Bodaboda wanatuchunguza na kutujadili sana. Be warned

Bodaboda wanatuchunguza na kutujadili sana. Be warned

Ofcz boda boda wana habar zetu nying sana na pia wanatujua sana. Maana unatoka kwenda mzigon, wao wanakuchek wako kijiwe..unarud wanakuchek tu.. wife anatoka anatud wanamuona. Madogo wanaenda shule wana rud wanawaona tu na sometimes ndio hao hao unawatumia kwenye moja na mbili binafs na za kifamilia.

Actually mimi kuna bida boda ambao nawajua na nimekua nikiwatumia na wananifaham toka nafika eneo naloishi.. Naanza life la kupanga chumba ki1 wananiona, nahamia chumba sebule wananiona.. navuta jiko wako bado na mishe zao za boda.. mwanagu anaanza shule wanamuona..nahamia kupanga nyumba nzima tuko nao ... mpaka nahamia kwangu wako wananiona..moaka dogo kamaliza primary anaingia secondary wako tuu..almost 12 years wako na kaz zao hizo hizo..

sasa watu kama hawa ni kwel usipoKua na mipaka yako binafsi na family utajikuta wanakujua nje ndani
 
Hakuna watu wambea na wasengenyaji km boda boda, yaan hawafai hata mashoga wana afadhari.

Sijui wamekuwaje hata, mfyuuuuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kwa sababu wanakaa muda mwingi wanapiga stori.
 
Umenikumbusha Ile kauli ya LUMUMBA BUKU SITA, UFIPA BUKU SITA!
pole sana mkuu
 
Ila boda wazuri sana ukikwama na baridi ugenini, ukiwaomba wanakujuza wapi dada poa wanapatikana.....hata wanaojiuza majumbani wao wanawajua.
 
Dar kumejaa wanaume wambea wambea yaan ukikutwa kijiwe Dar popote jua wajinga wanasogoa umbea yaan ni umbea kwa kwenda mbele wanawake hawakai vibarazani siku hizi kupiga umbea Ila umbea umehamia kwa wanaume aibu sana wanaume kutwa wanapiga umbea tu kijiweni unauma sana bodaboda wakikosa abiria kifuatacho ni umbea tu yaan ni umbea kwa kwenda mbele akipita mtu tu wanaanza kumfungulia topic
 
Aisee! Kwanza nilishangaa kilichomuwasha kuanza kumsimulia mamsapu wangu mambo ya kiume kwa jinsia KE.
Ni kwa sababu huyo bodaboda ana mahesabu na kumla my wako, so hayo majungu ni maandalizi tuu mkuu..
 
Huyo boda hana maadili na kazi yake. Wenzake wanaweza kuwa wanajua siri zenu lakini hawathubutu kutoa siri, wanajali pesa tu.
Yaani anamjua mtu anayemgonga demu wako na anapajua hadi anapokaa lakini siri yake.
Maadili kwa bodaboda?!!!
Sahau!
Hawa watu wanakuchuuza mchana kweupe!
 
  • Thanks
Reactions: ywf
ili tusiwachunguze msipande bodaboda zetu, kodi(ni) texi tu..
 
Habari za weekend wanabodi.
Moja kwa moja kwenye mada. Ni asubuhi nawahi kazini, nikiwa mmoja wa viongozi idara ya mauzo, pickup niliyopewa na ofisi inasumbua iko juu ya mawe.

Natoka nje jirani na ninapoishi kuna vijana wa bodaboda. Wanaponiona wananichangamkia na napanda mojawapo. Safari ikaanza kuelekea kazini kwangu. Wakati tunakaribia kufika, namuuliza kijana kama ana change ya elfu 10 naye anasema hana. Anatakiwa achukue elfu sita.

Nikamwambia chepuka hapo sheli tuombe change. Tulipofika pale mimi ndio nikaomba change, maana wale wadada wa pale nimezoeana nao sana kwa maana ndipo hujaza mafuta kama card za ofisi zikiwa na changamoto. Katika maongezi mawili matatu, nikafanya utani na mmojawapo wa maneno kidogo, punde tukaondoka.
Kesho yake jioni, wife to be karudi job (kuna times anakaaga kwangu hata week 2) analalamika kuna kidada cha sheli nina mahusiano nacho.
Ikabidi nitulie kwanza niscrutinize...........kumbe yule bodaboda ndiye humbeba kila asubuhi my wangu akilala kwangu kumuwahisha stand (ubaya ye anawahi sana kuamka na njia zetu ni tofauti). Kumbe dogo kamsimulia tukio langu na wale madem wa sheli........too bad akaongeza siku zote yeye (bodaboda) hujua mi mpole nisiye na stori na mtu nikipita na kuwapa hi kijiweni kwao, kumbe mchangamfu sana. Nikasolve msala ukaisha.

Ndipo bodaboda mmoja akaniambia kama una siri zako, usipande bodaboda mmoja kila siku. Kwa mfano una ratiba ya kuchepuka, umetoka home chukua boda akufikishe nusu safari, mlipe aondoke. Akishaondoka chukua nyingine ikufikishe unapoenda. Pale kijiweni wanawajadili sana huwa unapendelea kwenda wapi au sehemu walizowahi kukupeleka. Kwa week ile moja niliyopanda bodaboda mfululizo akaniambia walishatonyana wakiniona tu wanajua buku 6 hiyoo inakuja.

Bodaboda akikwambia demu fulani achana naye, msikilize. Be warned, usije sema sikukwambia.

Sean.
Umechelewa kujua tu wewe..hizo survival skills za kawaida sana.
 
Siku ingine kuna demu mmoja nafukuzia sehem,,
baada ya kula nae msosi wa usiku ,,
Nikamwita boda boda mmoja ampeleke kwake kwa ahadi ya kuja kumfyatua kesho yake maghetoni kwangu.


Picha limeishia hyo kesho yake demu napiga simu hapokei,
Mwisho akanijibu kwamba mimi sio type yake.

Kuchunguza vizuri kumbe yule boda boda kampa story zangu chafu kibao,,hadi sasa sitakiwi kuonekana hata sura yangu kwa yule demu.

Be warned na boda boda..

Ma bingwa wa kupinduwa meza .
Hawa jamaa wapumbavu sana
 
Kuna boda boda aliahidiwa elf 50 na ex wife anichunguze nipo na mwanamke gani na huwa anakuja home kipindi gani? Dogo akanitonya. Siku walipofanya kikao hicho dogo ananiambia alipigwa breakfast ya nguvu.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom