Bomba la gesi lalipuka Urusi, zaidi ya watu milioni moja kukosa gesi, hivi vita vinakwenda pabaya

kawaida yenu mnapingaga mwanzon baadae mnakubali , akili zenu mnazijua wenyew
 
dalili za ukichaa zinakunyemelea , baadae mtakubali ooh haitarudia tena [emoji23][emoji23]
 
Na Iraq akivamiwa kwa article ipi ?
 
Hivi kiongozi Waislamu wapo pamoja na Russia kwani?!!!!! Maana katika hoja zako hukomi kutoa maneno fulani yenye viashiria vya kuisakama hiyo dini. Au we ndo walewale?!!!
Waislam ndo wanaongoza kwa kusapoti ugaid wa Putin na wakitoka hapo wanadai wao si magaidi bali mabeberu wanawachafua tu
 
Sijakutana hata na mmoja kati yenu hamshabikii Putin, amekua kama mtume kwenu, eti kisa mnadhani mnakomoa Marekani.
kituko waislam wanaish kwa uhuru wakiwa Marekan kuliko wakiwa Russia , in Russia unafuata utaratibu wao na sio kuwapeleka tabia za mtume
 
Alafu bomba likilipuka sio inshu maana unatoa kipande unaweka bomba jipya.wiki moja tu inatosha kufanyika iyo kazi.inshu kubwa ukikatiwa gesi yenyewe basi hapo kifo unakiona kipo karibu yako

Haina noma bwana mohammed789 ila mapigo yako pale pale...
 
However, the major blast did not hit close to residential areas, and there are no initial reports of casualties coming out of Russia.
wenzio walianza kupinga hapo juu eti habari ya uongoz , **** kauzombi wabongo wanancho
 
Zero IQ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…