Bongo fleva top 5 yangu ya muda wote

Bongo fleva top 5 yangu ya muda wote

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Baadhi ya nyimbo zinakuwa zina capture moments...yaani nyakati Fulani hivi ...na mood ya Taifa au ya walio Wengi wakati huo...

1. Nipe Tano - Daz nundaz..
Huu Wimbo unawakilisha nyakati ..kama birth hivi ...ndo kwanza Taifa linapata TV special Kwa bongo flava na vijana ...Nani angejua channel 5 ingekuwa chanzo cha TV zote zilizozagaa now?golden era..

2. Dushelele - Ally Kiba
Wengine wanamuona Ally Kiba kama the best ever bongo fleva singer ...huu Wimbo Una kitu unique sana...mashairi ambayo hayana lugha za vijana au matusi ..umeandikwa vizuri umeimbwa vizuri...kinacho ufanya uwe special ni kudhani kuwa kungekuwa na nyimbo kama hii nyingi ..but cha kushangaza ni kama imeshindikana kabisa kupata uandishi kama huu na Wimbo kama huu...umebaki Tu wa aina yake..

3. Mfalme -Mwana Fa
Wimbo unahusu Mungu kwenye bongo fleva na ndani ambae baadae anakuja kuwa waziri wa sanaa... something unique...

4. Muziki-Darasa..
Wakati ilionekana kama ngumu kutamba kwenye mziki bila kupitia wasafi au kupata sapoti ya Diamond...jamaa aliibuka na kutawala vibaya mno na Wimbo ambao unaitwa "mziki"...hakuna aliedhania wala kutegemea....

5.Single Again - Sikuwahi kupenda nyimbo yeyote ya Harmonise wala kumtegemea atakuja kutoa Wimbo utatamba Hadi nje ya Tz ..ila huu Wimbo alionesha ana kipaji.. na inawezekana kufika juu Sana ukiamua...

Wengine mnaweza taja za kwenu na sababu
 
Baadhi ya nyimbo zinakuwa zina capture moments...yaani nyakati Fulani hivi ...na mood ya Taifa au ya walio Wengi wakati huo...

1. Nipe Tano - Daz nundaz..
Huu Wimbo unawakilisha nyakati ..kama birth hivi ...ndo kwanza Taifa linapata TV special Kwa bongo flava na vijana ...Nani angejua channel 5 ingekuwa chanzo cha TV zote zilizozagaa now?golden era..

2. Dushelele - Ally Kiba
Wengine wanamuona Ally Kiba kama the best ever bongo fleva singer ...huu Wimbo Una kitu unique sana...mashairi ambayo hayana lugha za vijana au matusi ..umeandikwa vizuri umeimbwa vizuri...kinacho ufanya uwe special ni kudhani kuwa kungekuwa na nyimbo kama hii nyingi ..but cha kushangaza ni kama imeshindikana kabisa kupata uandishi kama huu na Wimbo kama huu...umebaki Tu wa aina yake..

3.Mfalme -Mwana Fa
Wimbo unahusu Mungu kwenye bongo fleva na ndani ambae baadae anakuja kuwa waziri wa sanaa... something unique...

4.Muziki-Darasa..
Wakati ilionekana kama ngumu kutamba kwenye mziki bila kupitia wasafi au kupata sapoti ya Diamond...jamaa aliibuka na kutawala vibaya mno na Wimbo ambao unaitwa "mziki"...hakuna aliedhania wala kutegemea....

5.Single Again - Sikuwahi kupenda nyimbo yeyote ya Harmonise wala kumtegemea atakuja kutoa Wimbo utatamba Hadi nje ya Tz ..ila huu Wimbo alionesha ana kipaji.. na inawezekana kufika juu Sana ukiamua...


Wengine mnaweza taja za kwenu na sababu
6. Shihango - Nyanda Lunduma
7. Nzuki - Kisma the Great
 
Baadhi ya nyimbo zinakuwa zina capture moments...yaani nyakati Fulani hivi ...na mood ya Taifa au ya walio Wengi wakati huo...

1. Nipe Tano - Daz nundaz..
Huu Wimbo unawakilisha nyakati ..kama birth hivi ...ndo kwanza Taifa linapata TV special Kwa bongo flava na vijana ...Nani angejua channel 5 ingekuwa chanzo cha TV zote zilizozagaa now?golden era..

2. Dushelele - Ally Kiba
Wengine wanamuona Ally Kiba kama the best ever bongo fleva singer ...huu Wimbo Una kitu unique sana...mashairi ambayo hayana lugha za vijana au matusi ..umeandikwa vizuri umeimbwa vizuri...kinacho ufanya uwe special ni kudhani kuwa kungekuwa na nyimbo kama hii nyingi ..but cha kushangaza ni kama imeshindikana kabisa kupata uandishi kama huu na Wimbo kama huu...umebaki Tu wa aina yake..

3.Mfalme -Mwana Fa
Wimbo unahusu Mungu kwenye bongo fleva na ndani ambae baadae anakuja kuwa waziri wa sanaa... something unique...

4.Muziki-Darasa..
Wakati ilionekana kama ngumu kutamba kwenye mziki bila kupitia wasafi au kupata sapoti ya Diamond...jamaa aliibuka na kutawala vibaya mno na Wimbo ambao unaitwa "mziki"...hakuna aliedhania wala kutegemea....

5.Single Again - Sikuwahi kupenda nyimbo yeyote ya Harmonise wala kumtegemea atakuja kutoa Wimbo utatamba Hadi nje ya Tz ..ila huu Wimbo alionesha ana kipaji.. na inawezekana kufika juu Sana ukiamua...


Wengine mnaweza taja za kwenu na sababu
Zali la mentali prof j ft juma nature

Mtazamo Afande ft Solo thang, Prof j

Tutakukumbuka daima Gk ft TID, hili song kila msiba maarufu lazima lipigwe

Hakunaga Suma lee

Nakupenda mpenzi Dudu baya
 
Back
Top Bottom