili ongezeko linatoka wapi?
 
Makaburi

Binafsi makaburi nayaogopa mnoo, ikitokea nimeenda Basi nitaenda kusali na kufanya usafi zaidi ya hapo siwezi.
Unakuta mtu anadanganywa akaoge kwenye kaburi,, weka hela, chukua mchanga bila kujua aliye lala pale alikua nani wakati wa uhai wake.
😂😂😂 Unakuta ndio alikua kiongozi wa chama cha wanga afrika nzima😂😂😂🏃🏽‍♂️🏃🏽‍♂️
 
nasikia wachawi wanapendaga sana makaburi ya watu waliokufa kwa ukatili yaan bila peace wanadai nafsi inakuwa inatangatanga kulipiza kisasi,hapo unasemaje?
 
Hata kama,, naogopa roho zilizopo makaburini.
Mfano, slay queen mmoja alienda kwa mganga akaambiwa aende akaoge kwenye kaburi na aweke hela balaa likaqnzia hapo baada ya kuoga marehemu akaanza kumjia ndotoni anamuuliza kwa nini alienda kusumbua na alikua kapumzika??? Akaambiwa aende akatoe dawa zake na hela na amludishe alale!!!! Ile hali ilizidi na ikawa mbaya kiasi nusu awe mwehu maana alianza kumtokea live. Kwa hiyo tuheshimu makaburi dunia ya wafu siyo yetu.
Ila ww n mganga ulisema unayaogopaje tenah😂😂😂
A
 
Hata kama,, naogopa roho zilizopo makaburini.
Mfano, slay queen mmoja alienda kwa mganga akaambiwa aende akaoge kwenye kaburi na aweke hela balaa likaqnzia hapo baada ya kuoga marehemu akaanza kumjia ndotoni anamuuliza kwa nini alienda kusumbua na alikua kapumzika??? Akaambiwa aende akatoe dawa zake na hela na amludishe alale!!!! Ile hali ilizidi na ikawa mbaya kiasi nusu awe mwehu maana alianza kumtokea live. Kwa hiyo tuheshimu makaburi dunia ya wafu siyo yetu.

A
Hamna bhana unajua ile kauli mbiu yetu,uganga una siri,uganga una kaz,uganga unauwa🤷🏽‍♂️🤷🏽‍♂️
Yote tisa kumi Uganga ugangamale si mchezo iyo taaluma😂😂😂
 
Back
Top Bottom