Tetesi: Boeing 787 5H TCG Kutua Nchini Ijumaa 06/07/2018

It's a matter of priorities.
Wastaafu wanatoka makazini wanategemea wakirudi watumie jasho lao halafu wewe unaandika takataka hapa au ktk familia yenu kuna mtu mwizi nini hasikii maumivu ya wastaafu?
 
Wastaafu wanatoka makazini wanategemea wakirudi watumie jasho lao halafu wewe unaandika takataka hapa au ktk familia yenu kuna mtu mwizi nini hasikii maumivu ya wastaafu?
Sijasema hizo priorities ni mbaya au nzuri.
 
Vipi wazee wa chadema walisema kuhusu ubadirifu wa chama chenu?
 
Cha mtoto kwa akili yako hadi muda huu mafao ya mstaafu unayaita ya serikali? Taifa lililojifia toka fikra hadi elimu.
Sijasema ni ya serikali,nimesema ni ya mchangiaji na serikali!
 
Sijasema ni ya serikali,nimesema ni ya mchangiaji na serikali!
Kwa nini wanazikopa toka ktk mifuko ya jamii ikiwa nao wanahusika? Kama wanahusika kwa nini wafanyakazi walalamike ikiwa mbia mwenzao kachukua pesa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…