Bodaboda za CCM zenye "chata" ya Samia ziko mtaani

Bodaboda za CCM zenye "chata" ya Samia ziko mtaani

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Kampeni kama Kampeni, baada ya kuona mabango nchi nzima hayana impact naona kahamia kwenye boda boda Sasa.

CCM wapo kwenye "Panic Mode" naona maji ya moto sana! Anyway mfadhili wa bodaboda anafahamika tu, yeye atalipwaje na atalipwa na nani Kwa "fadhila" hizo ndio swali la msingi Kwa Sasa.
IMG-20230722-WA0002.jpg
 
Kampeni kama Kampeni, baada ya kuona mabango nchi nzima hayana impact naona kahamia kwenye boda boda Sasa.

CCM wapo kwenye "Panic Mode" naona maji ya moto sana! Anyway mfadhili wa bodaboda anafahamika tu, yeye atalipwaje na atalipwa na nani Kwa "fadhila" hizo ndio swali la msingi Kwa Sasa.View attachment 2695863
Mwarabu kamwaga pesa.

Tutaona na kusikia mengi mwaka huu
 
Kampeni kama Kampeni, baada ya kuona mabango nchi nzima hayana impact naona kahamia kwenye boda boda Sasa.

CCM wapo kwenye "Panic Mode" naona maji ya moto sana! Anyway mfadhili wa bodaboda anafahamika tu, yeye atalipwaje na atalipwa na nani Kwa "fadhila" hizo ndio swali la msingi Kwa Sasa.View attachment 2695863
Dah hawa jamaa wanatumia nguvu nyingi sana kumnadi
 
Kampeni kama Kampeni, baada ya kuona mabango nchi nzima hayana impact naona kahamia kwenye boda boda Sasa.

CCM wapo kwenye "Panic Mode" naona maji ya moto sana! Anyway mfadhili wa bodaboda anafahamika tu, yeye atalipwaje na atalipwa na nani Kwa "fadhila" hizo ndio swali la msingi Kwa Sasa.View attachment 2695863
Huyu mama ni mharibifu wa raslimali za Taifa.
Sasa anamwaga pesa kwenye boda boda
 
Mbinu ya huyu mama ni kushika boda boda, kushika timu za mipira, na kushika waarabu.
Ili kipindi cha kampeni atumie washabiki wa timu kumpatia huruma ya ushindi.

2. Kushika boda boda ili wamuonee huruma wakati wa kampeni.

3. Waarabu wamwagwe pesa..

Watanganyika kuweni makini na huyu mama, ndiye anayejua kilichompata Jiwe.
 
Back
Top Bottom