Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu raindi ya 5 haiishi anadondoshwa K.OWatambeba kwa vile wanazipiga hapa labda apigwe knockout
Kwa hio bora uangalie movie za dizaini [emoji116][emoji116] sio mkuu?Moja ya michezo ambayo ilinishinda kabisa kushabikia ni huu mchezo wa ngumi, nibola niangalie uongo wa Bongo movie kuliko kuangalia michezo ya ngumi,
Kweli kila mtu na kilevi chake
yeah yani imeamsha hamu flani ya kufatilia boxingLicha ya Mandonga kupoteza pambano hili la pili naweza kumpa hongera kwa kuweza kuleta mwamko kwenye mchezo huu wa ngumi.
Kila nchi kuna asili yake ya kinachowafanya wapende mchezo flani a huwezi kulazimisha iwe kama nchi nyingine, mfano kwa hapa bongo mpira umekuwa kwa kiasi kikubwa sana kwa watani wa jadi kutambiana umwamba, maneno mengi, n.k. Yani kelele, Na hapa muasisi mkubwa nadhani kila mtu anamjua.
Kelele ndio wanazozipenda wabongo wengi, maneno ya kujipa umwamba, maneno ya kebehi, n.k.
Mandonga sawa na wcb zile kick zo zinaleta mvuto kweny game watu hawajui kabisa leo hapa kitaa mpaka mademu wamejazana kweny bar wengine vibanda umiza hata game ya man city na Liverpool Haina mashabiki watu wanamngoja mandonga nimemkubaliLicha ya Mandonga kupoteza pambano hili la pili naweza kumpa hongera kwa kuweza kuleta mwamko kwenye mchezo huu wa ngumi.
Kila nchi kuna asili yake ya kinachowafanya wapende mchezo flani a huwezi kulazimisha iwe kama nchi nyingine, mfano kwa hapa bongo mpira umekuwa kwa kiasi kikubwa sana kwa watani wa jadi kutambiana umwamba, maneno mengi, n.k. Yani kelele, Na hapa muasisi mkubwa nadhani kila mtu anamjua.
Kelele ndio wanazozipenda wabongo wengi, maneno ya kujipa umwamba, maneno ya kebehi, n.k.
Galiatano hata boxer aliyovaa siyo ya boxing , Dula mbabe akichambua alisema huyu siyo bondia hata boxer aliyovaa ya mtaani tu,halafu jamaa anapigana kama anaogeleaHawa wakina bonabucha na galiatano mbona kama wanapewa mabondia viazi sana?mnao fatilia boxing hamjaliona hili?
AmechapikaMkali wa hiz kaz kanali mandonga vp Bado hajapand?
Hahahahahah, Daaaaah, this is toooooooo much,🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓,Kwa hio bora uangalie movie za dizaini [emoji116][emoji116] sio mkuu?View attachment 2309303
Hahah Basi karibu kwny ndondi mkuu.Hahahahahah, Daaaaah, this is toooooooo much,🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓,
Hapana kwa kweli
Kapanda mtumbwi wa kibwengoMtu kazi kachapika tena.