Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
- Thread starter
-
- #101
Hawa Americans walienda kutest capsule mpya ya Boeing ili warudi nayo kutoa technical analysis. Hawajarudi nayo imekuja na autopilot, wao uharaka unauona wapi. NASA waseme hawana haraka, wewe na makoti yako vichochoroni udai wana haraka?
Una mahaba Niue sana na USA kiasi kwamba unaamini hakuna tech nchu zingine na kwa kufanya hivyo uakuwa kipofuu japo unaona. Kama mission ilikuwa siku 8 halafu ikawa zaidi ya hizo siku maana yake ni failed mission , kama Warusi mission yao ni mwaka na wamalize miaka miwili maana yake wamefeli . Halafu tech haiwezi kulinganishwa kwa kutangulia. Ulinganisho ni sasa. Mfano Africa ilikuwa na tech ya uhandisi huko Cairo lkn sasa Cairo iko wapi?Wewe uliye +ve na tech ya Mrusi tueleze kwanini Soyuz ya Roscosmos iwalete hao astronauts wa NASA ambao itabidi wakae kwenye space mpaka February mwakani.
Au tueleze mbona Warusi wawili kwenye space wamekaa mwaka wanatoka September hii, ila astronauts wawili wa NASA walioenda June mwaka huu mnalalamika hawarudi as if NASA hawajui wanachokifanya. Hata miezi sita hawajamaliza ambayo ndio muda wa kawaida kukaa kwenye ISS. Walienda kutests Starliner, leo kama saa tano hivi imerudi duniani na autopilot.
Kilichotokea hapa ni uwazi na concern kubwa ya NASA kwa watu wake. Hao astronauts ni test pilots wa Starliner ya Boeing, ni mara ya kwanza sio matured tech kuwa na glitches kawaida. NASA imeona haina haja kukurupuka kuwabananisha hao wawili waje kwenye Soyuz ambayo ina nafasi ya watu watatu na bado huwa ni finyu ndani. Hakuna hatari, hakuna uharaka wa kufanya hivyo.
Marekani ina option badala ya Boeing itumie SpaceX. Mbona mwaka jana astronauts walikaa zaidi ya mwaka uko kusubiri Soyuz nyingine itoke duniani baada ya iliyokuwa docked kupigwa na kimondo. Mnafanya as if wapo kule wanapiga yowe kuomba msaada.
Halafu tech haiwezi kulinganishwa kwa kutangulia.
Pole lengo la uzi sio kuzungumzia Afrika
Wanaishije huko sasa?wanakula nini?
Unaongea haya kwa sababu huijui Russia.. nakwamuaa video nyingi zimeionesha Nasa na spaceX mtandaoni.. Russia katika mambo ya Anga yupo Vizuri sana .SpaceX ndio itawatoa. Yenyewe peke yake ina accomplishments kuliko Urusi nzima kwenye anga kwa sasa.
Kwa hoja yako hiyo ni wazi Hiace ni gari Bora zaidi ya Land Cruiser Prado kwa sababu Hiace ina siti nyingi zaidi ya PradoWarusi Soyuz yao ina 3 seats wakati Boeing na SpaceX wote wana 4 seats. Sasa Soyuz inarudi na watatu, wanabaki wawili angani, inabidi SpaceX ikija ilete wawili badala ya wanne iache wazi 2 seats za hawa waliokwama. Sasa Soyuz ya Warusi inakaaje kwenye huo mlinganyo?
Achana na ukonda wa daladala. Eleza mlinganyo wa Soyuz kuwaleta 2 astronauts ni upi.Kwa hoja yako hiyo ni wazi Hiace ni gari Bora zaidi ya Land Cruiser Prado kwa sababu Hiace ina siti nyingi zaidi ya Prado
Russia na Marekani waligawana majukumu kwenye ISS. Wamarekani kwenda Baikonur cosmodrome kupanda rocket ilikuwa ni sehemu ya jukumu la Russia.Unaongea haya kwa sababu huijui Russia.. nakwamuaa video nyingi zimeionesha Nasa na spaceX mtandaoni.. Russia katika mambo ya Anga yupo Vizuri sana .
Na hiyo ISIS sehemu kubwa anaicontrol Russia katika kuhakikisha chombo kinabaki kwenye orbit yake na upande wa matengenezo.. na Kuna kipindi iliwabidi wamarekan hao waends Russia wakapandie ndege huko .
YouTube's twitter na western media zinakuaminisha wao ni bora sana wakati Kuna Russia anafata china..
Sini umeona hiyo dude la wachina huko Anga? Wamelitengeneza likjwa kubwa na Bora zaidi .
Bado hamjajibu swali mnaleta ngonjera.Una mahaba Niue sana na USA kiasi kwamba unaamini hakuna tech nchu zingine na kwa kufanya hivyo uakuwa kipofuu japo unaona. Kama mission ilikuwa siku 8 halafu ikawa zaidi ya hizo siku maana yake ni failed mission , kama Warusi mission yao ni mwaka na wamalize miaka miwili maana yake wamefeli . Halafu tech haiwezi kulinganishwa kwa kutangulia. Ulinganisho ni sasa. Mfano Africa ilikuwa na tech ya uhandisi huko Cairo lkn sasa Cairo iko wapi?
China wanalala wanawaza ndoto za Marekani. China haijawahi shindwa wakati ina missions chache na inategemea kufundishwa na kuwekewa standard. Sasa unashindwa vipi kama una mentorTunazungumzia Marekani na NASA jinsi wameshindwa kuwarudisha astronauts wao tuachane na habari za Warusi kwanza. Usijifiche kwenye kivuli cha Russia
Kama Marekani na Russia zimeshindwa basi kwa taarifa yako China haijawahi kushindwa kuwarudisha astronauts wao ndani ya ratiba
Kwa hiyo wote Marekani na Russia wana lesson kutoka China's space tech
Kufika far side ya moon kitu gani we bwana. Mwezi si upo 384,000 km kutoka duniani?Suala sio gap la miaka mingapi suala ni kuwa na technological independence kwenye tech ya kufanya jambo fulani
Mbona China imefika moon's far side ambako Mrusi na Mmarekani hawajawahi kufika
Kuna nchi iliyoomba ikanyimwa hata marekani amekaribishwa .lakini hiyo aibu ataificha wapi na uropean UnionYeye China space station yake amemleta nani pale? Naye tuseme ana wivu?
Mnachukulia space program kama sherehe za ngoma kwamba yeyote unamleta tu aje kulewa ulanzi. Mnaleta Uswahili kwenye mambo ya msingi😂
China wanalala wanawaza ndoto za Marekani. China haijawahi shindwa wakati ina missions chache na inategemea kufundishwa na kuwekewa standard. Sasa unashindwa vipi kama una mentor
Kufika far side ya moon kitu gani we bwana. Mwezi si upo 384,000 km kutoka duniani?
Sasa Marekani katuma Voyager 2 iko umbali wa kilomita bilioni 20 kutoka duniani. Mchina bado anapitia notisi aje anakiri.
Wana msosi wa kufikia mpaka mwezi wa pili?Ni habari yenye kuhuzunisha masaa kadhaa yaliyopita Boeing Starliner imeshindwa kuwarudisha duniani wanaanga wawili waliopelekwa kwenye Kituo cha Kimataifa cha Anga za Juu, International Space Station (ISS)View attachment 3089246
Ikumbukwe kuwa wanaanga hawa Barry Wilmore (M) na Sunita Williams (F) walienda na Boeing Starliner June 6, 2024 na ilikuwa ni safari ya siku 8 tu.
Lakini mpaka kufikia sasa Boeing na NASA wameshindwa kuwarudisha kwa sababu ya hitilifu (technical issues) kwenye chombo hicho.
View attachment 3089234
Boeing Starliner Space Capsule jana imerudi duniani bila wanaanga iliowapeleka
Kwa sasa Boeing na NASA zinashirikiana na SpaceX ya Elon Musk kuona jinsi ya kuwanasua wanaanga hao wawili. Ambapo inasemekana huenda kufikia February 2025 wataweza kuwarudisha. Safari ya wiki moja yawa ya miezi 8.
Boeing imekuwa na technical issues kwenye ndege zake na sasa hata kwenye spacecraft.
Mwaka 2011 Marekani iliizuia China isijiunge kwenye Kituo hicho cha Kimataifa cha Anga za Juu cha ISS na China ikaamua kuanzisha rasmi kituo chake cha anga za juu kinachoitwa Tiangong Space Station.
Kwa sasa kuna vituo viwili tu vya anga za juu cha Kimataifa na cha China.
Wanaanga wa China wakifurahia kwenye Tiangong Space Station hawana wasiwasi wa kutorudi duniani
Je, ifike wakati NASA na Boeing waombe kushirikiana na China kuwanasua wanaanga wao?
Wana msosi wa kufikia mpaka mwezi wa pili?