Bondia Hassan Mwakinyo afungiwa kujihusisha na mchezo wa ngumi mwaka mmoja

Bondia Hassan Mwakinyo afungiwa kujihusisha na mchezo wa ngumi mwaka mmoja

Mkuu unadhani ni lengo gani Mwakinyo amefikia?, mimi ninaona bado ana safari ndefu sana ya kwenda na asipobadilika na kutambua kuwa SIO KILA VITA NI LAZIMA USHINDE basi ataharibu kipaji chake.
Kupitia ngumi amejiimarisha kiuchumi tayari , so anaweza kuamua kufanya biashara na maisha yakaenda
 
Mwakinyo ni mshenzi sana anatafta mabondia mwenyewe then anaweka cha juu hataki bondia wa kupangiwa anataka anae muweza mbaya zaidi anataka apange yeye watakao pigana supporting fights na promotion company apange yeye ngumi gani hizo?
Duuuuu basi ni zaidi ya mhuni sasa
 
Huyu jamaa hadi kaka yake ameshindwa kufanya nae kazi sababu ya ego yake

Yaani brother wake kamfundisha ngumi mpaka amekua champion lakini hata kumnunulia usafiri alikuwa hataki . Amejitokeza mdau wa mafia promotion kamnunulia pikipiki kaka yake mwakinyo kamnunia jamaa.

Jamaa maboxer karibia wote wa mkoa wa tanga hapatani nao yeye anajiona mbora kuliko watu wote

Hajui kujishusha kiburi kimemjaa ameitwa kwenye kamisheni ya ngumi kujitetea kaenda halafu kawanyea vibaya na maneno ya shombo

Kamiaheni haikuwa na option zaidi ya kumfungia tu

We mtu mpaka kakaake aliemfundisha ngumi hapatani nae ndio ujue mwakinyo ana matatizo tena sio madogo.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Waliokua wanamtetea mwakinyo wako wapi mbona kila mtu anamshambulia?
 
hao waliomfungia jamaa ni wahuni tu kama akina sholomwamba
Taratibu zizingatiwe. Vigezo na masharti vipo. Maamuzi ya vikao. Haiwezekani pambano kesho wewe leo unachomoa. Sheria ifuate mkondo wake
 
Nilielewa mapema sana huu mchezo mchafu, nia ovu pamoja na dhamira zenu na hatma iliyotengenezwa kwa thamani ya pesa, nafikiri sasa bila kupepesa macho tunalazimika kuweka vitu wazi wazi hadharani kwenye hili, ili inapotokea tena ishu kama hii kuwe na adabu ya maamuzi hususani kwenye mchezo wetu, ni kweli pesa inaweza nunua haki na utu wa mtu lakini hio ni kwa mtu 'boya' asiyejuwa thamani na haki zake za msingi..., see you soon..."

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa hadi kaka yake ameshindwa kufanya nae kazi sababu ya ego yake

Yaani brother wake kamfundisha ngumi mpaka amekua champion lakini hata kumnunulia usafiri alikuwa hataki . Amejitokeza mdau wa mafia promotion kamnunulia pikipiki kaka yake mwakinyo kamnunia jamaa.

Jamaa maboxer karibia wote wa mkoa wa tanga hapatani nao yeye anajiona mbora kuliko watu wote

Hajui kujishusha kiburi kimemjaa ameitwa kwenye kamisheni ya ngumi kujitetea kaenda halafu kawanyea vibaya na maneno ya shombo

Kamiaheni haikuwa na option zaidi ya kumfungia tu

We mtu mpaka kakaake aliemfundisha ngumi hapatani nae ndio ujue mwakinyo ana matatizo tena sio madogo.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Unawakilisha watanzania walio wengi.
Nyie kila kitu maishani mnadhani ni hisani.
 
Kamisheni ya ngumi za kulipwa Tanzania (TPBRC) imemfungia Bondia Hassan Mwakinyo kujihusisha na mchezo wa ngumi nje na ndani ya Tanzania kwa muda wa mwaka mmoja na faini ya shilingi milioni 1

Hatua hiyo imekuja kutokana na kugomea pambano lake lililokuwa lifanyike septemba 29.2023, Dar es Salaam dhidi ya mpinzani wake Julius Indongo kutoka nchini Namibia,

Siku moja kabla ya maamuzi hayo kutolewa, kupitia mitandao binafsi ya kijamii ya Hassan Mwakinyo aliandika maneno yafuatayo:

"Nilielewa mapema sana huu mchezo mchafu, nia ovu pamoja na dhamira zenu na hatma iliyotengenezwa kwa thamani ya pesa, nafikiri sasa bila kupepesa macho tunalazimika kuweka vitu wazi wazi hadharani kwenye hili, ili inapotokea tena ishu kama hii kuwe na adabu ya maamuzi hususani kwenye mchezo wetu, ni kweli pesa inaweza nunua haki na utu wa mtu lakini hio ni kwa mtu 'boya' asiyejuwa thamani na haki zake za msingi..., see you soon..."
Alijisikia sana, muache aanze kuliona anguko lake polepole
 
Unawakilisha watanzania walio wengi.
Nyie kila kitu maishani mnadhani ni hisani.
Hisani vipi?

Yaani mtu amekufundisha ngumi tokea ukiwa chalii leo hii umetoboa mpunga upo hta kumnunulia kocha wako usafiri unaona ishu?

Kwa scenario hiyo ya mwakinyo hapo suala hisani halipo hapo ni MALIPO YA KAZI

Km humlipi kocha wako vizuri nani amlipe?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Hisani vipi?

Yaani mtu amekufundisha ngumi tokea ukiwa chalii leo hii umetoboa mpunga upo hta kumnunulia kocha wako usafiri unaona ishu?

Kwa scenario hiyo ya mwakinyo hapo suala hisani halipo hapo ni MALIPO YA KAZI

Km humlipi kocha wako vizuri nani amlipe?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile
Walikubaliana hayo malipo?
If walikubaliana alipe madeni, kama hawakukubaliana chochote atamlipa nn?
 
Madai yake ni yapi?
mie nilichomwelewa anasema wale wadhamini wa mwanzo walimpachika mtu ambayr hawana mahusiano mazuri...na huyo mtu walompachika akawa ana say kuliko wadhamini wa mwanzo..na mtu u
huyo ni Kakake kabisa wa damu..akasema hawasalimiani wala hawashei glass ya maji yakunywa...imagine..ndo akasusa
 
Back
Top Bottom