ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Kwenye biashara mambo ya mahusiano yanakujaje?mie nilichomwelewa anasema wale wadhamini wa mwanzo walimpachika mtu ambayr hawana mahusiano mazuri...na huyo mtu walompachika akawa ana say kuliko wadhamini wa mwanzo..na mtu u
huyo ni Kakake kabisa wa damu..akasema hawasalimiani wala hawashei glass ya maji yakunywa...imagine..ndo akasusa
hata mimi ningekataa..kaiskilize mwenyewe utabalanceKwenye biashara mambo ya mahusiano yanakujaje?
Sawa mkuu, nambie wapi naweza ona ushujaa wako katika nchi nithibitishe woga wangu.Nchi ya wqoga, muone
Huyu
Kumpa mtu zawadi hayo ni mapenzi yakeHuyu jamaa hadi kaka yake ameshindwa kufanya nae kazi sababu ya ego yake
Yaani brother wake kamfundisha ngumi mpaka amekua champion lakini hata kumnunulia usafiri alikuwa hataki . Amejitokeza mdau wa mafia promotion kamnunulia pikipiki kaka yake mwakinyo kamnunia jamaa.
Jamaa maboxer karibia wote wa mkoa wa tanga hapatani nao yeye anajiona mbora kuliko watu wote
Hajui kujishusha kiburi kimemjaa ameitwa kwenye kamisheni ya ngumi kujitetea kaenda halafu kawanyea vibaya na maneno ya shombo
Kamiaheni haikuwa na option zaidi ya kumfungia tu
We mtu mpaka kakaake aliemfundisha ngumi hapatani nae ndio ujue mwakinyo ana matatizo tena sio madogo.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Mwakinyo anajielewaMimi huyu jamaa siwezi kumtetea kwa sababu ni mjuaji na jeuri sana na mbaya zaidi alishatoa sababu dhaifu huko nyuma;
1. Huko Uingereza alisema alivaa viatu vya kubana.
2. Huku bongo alishinda pambano kwa point akasema alivaa bukta ya kumbana, na angevaa bukta nzuri angeshinda KO.
3. Katika hili sekeseke la mwisho inaonekana alishiriki kuandaa pambano lake hadi kumlipa mpinzani wake, ila dakika za mwisho aligomea za chini chini ni baada ya kampuni ambayo ana ugomvi nayo kushiriki katika maandalizi hayo.
Jamaa ana uswahili swahili sana
Mkuu sio za chinichini bali ndiyo uhalisia na jamaa alikuwa hataki wale wakina salim mtango na wenzie wapande kwenye ring na kisa demu ambae kwa sasa ndiyo mke halali wa bondia ibrahim class, ndiyo jamaa kanuna kupanda kweny ring lkn kuna watu wanakwambia jamaa anajitambua mara anatetea mabondia wengine je kuna mkataba unaosainiwa kwa kuwepo vipengele kama hvyo, kuna mda naona anajiona kuwa juu ya wengneMimi huyu jamaa siwezi kumtetea kwa sababu ni mjuaji na jeuri sana na mbaya zaidi alishatoa sababu dhaifu huko nyuma;
1. Huko Uingereza alisema alivaa viatu vya kubana.
2. Huku bongo alishinda pambano kwa point akasema alivaa bukta ya kumbana, na angevaa bukta nzuri angeshinda KO.
3. Katika hili sekeseke la mwisho inaonekana alishiriki kuandaa pambano lake hadi kumlipa mpinzani wake, ila dakika za mwisho aligomea za chini chini ni baada ya kampuni ambayo ana ugomvi nayo kushiriki katika maandalizi hayo.
Jamaa ana uswahili swahili sana
Elimu bado hana tofauti na konde wote vipaji wanavyo ila elimu hakuna..Busara na circular education ni muhimu sana, HUYU Jamaa hana busara kabisa
Mkuu kapata anachostahiri fatilia kwa umakini sana na kwa vipengele alivyokuwa anatoa yule mkurugenzi wa paf nlijua mwakinyo hatoki na jamaa ni bogaz wa mwsh na kama kwel kaonewa sheria zipo haujiulizi mpaka leo kwanin hajaenda mahakamanKumpa mtu zawadi hayo ni mapenzi yake
Zungumzia adhabu alopata ina haki au ni dhuluma
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo ya kugombania wanawake analeta kwenye kazi za watu[emoji23][emoji23]Mkuu sio za chinichini bali ndiyo uhalisia na jamaa alikuwa hataki wale wakina salim mtango na wenzie wapande kwenye ring na kisa demu ambae kwa sasa ndiyo mke halali wa bondia ibrahim class, ndiyo jamaa kanuna kupanda kweny ring lkn kuna watu wanakwambia jamaa anajitambua mara anatetea mabondia wengine je kuna mkataba unaosainiwa kwa kuwepo vipengele kama hvyo, kuna mda naona anajiona kuwa juu ya wengne
Mpwa Kwa zile voice Notes zake hapana, this time alikosea Tena sana! Dogo Hana uelewa na analazimisha kuwa Kila kitu. Mwanzoni niliona kama vile Yuko sahihi ila baada ya kumsikiliza baadhi ya voice Notes nimegundua Dogo ni boya na Hana mshauriUkiwa na uhuru wa kufikiri huwezi kumlaumu Mwankinyo.
Michezo nchini inaendeshwa kihuni sana
Mda wa wapambe kumuacha peke yakeWanaye bado[emoji3064]
Kampuni ya Promoshen, PAF Promotion imeweka wazi kuwa Jtatu (October 09) watalipeleka Mahakamani Suala La HASSAN MWAKINYO kwa lengo La kujuwa watafidiwa Vipi Hasara ya Tsh million 580 walizopata Baada ya Mwakinyo kukacha Pambano dhidi ya Julius Indongo wa Namibia
Mwishoni mwa Mwenzi uliopita Mwakinyo Alishindwa kupanda Ulingoni Uku kupitia kwenye Mitandao yake ya kijamii ya Mwakinyo Alilalamika kuwa akupanda Ulingoni kwasababu ya ukiukwaji wa mkataba kati yake na Kampuni hiyo
Promote wa Pambano hilo, Karigo Godson Karigo, amesema kuwa " jtatu wanakusudia kwenda mahakamani Kwa ajili ya kufungua kesi ya Madai ya Fidia kwa Hasara waliyoipata ya Tsh million 580 baada ya Mwakinyo kugomea katika pambano lililopita kwa kucheza tofauti na mkataba wake aliyoingia na Kampuni hiyo"
#Update
#5starNewstzView attachment 2778418
Sent using Jamii Forums mobile app