BM Coach kuanza safari saa 10 alfajiri

BM Coach kuanza safari saa 10 alfajiri

Sawa kabisa ila wataalam wa hizo gari wanasema ili hudumu na hiyo gari kwa muda fulani inapaswa isiwe na route ndefu au league kama zile anavofanya Ally's na yule katarama au Golden Deere na Sauli.

Kwa kifupi angalia huyo Ally's na Golden kila baada ya miezi fulani wanaangiza gari mpya hadi Ally's kachoka kupuliza rangi ya body za gari zake.
Acha uongo[emoji3]
 
Ndugu yangu masaa yanabadilka kuanzia saa 6 hivyo wpo sahh hiyo ni asubuhi,pole xna Kwa kukosa elimu,usjali bado hujachelewa
Usiniite ndugu maana sina ndigu kinyaa na kilaza kama wewe, Hapo unajiona una akili sio? Hii nchi ina wanyama tena wa hovyo sana. Kwahiyo 04:00 AM ni saa nne asubuhi kwa akili yako?
 
Ww ndugu yangu shule ndio shida ngoja nikuekeze Kwa mara ya mwisho usipo elewa bc kesho nitakuelekeza mahali nilipo ili tukutane nikutandike makofi huenda ukaelew hiyo sio saa ukishaona imeanza na 04 hiyo ni saa10 alfajir shida Moja hujasoma saa, fanta mpango urudie mtihani WA standard seven wakti sisi tukisoma ww upo vibanda umiza,😁😁😁haya Sasa yamekukuta.asnte Kwa kunielewa na mjadala nimeufunga
 
Hata basi za kichina zinaweza kwenda na kurudi.
Angeenda Kanda ya Ziwa aone Katarama (SCANIA) inavyokalishwa na Ally's (GOLDEN DRAGON) na Happy Nations (HIGER)

Madavoo wa Mchina wanakichafua hatari ngoma zinachomoka spidi kama ya hypersonic missile

Watu wanamchukulia poa Mchina hapo hatujamzungumzia climber ZHONG TONG akaulize mziki wa New Force nyanda za juu Kusini
 
Kama gari zinazuiwa saa sita usiku, na kuruhusiwa saa kumi alfajiri,

Tofauti yake ni masaa manne, kutoka saa sita mpaka saa kumi,

Swali langu ni, je mamlaka zindhani haya masaa manne ndio muda wa ajali na majambazi, ndio maana wanazuia kusafiri masaa 24?
Hilo ni jibu sio swali.
 
Majuzi kati hapo wasimamizi wa usafiri wa nchi kavu na majini Latra walitoa taarifa za kuruhusu mabasi kusafiri kuanzia saa 9 usiku👇🏾.

Hadi kufika leo naona kampuni moja ya kuelekea Arusha ambayo ni BM Coach imetoa tangazo 👇🏾.

View attachment 2641312
Kanda ya ziwa walishaanza kitambo tu fuatilia

Ila kama ni mnazi wa BM umekuja kuleta tangazo tunaomba ulipie tangazo lako
 
Sawa kabisa ila wataalam wa hizo gari wanasema ili hudumu na hiyo gari kwa muda fulani inapaswa isiwe na route ndefu au league kama zile anavofanya Ally's na yule katarama au Golden Deere na Sauli.

Kwa kifupi angalia huyo Ally's na Golden kila baada ya miezi fulani wanaangiza gari mpya hadi Ally's kachoka kupuliza rangi ya body za gari zake.
Acha maneno mengi wewe, Katarama na Scania zake kule kanda ya Ziwa anakalishwa na Mchina vizuri tu tena Golden Dragon, Higer na Asia Star

Piga picha angekuwa anashindana na Zhong Tong au Yutong

Ally's ana hela na ana routes nyingi huwezi kumfananisha na huyo Katarama hivyo kuingiza basi mpya kawaida

Si mlikuwa mnatamba Mchina majiko hayachelewi kuungua, mnakalishwa sasa hivi mmeanza maneno tulieni dawa iwaingie

Halafu wanazi tulishakubaliana ukipigwa gap kausha mwaga moto
20230531_194702.jpg
 
Acha uongo[emoji3]
Naomba ukweli wako wa kitaalam, kwa wamiliki wenye hizo gari au nenda pale Mwenge ITV kuna agent mkubwa wa hizo bus wa kampuni ya Benbros kaongee naye akupe uongo mwingine, usilete ushubwada hapa😄!.
 
Acha maneno mengi wewe, Katarama na Scania zake kule kanda ya Ziwa anakalishwa na Mchina vizuri tu tena Golden Dragon, Higer na Asia Star

Piga picha angekuwa anashindana na Zhong Tong au Yutong

Ally's ana hela na ana routes nyingi huwezi kumfananisha na huyo Katarama hivyo kuingiza basi mpya kawaida

Si mlikuwa mnatamba Mchina majiko hayachelewi kuungua, mnakalishwa sasa hivi mmeanza maneno tulieni dawa iwaingie

Halafu wanazi tulishakubaliana ukipigwa gap kausha mwaga moto
Mkuu pole sana asee, bahati mbaya mimi siyo mnazi alafu rudia niliyoandika kuhusu mchina na Scania.

Sikuandika gari kukimbia sana either huyu ana magari mengi or ni tajiri NO, soma uelewe aseee!.
 
[emoji1489]Basi gani hizo mkuu, zinazoondoka saa 10 alfajiri huko lake zone?

[emoji1489]Hapana na sijawahi kuwa upande huo.
Happy national kutoka Dar - mwanza na bukoba.

Ally's dar - mwanza

Katarama dar - mwanza

Zote hizo ratiba take kutoka ni SAA. 3:00 Am alfajiri
 
Angeenda Kanda ya Ziwa aone Katarama (SCANIA) inavyokalishwa na Ally's (GOLDEN DRAGON) na Happy Nations (HIGER)

Madavoo wa Mchina wanakichafua hatari ngoma zinachomoka spidi kama ya hypersonic missile

Watu wanamchukulia poa Mchina hapo hatujamzungumzia climber ZHONG TONG akaulize mziki wa New Force nyanda za juu Kusini
Hayo unayoshabikia madhara yake ni ajali.
 
Back
Top Bottom