cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeeh sana.Mandonga ni bondia mbovu Sana anabebwa na maneno tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeeh sana.Mandonga ni bondia mbovu Sana anabebwa na maneno tu.
Mimi nili lala mchana kabisa ili niwahi hili pambano aisee kateka attention ya watu sana.Mandonga kapigwa lakini anaachwa kutangazwa aliyeshinda(hata sijui jina la mshindi ni nani)baada ya pambano anatajwa Kareem Mandonga[emoji23][emoji28].
huyu mandonga anakipaji na nyota flani hivi kwenye kupromote.
mimi binafsi bado nasimama na Kareem Mandonga kwenye boksing ya leo[emoji123][emoji123]
Alikuwa anaona vizuri ila haaminiView attachment 2309326
Yaani hapa hata hajielewi yupo wapi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2309326
Yaani hapa hata hajielewi yupo wapi.
hapo alilewa, kuna muda hapo aliitwa jina na mtu nje ya ulingo akageuka kutizama anaemwita wakati pambano linaendelea, aliporudisha uso kwa mpinzani wake akutana na jeb moja matata sana akakaa[emoji28][emoji23]View attachment 2309326
Yaani hapa hata hajielewi yupo wapi.
Hana uwez wowoteMandonga kapigwa knockout,huyu ni muhuni tu siyo bondia
Bondia wetu anazingua hana mbinuIla huyu Mkongo mbishi halafu ana ngozi ngumu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bendera ya kuzimu[emoji23][emoji23]hapo alilewa,kuna muda hapo aliitwa jina na mtu nje ya ulingo akageuka kutizama anaemwita wakati pambano linaendelea,aliporudisha uso kwa mpinzani wake akutana na jeb moja matata sana akakaa[emoji28][emoji23]