TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Majuzi kati hapo wasimamizi wa usafiri wa nchi kavu na majini Latra walitoa taarifa za kuruhusu mabasi kusafiri kuanzia saa 9 usiku👇🏾.
www.jamiiforums.com
Hadi kufika leo naona kampuni moja ya kuelekea Arusha ambayo ni BM Coach imetoa tangazo 👇🏾.
LATRA waruhusu Mabasi kuanza safari saa 9 Usiku
Nadhani ni suala la muda tu, maana kuna mambo hayaepukiki kwenye dunia hii inayokwenda kwa kasi ajabu. Ilianza saa 12 mara saa 11, sasa ni saa 9 kutoka popote pale ndani ya Tanzania kuelekea mikoa mingine ili mradi ukidhi vigezo hasa kigezo cha LATRA kukuruhusu. Mamlaka ya usafiri ya udhibiti...
Hadi kufika leo naona kampuni moja ya kuelekea Arusha ambayo ni BM Coach imetoa tangazo 👇🏾.